Mume wa mtu ananitesa

Mume wa mtu ananitesa

Hapana,ni ninyi wanaume pamoja na jamii mmeaminisha mabinti na wanawake,kuwa ndoa ndio kilele cha kila kitu kwenye maisha.

Hivyo bila ndoa msichana ama mwanamke si lolote,hana thamani ni rejected material, hata thread nyingi zinazoanzishwa MMU zinareflect hilo .

Hivyo kuepuka kuwa labed as a rejected material, wasichana na wanawake wengi wanaingia ndoani especially wakitz bila kufikiri Mara mbili,bila kupima kiwango cha upendo na bila kujuwa maana halisi ya ndoa.So tusiwalaumu,to every action there is an equal and opposite reaction, haya ni matokeo tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hafu watu hufikiria ndoa ni mafanikio na hamna tatizo kumbe ndoa ni jela nyingine. I always love my daddy hunambia ukweli kuwa nitimize malengo yangu ya maisha marriage is an extra thing in life. Hafu ukifata haya mambo ya socially constructed you won't enjoy ndoa zenyewe watu wameoana ni Malaya kuliko single.

After all hata ukiolewa jukumu lakujipa furaha yako ni lako mwenyewe tena usipopata mtu sahihi ni kujiandaa na machungu ya milele

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kitendo cha kutumiana picha za uchi ni tafsiri tosha kuwa umeisha saliti ndoa yako Kwani mind na macho vimeisha shiriki bado mwili tu, na kwa kuwa mmeshafikia hatua hiyo sex lazima mtafanya tu ingawa hisia zangu zinaniambia tayari mmeishafanya
 
Siku mtakayoonjana tu, ndio mwanzo wa kumuona mumeo ni boya tena boya la mwisho Duniani.
 
Huyo jamaa wa Muheza ni boya sana......hatua mliyofikia siyoo ya kurudi nyuma hata kidogo...na ukimuacha itakutesa bora umalizane naye kabisa halafu uone kitakachofuatia
 
TUMESHAKUKOSA MKUU

acha kuendekeza michezo michafu, tulia kwa mmeo upate Mungu aliyokuandalia, la sivyo tutakukosa.
 
Ndio maana mi staki kuoa.....ndoa zimejaa use. Nge....use...nge. Na yule single maza naye anataka nimuowe....shubaamit. si ndio yatakuwa haya haya.

Wapemba wakificha wake zao wasitoke ndani wanaonekana wabinafsi.

Hizi kazi hizi. Wengine wanaliwa na mates wao wa kazini.

Sioi

Sent using my Nokia Torch
kuna namna ya kuwala wake za wapemba pia
 
Hafu watu hufikiria ndoa ni mafanikio na hamna tatizo kumbe ndoa ni jela nyingine. I always love my daddy hunambia ukweli kuwa nitimize malengo yangu ya maisha marriage is an extra thing in life. Hafu ukifata haya mambo ya socially constructed you won't enjoy ndoa zenyewe watu wameoana ni Malaya kuliko single.

After all hata ukiolewa jukumu lakujipa furaha yako ni lako mwenyewe tena usipopata mtu sahihi ni kujiandaa na machungu ya milele

Sent using Jamii Forums mobile app

kwa hiyo utakufa single?
 
.Sijawahi kuchepuka hata siku moja namuogopa Mungu, namuogopa mume wangu akijua itakuwaje sababu ananiamini sana.Naombeni ushauri, nifanyeje?

Majibu yote unayo ila bado unataka ushauri mwingine? Au unatafuta kuwa encouraged tu uende kuvua chupi na kugawa papuchino? sijui mpoje?
 
Hapana,ni ninyi wanaume pamoja na jamii mmeaminisha mabinti na wanawake,kuwa ndoa ndio kilele cha kila kitu kwenye maisha.

Hivyo bila ndoa msichana ama mwanamke si lolote,hana thamani ni rejected material, hata thread nyingi zinazoanzishwa MMU zinareflect hilo .

Hivyo kuepuka kuwa labed as a rejected material, wasichana na wanawake wengi wanaingia ndoani especially wakitz bila kufikiri Mara mbili,bila kupima kiwango cha upendo na bila kujuwa maana halisi ya ndoa.So tusiwalaumu,to every action there is an equal and opposite reaction, haya ni matokeo tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sahihi pia. Ni sheria za jamii zimeamua hivyo. Hata hivyo kadiri muda ulivyopita jamii imebadilika mno kimtazamo. Ila wengi bado wapo huko kwenye kufikiri ndoa ndio kila kitu kwa mwanammke

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom