Dadaangu Mungu aingilie kati ,, nimekuwa nikiumia sana juu ya wanaume kusumbua ndoa zao hata kabla cjaingia kwenye ndoa,, kumbe na wanawake ni changamoto pia,, jaman tupone wanawake.. Dada natumaini mpaka sasa umesha badili msimamo kuhusu kumsaliti mumeo,, ni mm Mrs Basa nakusihi kemea hiyo roho ya isikufuate tena.. Nakupenda sana dadaangi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.