Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,329
- 17,855
Aisee....Babu nakusalimia
I'm the girl from nowhere,... the one no one will miss .... that's why they choose me...![]()

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee....Babu nakusalimia
I'm the girl from nowhere,... the one no one will miss .... that's why they choose me...![]()

Mzigua90 hebu njoo fasta kwa mwenyekiti....Huyo ngoja kwanza...umesemaje kwamba Mzigua90 kwake Muheza...hebu nielekeze njia
Sent using Jamii Forums mobile app
Unakunywa bia gani leo? Hakika umenitendea wemaMzigua90 hebu njoo fasta kwa mwenyekiti....
Anataka abadili radha japo siku moja.Dada tulia kwenye Ndoa yako siku zote majuto ni Mjukuu.
unawalajekuna namna ya kuwala wake za wapemba pia
Kata, vunja tupilia mbali mawasiliano na huyo M.Habari za weekend wakuu
Miaka 7 iliyopita nilikutana na kaka mmoja Muheza Tanga alikuwa kikazi na mimi pia nilikuwa nipo pale kikazi. Tulikuwa marafiki sana nikajikuta nampenda sana ila yeye alikuwa na mahusiano yake.
Basi siku moja uzalendo ukanishinda nikamwambia M, nakupenda sana akasema hata yeye ana hisia na mimi ila ana mchumba wake anamsomesha so hawezi kumuacha. Basi niliumia lakini nilimuelewa tukabaki kuwa marafiki.
Baada ya mwaka nikapata mchumba nikaolewa, nikabahatika kupata watoto wawili na mume wangu ambae naishi nae mpaka sasa kwa kweli Mr ananipenda na wote tuna hofu ya Mungu hatujawahi kuumizana kwa namna yoyote miaka yote mitano tuliiishi wote.
Jamaa yangu yule wa Muheza naye mwaka juzi akaoa, lakini ndoa yao haina amani wanagombana kila siku.
Mwaka jana waligombana M, akanitafuta kuwa wife anamsumbua na wametengana basi tukajikuta tumefall in love tunatumiana picha mpaka za uchi nikajikuta nampenda sana kuliko hata mume wangu na hapo hatujawahi kusex hata siku moja.
Mwaka jana wakapatanishwa na wife wake, akaniambia nikamwambia sawa sababu hata mimi pia nina mume so sio big inshu.
Akaniambia, "Unajua nini V, tulia kwenye ndoa yako Mungu amekupa mume mzuri na mnaishi kwa amani acha mm nipambane na hali yangu. Nilikupoteza kwa ujinga wangu ingawa bado nakupenda lakini mumeo akija kuona chat zetu atakuua."
Niliumia nikamwambia okey lakini umeniteka akili yangu naumia sana juu yako, natamani tukutane hata siku moja tupeane raha halafu tuachane akasema sawa ila mawasiliano na mimi kapunguza anaogopa mke wa mtu na mimi nimeshadata kwake.
Sijawahi kuchepuka hata siku moja namuogopa Mungu, namuogopa mume wangu akijua itakuwaje sababu ananiamini sana.
Yule jamaa wa Muheza nampenda sana tena sana na yeye ananipenda lakini naogopa kuchepuka.
Naombeni ushauri, nifanyeje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Utadhani unanijua vile... Nimesema kubaki huru sio kubaki peke angu
Soma kwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini watu wanapenda kuishi Jehanam wakiwa duniani kisa ndoa?? Mimi waolewe tu wote nitacheza kwaito ila ndoa ya kuonekana bado nipo nipo sana. Nikiolewa ni mapenzi hamna kingineUkiolewa kumkomesha ex na mashosti jiandae kuhangaika ndoani aisee better marry when ur ready
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni kwa waliokomaa na kupevuka kiumri na kiakili.Kwanini watu wanapenda kuishi Jehanam wakiwa duniani kisa ndoa?? Mimi waolewe tu wote nitacheza kwaito ila ndoa ya kuonekana bado nipo nipo sana. Nikiolewa ni mapenzi hamna kingine
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni kwa waliokomaa na kupevuka kiumri na kiakili.
Kwa umri alioolewa mleta mada sidhani kama mawazo haya yanaweza kuwa mujarabu na yakafanya kazi kwenye ubongo wake
Miaka 22 anakataje tamaa?Mleta mada alikua anataka ndoa. Labda alikua kwenye umri wa kukata tamaa akaona achukue chochote tu kilicho mbele yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Miaka 22 anakataje tamaa?
Kuna sehemu kasema aliolewa akiwa na miaka 22Kwahiyo miaka 7 iliyopita alikua na 15yrs alipokutana na huyo bwana wa Muheza? Anasoma lini kama kipindi hicho alikua kwenye ajira tayari?? Itakua chai hii labda kama aliolewa na miaka hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna sehemu kasema aliolewa akiwa na miaka 22