Mume ni mtamu asikwambie mtu

Mume ni mtamu asikwambie mtu

there is a saying says that "a woman always know the woman her husband would cheat with" and that is from the first time she get to know her or just hear her name! you know why?it is called intutition or guts, because she is spiritualy connected to her man and no one knows him better than her!
Mtakua Mlivuka Mipaka yaani bila kujijua huyo bwana alijikuta anamawasiliano na wewe muda mwing kuliko mkewe na hiyo inaumiza ht kwa mwanaume!
pia inawezekana wewe hukua na mpango na huyo jamaa lkn jamaa alishafall kitambo kwa mkewe mambo yakawa hayaend tena!yaan urafik wenu uliathiri mahusiano yao au urafik wao km wanandoa!
ukiwa na urafk na mke au mume wa mtu lazma uwe makin na muda unaotumia nae,na utambue muda anakua na mwenzi wake na uheshimu uwape nafas yao!
sasa unakuta unapga simu mda wowote km vile rafik huyo hana familia utakuta wako ktkt ya maongez muhim wewe unapiga au unaanza kuchat nae for no specif reason inakera kwa mtu yeyeto hata wewe siku ukiexperience utaelewa!
umefanya vema kuamua kukaa mbali!
 
Habari za jioni wakuu,

Basi kule kibaruani nilitokea kupata swahiba ni mkaka umri wetu ni karibia sawa, kaka huyu ameoa na amebahatika kupata watoto wanne na mke wake. Kaka huyu tunaongea mengi, nikipata hata mitihani kibaruani nitampigia simu tunaongea ananifariji basi siku inapita. Kaka yangu huyu wa hiari alinitambulisha kwa mkewe, ikiwa siku kukiwa na ki sherehe nitakwenda birthday za watoto na vitu kama vile.

Ilitokea wakati flani walikuwa na mtafaruku mkubwa sana na mke wake, kwakweli yule kaka yakimzonga alinipigia simu na tukafarijiana, ule mtafarufu ulikuwa mkubwa kiasi cha wazazi wa pande zote mbili kuitwa, basi kwenye kikao wakaambiwa kila mtu aweke manyanga yake mezani yachambuliwe, lisiachwe jani la tatizo, kikao kimekuja kufagia, kwani kikiisha famila zote zinataka kuona wanalea watoto wao.

Mke wa swahiba si aseme kwenye kikao, kuna mwanamke anaitwa Sky Éclat, kila siku wanaongea kwenye simu, muulizeni uhusiano wao. Swahiba anakuja kunisimulia kesho yake kazini ananiambia lilimfika hata mwenyewe hakulitegemea.

Jamani mume mtamu, nimekoma kuwa na uswahiba na waume za watu.
Na nyie acheni kuwa karibu na waume za watu.. Si mtafute WA kwenu!!!?? Kila siku kujifanya marafiki kwa waume za wenzenu wakat mnajua hakina urafki kat ya mwanaume na mwanamke..

Yule ambaye alikuwa anakupikia msosi lakn ni domo zege hajakukuna bado? Kama bado anaogopa kuongea si muanze ww?
 
Habari za jioni wakuu,

Basi kule kibaruani nilitokea kupata swahiba ni mkaka umri wetu ni karibia sawa, kaka huyu ameoa na amebahatika kupata watoto wanne na mke wake. Kaka huyu tunaongea mengi, nikipata hata mitihani kibaruani nitampigia simu tunaongea ananifariji basi siku inapita. Kaka yangu huyu wa hiari alinitambulisha kwa mkewe, ikiwa siku kukiwa na ki sherehe nitakwenda birthday za watoto na vitu kama vile.

Ilitokea wakati flani walikuwa na mtafaruku mkubwa sana na mke wake, kwakweli yule kaka yakimzonga alinipigia simu na tukafarijiana, ule mtafarufu ulikuwa mkubwa kiasi cha wazazi wa pande zote mbili kuitwa, basi kwenye kikao wakaambiwa kila mtu aweke manyanga yake mezani yachambuliwe, lisiachwe jani la tatizo, kikao kimekuja kufagia, kwani kikiisha famila zote zinataka kuona wanalea watoto wao.

Mke wa swahiba si aseme kwenye kikao, kuna mwanamke anaitwa Sky Éclat, kila siku wanaongea kwenye simu, muulizeni uhusiano wao. Swahiba anakuja kunisimulia kesho yake kazini ananiambia lilimfika hata mwenyewe hakulitegemea.

Jamani mume mtamu, nimekoma kuwa na uswahiba na waume za watu.

Kwa kweli mazoea na waume za watu sio mazuri. Hakuna mwamamke asiyekuwa na wivu kwa mumewe.
 
Na ww ulikuwa unamlia mwanamke mwenzio mume wake, acha kujitetea, hakuna uswahiba wa hivyo, umeharibu ndoa ya watu hiyo.. tena mke wa huyu jamaa angekuwa mwanamke mhuni wengine ww mjini, anakuua na utapoteza maisha hivi hivi..

Acheni kuingia ndoa za watu, mwanamme wa mtu na ww mwanamke mnaongeaaaaa nini kufarijiana, sema ulikuwa unakula tunda la mke mwenzio, sio vizuri kabisa.. No.. na acha kujitetea, hapa wengi watu wazima, wezi wa aina hiyo ni wengi sana sana, umeshindwa kutafuta bachelor mfarijiane kama ww uko single..? Huo ndio mchepuko mbaya sana..
 
We nae si uolewe tu,kutwa unajenga urafiki na waume za watu mwisho wakutafune buree halafu uje hapa kutusimulia kwa gia ya kwamba ni shosti yako imemtokea
 
Back
Top Bottom