Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,902
- 95,408
Kwa hiyo kama hana mchumba na wala hajaolewa ndo aendelee kuchezacheza na mume wa mtu???..........seriousily???Urafiki wenu kama una mipaka "no jigijigi" sioni shida la muhimu kwa sasa punguzeni ukaribu.
Lakini shoga swali
1; wewe umeolewa?
2; una mchumba?
If no 1 and 2 yes achana na huyu swahiba ingawa inauma kwa rafiki ulomzoea.