Mume ni mtamu asikwambie mtu

Kwa tabasamu lako hilo lenye uwezo wa kumtoa nyoka pangoni bado tu nyoka wake alikuwa hajazinduka? Acha uwongo! Ama ulikuwa unambania au alikuwa anaona shiiida kusema ukweli kwako... Huenda ulimwonyesha dalili za kibutu...
 
Kwa tabasamu lako hilo lenye uwezo wa kumtoa nyoka pangoni bado tu nyoka wake alikuwa hajazinduka? Acha uwongo! Ama ulikuwa unambania au alikuwa anaona shiiida kusema ukweli kwako... Huenda ulimwonyesha dalili za kibutu...
Hapana mkuu, yangetokea kwanini nifiche, nimeeleza kilichokuwepo.
 
Si unasema una mchumba sijui mwanaume, kwaninj hautumii muda wako kuongea nae. Ukome sasa kuwa ulibahatika hakukumwagia acid.
 
Huo wakati ukifika hutaniona sana hapa, saa kama hizi nitakuwa nina massage miguu ya Mr.

Niruhusu nikuzamie PM, tafadhari! Just kidding! Tatizo ni kwamba huwa inakuwa vigumu sana kuuamini urafiki kati ya mwanaume na mwanamke! Hebu fikiria kama yule mama nae angekuwa anafarijiana kwa simu na rafiki yake wa kiume usiku wa manane wakati mme wake anasikia? Nakuhakikishia huyo bwana angepandwa na morali wa Kimasai hata kama yeye si Mmasai!
 
Sky eclat mm sijaona tatizo lolote hapo. Saaana ni ufinyu wanufahamu na wivu wa mke wa kaka yako wanhiari. Kwa sababu watu wanapooana kila mmoja ana ulimwengu wake ana watu wake wakike na wakiume wanaomfanya ajione ni mtu katila jamii. Ss mm kuoa ndo nipoteze watu wangu mbona haipogo hyo!!

Tena watu wenye wivu usiodhibitika ndo haswaaa waharibifu wa ndoa zao maana hatimaye hugeuka kero kwelikweli.

Ss angalia ugomvi hadi wazee wanaitwa kikao serious kisa anahisi(no uhakika) kuwa mume ana mchepuko kweli??
 
Back
Top Bottom