...hivi, psychologically inamsaidia nini mama mjamzito mpaka mume kuingia labour room mpaka mtoto azaliwe?
si ulikuwepo (mume) wakati mtoto anaingia tumboni, na wakati akitoka uwepo pia.
..Mh!! Mama hii kali sana....Ukizingatia na yeye mume alichangia kumuingiza huyo mtoto lazima ashuhudie akitoka sio pia??si ulikuwepo (mume) wakati mtoto anaingia tumboni, na wakati akitoka uwepo pia.
...hivi, psychologically inamsaidia nini mama mjamzito mpaka mume kuingia labour room mpaka mtoto azaliwe?
si ulikuwepo (mume) wakati mtoto anaingia tumboni, na wakati akitoka uwepo pia.
From my own point of view I guess it makes a man feel the pain a wife goes through so that he would think twice about leaving the kid and wife behind insearch of other women!
eeeh Kevo .. isiombe .. a man doesnt feel any pain maybe kuhangaika tu anavyomuona mwenzie anaumia.
Mungu anisamehe, ningependa wanaume ndo wangefeel labour pains halafu wanawake mda ukifika anazaa tu .. Wallahi wanaume wote duniani wangekuwa na heshima .. yani hii inanipa furaha isiyokifani just to think about it
si ulikuwepo (mume) wakati mtoto anaingia tumboni, na wakati akitoka uwepo pia.
eeeh Kevo .. isiombe .. a man doesnt feel any pain maybe kuhangaika tu anavyomuona mwenzie anaumia.
Mungu anisamehe, ningependa wanaume ndo wangefeel labour pains halafu wanawake mda ukifika anazaa tu .. Wallahi wanaume wote duniani wangekuwa na heshima .. yani hii inanipa furaha isiyokifani just to think about it
Private hospital ni sawa lakini kwetu wengi walala hoi .. mathalan unende muhimbili au amana .. balaa tupu .. mwanaume atakuwa kichaa .. huenda asile nyama maishani mwake tena .. kusema kweli hamna usafi kwenye kuzaa .. save them the embarassment
Nilivyozaa mwanangu wa kwanza kuna mwanamke wa makamu .. she was trying for a baby boy as she already had 6 girls basi God blessed her ila during her labour alikuwa akitukana matusi makubwa makubwa yote akiyaelekeza kwa mumewe .. watu wengine hurukwa na akili kabisa wakiumwa uchungu ... ni mtihani kusema kweli ... kwani wengine huvua kabisa nguo ... kama mwanaume akipata chance yakuingia wodi ya wajawazito wakisubiri kujifungua atakubaliana na mimi .. its chaos
Mungu aliamua kuwapa adhabu kali..maana Eva ndo alimdanganya Adam pale kwenye bustani kwamba ale tunda. Na sisi tukaambiwa tutakula kwa jasho na familia zitatutegemea! Kwa hiyo mi naona ni mgawanyo wa majukumu..maana dhambi tuliibeba wote.....Lol!
Awepo (Mume) pia kushiriki labor pain
sijaingia labour najijua nina huruma sana itafikia hata kile kitendo nitashindwa kufanya.
kuna kahospital fulani hapa mjini ,mume utakuwepo muda wote mle chumbani ila ikifika ila wakati wa.....push.............push.......... wanakufukuza.
Sikuelewa maana yake mpaka leo.........ila nadhani inasidia kwa kiasi furani.nyie muonage hivyo hivyo vitoto vinazaliwa lkn hawa mama zetu wanaumia sana muda ule