si ulikuwepo (mume) wakati mtoto anaingia tumboni, na wakati akitoka uwepo pia.
Totaly wrong, mimba inaweza kuwa si yako, kwa hiyo utakuwa unashuhudia tu mtoto wa jirani au njemba fulani akizaliwa.
sema na watu upate kiatu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
si ulikuwepo (mume) wakati mtoto anaingia tumboni, na wakati akitoka uwepo pia.
Totaly wrong, mimba inaweza kuwa si yako, kwa hiyo utakuwa unashuhudia tu mtoto wa jirani au njemba fulani akizaliwa.
sema na watu upate kiatu!
Totaly wrong, mimba inaweza kuwa si yako, kwa hiyo utakuwa unashuhudia tu mtoto wa jirani au njemba fulani akizaliwa.
sema na watu upate kiatu!
...kwani maumivu zaidi ni wakati wa ku push-push au kabla ya (labor pains)?... naona 'waoga' wachache wenye uwezo wao wana opt cesarean delivery, the brave ones (kama waliopo humu JF) wao aaah, sukuma ...sukuma na wewe!
Mimi (kama mume, na kwa sababu za msingi tu) ninge sign tu consensual forms mama watoto apigwe kisu badala ku go thru all that stretching, screamings and other 'near death' experiences!
Mi sinilijifanya mume wakileo nakujitoma labor room,nilitapika mpaka vyakula vya jana yake.Sikuweza kula siku 2,vinywaji tu.
Mi sinilijifanya mume wakileo nakujitoma labor room,nilitapika mpaka vyakula vya jana yake.Sikuweza kula siku 2,vinywaji tu.
Kitanda hakizai haramu ebo!
Aisee hii imenikausha mbavu kabisa....na vya juzi je?
Ila wanaume nanyi mna tujimambo, nishawaona wengine kwenye hizi home videos kwenye labor room, yaani wakati uchungu mama umemzidi kabisa, ehe... hizo saa za push push... jamaa likazirahi...chini sakafuni, duh!!!! heri ungekaa kule nje kazi kuzunguka zunguka ukijipigia mluzi taratibu.... ungoje kuitwa na nurse...