Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,529
- 109,000
Ni rahisi sana kumtongoza mke wa mtu kwa sababu ndoa nyingi haziko strong, wanandoa wengi wanafake maisha nje mnawaona wana happy marriage kumbe ndani ni tia maji tia maji.Wana
mkuu wake za watu walikuwa na neno lao MBA Married But Available wakimwona wanaemzimikia
Sasa wanawake waliopo kwenye ndoa za aina hii wakikutana na wanaume wanaojuwa kuupepeta mdomo ni lazima aliwe tu, tena swala la pesa halihusiki kabisa hapo ni nyege tu.
Kuna kosa kubwa linafanywa na wanawake walioolewa akiwa nyumbani muda wote kanuna ila akitoka nje huwezi kuamini kama ndio yeye.
Nimeshaona wake kadhaa wa washkaji hawana adabu kwa waume zao lakini mimi wananiheshimu to the maximum. Huu ni unafki na upuuzi wa hali juu.
Let your Man aproud kuwa na wewe, siyo muda wote umenuna tu with no reason.