mwena
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 649
- 419
Wanaume wengi hatupendi kuvaa Pete, binafsi naona kama fashion au urembo. Wengine hawavai kutokana na kazi wanazofanya. Lakini haijalishi kama kutovaa Pete ndio mwanaume anaisaliti ndoa yake.
Lakini pia ninachokiona kwa kiasi kikubwa ni mazoea, wanaume wengi hatuna mazoea ya kuvaa Pete hivyo tunaona kama utumwa
Lakini pia ninachokiona kwa kiasi kikubwa ni mazoea, wanaume wengi hatuna mazoea ya kuvaa Pete hivyo tunaona kama utumwa