Mume anapokataa kuvaa pete ya ndoa

Mume anapokataa kuvaa pete ya ndoa

Ninavyoitamani kuvaa Pete ya ndoa, Ngoja nijipange mwakani kwa majaaliwa nitaivaa tu.

Huyo yawezekana hapendi tu kuivaa lakini ana Upendo wa dhati moyoni.
 
Mie shosti mume wangu siku ya kwanza aliiva kwenye Hall pale tulipo valishana tulilala same hotel basi kufika juu tuu alivua Pete na wala hakusema sijui navua ila nakupenda alivua akaiweke nisije nikaitupa manake sio mambo yangu kuvaa pete,
nikaichukua nikaiweke kwenye safe mpaka leo na yangu pia nikaivua yakajishia..
 
Halafu pete si lazima kwa tamaduni zote sie waislam wala hakuna pete, kwetu pete ni mbwembe tu so kuvaa wala haimaanishi kitu, mie naweza kuoa wanne so ntakuwa na pete nne? Kikubwa nikusimamia misingi ya ndoa sio kuvaa vyuma
 
Wewe tena mshukuru ambaye hajavaa pete maana wadada wa saa hvi wengi wanapenda sana wanaume wenye pete maana ule unakuwa uthibitisho kuwa kaoa na hata wakiwa nae hata mbana bana
 
Pete sio kigezo anaweza kuvaa pete lakini asiwe mwaminifu kitu muhimu akupende akujali na akuheshimu kikubwa zaidi amjue Mungu binafsi navaa
 
Kwenye jamii yetu ya sasa ukiwa huna Pete inamaana bado uko available. Sasa Munro kuonyesha kuwa yuko availabe ni kasheshe
Mimi ni mwanandoa na sivai pete, kucheat ni tabia ya mtu.

Kina dada unajuwa wazi huyu ni paroko na bado unaenda kumvulia chupi huku ukijuwa wazi siyo sawa.

Take it from me, mapenzi au hayapimwi kwa kuvaa pete, kama ulikuwa unaamini hivyo badili mtazamo wako kuanzia leo.

Some years back nimeshawatafuna wadada kadhaa na pete zao za ndoa.

Enzi za JK hotel nyingi za Sinza wateja walikuwa ni wake za watu wanaliwa muda wa lunch time, wakienda lunch wanaingizwa room vibosile wanapiga magoli ya faster wanaoga wanajipulizia perfume wanarudi ofisini, hii ndio siri ys biashara ya mikoba ya wanawake kupanda chati maana humo ndio wanaweka vipodozi vyao standby.
 
Mimi ni mwanandoa na sivai pete, kucheat ni tabia ya mtu.

Kina dada unajuwa wazi huyu ni paroko na bado unaenda kumvulia chupi huku ukijuwa wazi siyo sawa.

Take it from me, mapenzi au hayapimwi kwa kuvaa pete, kama ulikuwa unaamini hivyo badili mtazamo wako kuanzia leo.

Some years back nimeshawatafuna wadada kadhaa na pete zao za ndoa.

Enzi za JK hotel nyingi za Sinza wateja walikuwa ni wake za watu wanaliwa muda wa lunch time, wakienda lunch wanaingizwa room vibosile wanapiga magoli ya faster wanaoga wanajipulizia perfume wanarudi ofisini, hii ndio siri ys biashara ya mikoba ya wanawake kupanda chati maana humo ndio wanaweka vipodozi vyao standby.
Mkuu wewe ni mtaalamu, asante sana
 
Mm wangu alijidai imepotea baharini alipokwenda kuogelea kinachonishangaza hajawahi kuivua tangu siku ya ndoa na haivuki imemkaa kidoleni baharini imetokaje
Si wanatuaminisha uhusiano wa madini na mauza uza,na kama unavyojua bahari pia inasifika kwa mauza uza so yawezekana hubby wako nayo ikivuliwa kimauza uza na chunusi wa coco beach[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hakuna excuse ya kutovaa pete zaidi ya ushenzy na uhuni!!!!
Hilo ni kwa wale wenye nia ovu. Uvae au usivae hiyo pete kama una lako jambo utalifanya tu. Kuna wanawake huku maeneo tunayoishi wanajua kabisa nina mke lakini ukifanya utani wenye ka-ukweli wanakutunuku papuchi. Hivyo basi, hoja ni nia tu!
Watu wakitaka kuchepuka hawachunguzi kama una pete au ni mwanandoa. Wanaangalia kichwa chako kinaitikaje wito. Legea ulegezwe.
 
Ndoa ni makubaliano na maelewano kati ya wanao au walio oana. Binafsi kuvaa au kuto vaa pete sidhani kama kuna madhara yoyote yale. Kuaminiana na kuheshimiana ndio mpango mzima.
 
Mie binafsi sipendi pete. Siku pete yangu ya harusi ilipopotea nilifurahi kupita maelezo. Ndoa iko moyoni sio pete. Kama ukihamua kuchepuka hata uvalishwe pete kwenye makende utachepuka tu
 
Uaminifu na upendo hutoka kwenye nafsi ya mtu wala sio kwenye pete kidoleni wapo wanaovaa pete lkn ni wasaliti, mi sioni tatizo hapo.
 
Back
Top Bottom