ram
Platinum Member
- Oct 5, 2007
- 9,345
- 8,565
Ram usishangae dada yangu, watu hawa wapo!! Hujawahi kusikia baba anatembea na mwanae wa kumzaa hadi wanazaa mtoto? Tumuombe sana Mungu atuepushie hayo malaana.Eeeh! hebu dada acha utani
Ni laana au?
Hahahaa haaaa uwiii
snowhite
Hata kama mnaishi kijijini hauwezi kujenga nyumba nzuri na kunua gari zuri kwa 30m! Nyumba nzuri kwa mil 8? Mmeezeka nyasi? Nyumba nzuri lazima iwe na gypsum,tiles,ipigwe rangi safi white cement kwa sana,bati msouth na sio Alaf,gari nzuri mliyonunua aina gani? Gari nzuri inaanzia bei mil 15,usishangae kumuona Martin kadinda.
wa tumbo moja kabisa
toka tuoane mwaka 2002 tumeishi kwa amani na upendo,sote hatukua na ajira,sasa mwaka jana tumepata zali la mil.30,tumenunua gari na kujenga nyumba nzuri,sasa hivi mwenzagu amebadilika,analewa sana,nyumbani analala siku anazotaka,analeta mahawala zake chumbani,hashauriki,anatumia pesa hovyo hovyo,na amediriki hadi kutembea na dada yake ambae kitabia hajatulia.Hapa nilipo nimechanganyikiwa ee Mungu nisaidie
Nafkiri hilo dili mlilopata likawapa M.30 lilikuw dili feki, pengine hayo ya kutembea na dada ndo masharti ya dili lenu. Tofauti na hapo tueleze lilikua dili gani, na ni hyo m.30 mliwezaje kujenga, kununua gari, kuhonga n.k maana si nyingi.
Kama hujatunga
Hapa kuna kauongo
mil. 30 = nyumba nzuri + gari + hela za kuleweya + pesa za kuhonga...............duuuu
Nafkiri hilo dili mlilopata likawapa M.30 lilikuw dili feki, pengine hayo ya kutembea na dada ndo masharti ya dili lenu. Tofauti na hapo tueleze lilikua dili gani, na ni hyo m.30 mliwezaje kujenga, kununua gari, kuhonga n.k maana si nyingi.
Kama hujatunga
uongo mtupu. eti miaka 12 hawana kazi, wamepata zali la milioni 30 wamejenga nyumba nzuri na kununua gari na zikabaki za kuhongea na kulewea. Watu wengine sijui wakoje?!
toka tuoane mwaka 2002 tumeishi kwa amani na upendo,sote hatukua na ajira,sasa mwaka jana tumepata zali la mil.30,tumenunua gari na kujenga nyumba nzuri,sasa hivi mwenzagu amebadilika,analewa sana,nyumbani analala siku anazotaka,analeta mahawala zake chumbani,hashauriki,anatumia pesa hovyo hovyo,na amediriki hadi kutembea na dada yake ambae kitabia hajatulia.Hapa nilipo nimechanganyikiwa ee Mungu nisaidie
dada yake yeye