Mume amenitenda

Mume amenitenda

King Kong III christine ibrahim amu et al tafsiri ya nyumba nzur kwake na kwako sidhani kama znaendana. Kunapost anasema wamejenga kwa milioni 8, ukijumlisha na ka Vitz haitafka 20. Hela hyo ilikuwa ni ya puu paa, haimaanishi (koz hajasema) kwamba mirija ya kupata imefungwa.
 
Last edited by a moderator:
Eeeh! hebu dada acha utani
Ni laana au?
Ram usishangae dada yangu, watu hawa wapo!! Hujawahi kusikia baba anatembea na mwanae wa kumzaa hadi wanazaa mtoto? Tumuombe sana Mungu atuepushie hayo malaana.
 
Nafkiri hilo dili mlilopata likawapa M.30 lilikuw dili feki, pengine hayo ya kutembea na dada ndo masharti ya dili lenu. Tofauti na hapo tueleze lilikua dili gani, na ni hyo m.30 mliwezaje kujenga, kununua gari, kuhonga n.k maana si nyingi.
Kama hujatunga
 
Hata kama mnaishi kijijini hauwezi kujenga nyumba nzuri na kunua gari zuri kwa 30m! Nyumba nzuri kwa mil 8? Mmeezeka nyasi? Nyumba nzuri lazima iwe na gypsum,tiles,ipigwe rangi safi white cement kwa sana,bati msouth na sio Alaf,gari nzuri mliyonunua aina gani? Gari nzuri inaanzia bei mil 15,usishangae kumuona Martin kadinda.

na mimi naweza kukwambia gari nzuri inaanzia mil 80.....my point is uzuri kila mtu ana tafsiri yeye,huko kijijini kwao nyumba aliyojenga kwa mil 8 ndio nzuri kuliko zote ataacha kusema kajenga nyumba nzuri???

 
wa tumbo moja kabisa

Subhanallah dunia imekwisha...

Amelaaniwa huyo kama ameweza lala na dada yake basi hashindwi kufanya lolote...kuwa makini


Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForum
 
toka tuoane mwaka 2002 tumeishi kwa amani na upendo,sote hatukua na ajira,sasa mwaka jana tumepata zali la mil.30,tumenunua gari na kujenga nyumba nzuri,sasa hivi mwenzagu amebadilika,analewa sana,nyumbani analala siku anazotaka,analeta mahawala zake chumbani,hashauriki,anatumia pesa hovyo hovyo,na amediriki hadi kutembea na dada yake ambae kitabia hajatulia.Hapa nilipo nimechanganyikiwa ee Mungu nisaidie

Sio dada yake tu, wote hawajatulia! Dah, masuala ya ndoa magumu kweli kushauri. Pole sana though.
 
Nafkiri hilo dili mlilopata likawapa M.30 lilikuw dili feki, pengine hayo ya kutembea na dada ndo masharti ya dili lenu. Tofauti na hapo tueleze lilikua dili gani, na ni hyo m.30 mliwezaje kujenga, kununua gari, kuhonga n.k maana si nyingi.
Kama hujatunga

Vijiji vya tabora kuna dhahabu ila kijiji kujenga nyumba n cheap mana wanatumia tofali l kuchoma.

Pia inawezekana waliuza eneo au shamba lao jirani n migodi
 
uongo mtupu. eti miaka 12 hawana kazi, wamepata zali la milioni 30 wamejenga nyumba nzuri na kununua gari na zikabaki za kuhongea na kulewea. Watu wengine sijui wakoje?!
 
Hapa kuna kauongo
mil. 30 = nyumba nzuri + gari + hela za kuleweya + pesa za kuhonga...............duuuu

kwa nini unajua wana gari aina gani! au unaelewa uzuri wa nyumba yake anupimaje!
 
Nafkiri hilo dili mlilopata likawapa M.30 lilikuw dili feki, pengine hayo ya kutembea na dada ndo masharti ya dili lenu. Tofauti na hapo tueleze lilikua dili gani, na ni hyo m.30 mliwezaje kujenga, kununua gari, kuhonga n.k maana si nyingi.
Kama hujatunga

ni kweli kabisa Mungu mmoja!
 
uongo mtupu. eti miaka 12 hawana kazi, wamepata zali la milioni 30 wamejenga nyumba nzuri na kununua gari na zikabaki za kuhongea na kulewea. Watu wengine sijui wakoje?!

kama huamini njoo Kalitu-Nzega nitakuonesha nyumba tuliyojenga* huku vijijini gharama ya ujenzi na maisha ni cheap sana!
 
Du! Nahisi ghazabu za mnyazi Mungu juu ya sodoma na gomola zinakaribia kurudi. Heri Yangu Mimi, nimetuliiiia tuli!
 
toka tuoane mwaka 2002 tumeishi kwa amani na upendo,sote hatukua na ajira,sasa mwaka jana tumepata zali la mil.30,tumenunua gari na kujenga nyumba nzuri,sasa hivi mwenzagu amebadilika,analewa sana,nyumbani analala siku anazotaka,analeta mahawala zake chumbani,hashauriki,anatumia pesa hovyo hovyo,na amediriki hadi kutembea na dada yake ambae kitabia hajatulia.Hapa nilipo nimechanganyikiwa ee Mungu nisaidie

mil. 30 unanunua gari na kujenga nyumba? kweli?
 
huyo kalaaniwa.., mfanyieni maombi haraka sana. najua mtu alipata pesa anaweza kubadilika, kulewa kubadili wanawake, lakin sio kutembea na dada yake wa damu. there is smthing wrong katika kichwa chake. sio bure
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom