Mume amenitenda

Mume amenitenda

Ukitaka kumjua mtu mpe Pesa

Hebu jiweke pembeni kidogo akishamaliza uchafu wake uamue kuendelea nae au kuachana nae - maana kama hashauriki utakufa kwa maumivu ya moyo
 
Labda ufafanue hilo zali la m.30, huenda ni zali la mganga na masharti yake ndo hayo lazima alale na dada ake, tueleze hiyo hela mmeipatapataje?
 
toka tuoane mwaka 2002 tumeishi kwa amani na upendo,sote hatukua na ajira,sasa mwaka jana tumepata zali la mil.30,tumenunua gari na kujenga nyumba nzuri,sasa hivi mwenzagu amebadilika,analewa sana,nyumbani analala siku anazotaka,analeta mahawala zake chumbani,hashauriki,anatumia pesa hovyo hovyo,na amediriki hadi kutembea na dada yake ambae kitabia hajatulia.Hapa nilipo nimechanganyikiwa ee Mungu nisaidie

kumkimbia si suluhisho, pambana hata kama mtafika kunako Court, isitoshe anatoka na dadaye ukiwa na ushahidi wa kushawishi vyombo vya dola mbona watakiona cha MTEMAKUNI. kwa uwezo wake Muumba atakusaidia tu bi-dada.
 
Pesa haimbadilishi mtu kitabia, Ila inasaidia kufichua tabia zake alizokuwa anazificha wakati hana hela. Pesa humpa mpumba.vu na mtu asiyejitambua kiburi cha kuonesha ujinga na upumbavu wake woote hadi ule wakuiga.

Ndio maana kuna watu hawapati pesa nyingi maana wakipata tu itakua ndio chanzo cha kuharibikiwa kimaisha.

Kwa nini tuiheshimu pesa kuliko utu wetu, pesa zi zinakuja na kuondoka, kwani pesa kwa zenyewe zina nini hadi tuziheshimu kuliko utu wa mwanadamu mwenzio??? Kwani si unaweza kufilisika hata kesho tu (iwe kwa kupenda au vinginevyo?) Pesa haina chochote kwa yenyewe. Furaha ya kweli ya mwanadamu huletwa kwa kuheshimu utu wake na wengine na kutambua yale madogo mengi yanayotokea maishani mwako. kama mtu akikununulia kitu cha 1,000 usifurahi usitegemee akikununulia gari utafurahi.... ikiwa hivyo utakua tu unafiki na kujipendekeza tu. we must appreciate the little ones we have or find so we may be entrusted with much and to rejoyce over them.

Dada pole sana, kwa kweli nimeumia. Hadi kuletewa ''mahawara ndani'' Huu ni unyama na kwa kwa dunia ya leo ilivyoharibika! . Jitafakari mara mbili.



toka tuoane mwaka 2002 tumeishi kwa amani na upendo,sote hatukua na ajira,sasa mwaka jana tumepata zali la mil.30,tumenunua gari na kujenga nyumba nzuri,sasa hivi mwenzagu amebadilika,analewa sana,nyumbani analala siku anazotaka,analeta mahawala zake chumbani,hashauriki,anatumia pesa hovyo hovyo,na amediriki hadi kutembea na dada yake ambae kitabia hajatulia.Hapa nilipo nimechanganyikiwa ee Mungu nisaidie
 
pole sana dada yangu?mlimenage vipi kuishi bila ajira kwa muda wote huo?
back to the topic kwa sababu ni mume wako na mmeahidi kuwa pamoja siku zote za maisha yenu,ni hivi naweza kushauri kama una imani na maoimbi,funga na kuomba kwa wiki moja kwa imani kubwa na Mwenyezi Mungu atafungua njia!
pole sana ,Mwenyezi Mungu akupe Moyo wa uvumilivu na ssubira katika kipindi hiki kigumu,lakini zaidi zaidi ambadilishe mumeo na kuwa mume mwema na bora tena!

wakulima
 
toka tuoane mwaka 2002 tumeishi kwa amani na upendo,sote hatukua na ajira,sasa mwaka jana tumepata zali la mil.30,tumenunua gari na kujenga nyumba nzuri,sasa hivi mwenzagu amebadilika,analewa sana,nyumbani analala siku anazotaka,analeta mahawala zake chumbani,hashauriki,anatumia pesa hovyo hovyo,na amediriki hadi kutembea na dada yake ambae kitabia hajatulia.Hapa nilipo nimechanganyikiwa ee Mungu nisaidie
Million 30 mmenunuwa gari na kujenga nyumba! Ni kijiji gani hicho mnachoishi? Na hiyo gari ni Morris?
 
Hapa kuna kauongo
mil. 30 = nyumba nzuri + gari + hela za kuleweya + pesa za kuhonga...............duuuu

±±±±±±±±±±±
Akili za kuambiwa changanya na za kwako,griti sinker huyo.
±±±±±±±±±±±
toka tuoane mwaka 2002 tumeishi kwa amani na upendo,sote hatukua na ajira,sasa mwaka jana tumepata zali la mil.30,tumenunua gari na kujenga nyumba nzuri,sasa hivi mwenzagu amebadilika,analewa sana,nyumbani analala siku anazotaka,analeta mahawala zake chumbani,hashauriki,anatumia pesa hovyo hovyo,na amediriki hadi kutembea na dada yake ambae kitabia hajatulia.Hapa nilipo nimechanganyikiwa ee Mungu nisaidie

Mmmmhhhh job true true I don't get the photo of kind of good house you built and kind of car you bought with that amount,bravo griti sinker.
 
toka tuoane mwaka 2002 tumeishi kwa amani na upendo,sote hatukua na ajira,sasa mwaka jana tumepata zali la mil.30,tumenunua gari na kujenga nyumba nzuri,sasa hivi mwenzagu amebadilika,analewa sana,nyumbani analala siku anazotaka,analeta mahawala zake chumbani,hashauriki,anatumia pesa hovyo hovyo,na amediriki hadi kutembea na dada yake ambae kitabia hajatulia.Hapa nilipo nimechanganyikiwa ee Mungu nisaidie

milioni 30 tu.......au ndiyo masharti ya witch doctor kuhusu upatikanaji wa hiyo 30mil???
 
'katika shida na raha hadi hapo kifo kitakapowatenganisha?'..Ndivyo na Mungu anisaidie.

Ndoa ya kikiristo ni majanga!
 
toka tuoane mwaka 2002 tumeishi kwa amani na upendo,sote hatukua na ajira,sasa mwaka jana tumepata zali la mil.30,tumenunua gari na kujenga nyumba nzuri,sasa hivi mwenzagu amebadilika,analewa sana,nyumbani analala siku anazotaka,analeta mahawala zake chumbani,hashauriki,anatumia pesa hovyo hovyo,na amediriki hadi kutembea na dada yake ambae kitabia hajatulia.Hapa nilipo nimechanganyikiwa ee Mungu nisaidie


Pole sana dada! Ila usichanganyikiwe!!Suluhu ya hilo tatizo lako ipo kwa Mungu tu!
 
Mshukuru Mungu kwa kila jambo,Zali la mil 30 bongo hii bila mpango Mjii ni ndoto,Jamaa kesha tembea kwa waganga wa kienyeji na wamempa dawa hiyo,,

Aina ya hiyo dawa yenyewe haiitaji mambo ya kuuwa mtu sijui kwa ajili ya kafara hapana,

Sema jiandae tu akitoka kwa Dada ake eidha atakae fuata ni Mama yako au Mama yake, Sikutishi bali ndio ukweli wenyewe huo
 
toka tuoane mwaka 2002 tumeishi kwa amani na upendo,sote hatukua na ajira,sasa mwaka jana tumepata zali la mil.30,tumenunua gari na kujenga nyumba nzuri,sasa hivi mwenzagu amebadilika,analewa sana,nyumbani analala siku anazotaka,analeta mahawala zake chumbani,hashauriki,anatumia pesa hovyo hovyo,na amediriki hadi kutembea na dada yake ambae kitabia hajatulia.Hapa nilipo nimechanganyikiwa ee Mungu nisaidie
Pesa za mizimu(zali) mambo zake ndo hizohizo wewe kula jiwe tuuuu akugawie na gridi
 
Million 30 mmenunuwa gari na kujenga nyumba! Ni kijiji gani hicho mnachoishi? Na hiyo gari ni Morris?

Kalitu wilaya ya Nzega mkoa wa Tabora kanda ya Magharibi nchi ya Tanzania
 
toka tuoane mwaka 2002 tumeishi kwa amani na upendo,sote hatukua na ajira,sasa mwaka jana tumepata zali la mil.30,tumenunua gari na kujenga nyumba nzuri,sasa hivi mwenzagu amebadilika,analewa sana,nyumbani analala siku anazotaka,analeta mahawala zake chumbani,hashauriki,anatumia pesa hovyo hovyo,na amediriki hadi kutembea na dada yake ambae kitabia hajatulia.Hapa nilipo nimechanganyikiwa ee Mungu nisaidie

nawe usithubuju kulala na kaka yake mana wanawake huwa mwenzie akifanya hl nawe una plus najua mna watt 2lia mm huyo ni mwana mpotevu ipo sku ataelewa wa2weng huwa rimbuken wa pesa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom