Mume amenitenda

Mume amenitenda

na mimi naweza kukwambia gari nzuri inaanzia mil 80.....my point is uzuri kila mtu ana tafsiri yeye,huko kijijini kwao nyumba aliyojenga kwa mil 8 ndio nzuri kuliko zote ataacha kusema kajenga nyumba nzuri???


umeongea pointi mkuu, gari na nyumba nzuri vinategemea sana mtu anaonaje..
kwangu nyumba nzuri yaweza kuwa ya 20M wakati kwa mwingine SI lazima iwe hivo, gari zuri pia hivyo hivyo, yote haya inategemea mtu anaishi wapi, waliomzunguka Wako ktk hali gani kiuchumi na factors nyingine lukuki.
 
sidhani kama hiyo itasaidia kumrekebisha!

Suala la kutembea na dada yake mbona hilo si kosa hata kidogo, mimi nawaona watu wengi tu wanatembea na watoto wao, wakwe zao, dada zao, shangazi zao na hata mama zao tena kila siku, na hivi ndivyo familia zansvyotakiwa kuishi kwa upendo na umoja na amani, mimi sioni kosa hapo labda ingekuwa KAZINI na dada yake hapo ndiyo laana kubwa sana, UZINZI NA UASHERATI ni DHAMBI.

Hahaha unajarabu kupunguza makali ngolombwe
 
Hapa kuna kauongo
mil. 30 = nyumba nzuri + gari + hela za kuleweya + pesa za kuhonga...............duuuu

Nadhani alimficha pesa zingine,haiwezekani mil 30 ifanye yote hayo na aendelee kuweka!
 
Hivi, 30M is enough to turn you into an animal?
 
Kuna mambo huwa ni ya kuomba ushauri
Ila kuna mengine unatakiwa utumie akili
 
Mleta maada binafsi napata 'mashaka' na kauli yako kuwa pengine umeongeza 'chumvi' tu juu ya hilo la mumeo kulala dada yake wa toka ni toke...

Lakini basi, laiti kama ndio hilo ni kweli na wewe kama mke umejiridhisha pasipo shaka nafsini mwako...Ushauri wangu ni kuwa anza maisha yako mbele kwa mbele kwani familia hiyo ina damu chafu na laana inatafuna familia...Na pengine ukichunguza kwa undani utakuta ni laana inayotafuna ukoo. Na si ajabu kuwa ndio iwe tukio la kwanza katika ukoo huo.....Ni kama maji yenye kufuata mkondo (...soma laana inayotafuna kizazi). Mkipata watoto inaweza hata kwenda kuwatafuna baadae...
 
Kwani Fedha unajua zilipatikanaje!?!??? Wazazi wengi hujisifia Watoto Wao wanaoishi mijini ambao elimu Kwao iliwakimbia lakini Leo wana fedha.. Basi utasikia Mtoto wa flan HATA digrii Hana lakini kajenga boko Na ana miliki gari Zuri.

Kama hujui wapi alipata Fedha Wezi jua mambo mengine .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom