Huyo ndio mume Wako halisi sasa,Yule uliyeishi naye kwa amani na upendo alikuwa amefubazwa na kukosa pesa as nyote hamkuwa na ajira.
Umeshamfahamu sasa,Ni hiyari yako kuendelea naye au kujiweka pembeni.
Ukiamua kuendelea nae kuwa makini sana na watoto wenu,mtu anayetembea na dada yake sidhani kama uwezo wake wa kufikiri unafika hata MB 2!
pole sana dada yangu?mlimenage vipi kuishi bila ajira kwa muda wote huo?
back to the topic kwa sababu ni mume wako na mmeahidi kuwa pamoja siku zote za maisha yenu,ni hivi naweza kushauri kama una imani na maoimbi,funga na kuomba kwa wiki moja kwa imani kubwa na Mwenyezi Mungu atafungua njia!
pole sana ,Mwenyezi Mungu akupe Moyo wa uvumilivu na ssubira katika kipindi hiki kigumu,lakini zaidi zaidi ambadilishe mumeo na kuwa mume mwema na bora tena!
mwaka jana tumepata zali la mil.30,tumenunua gari na kujenga nyumba nzuri
toka tuoane mwaka 2002 tumeishi kwa amani na upendo,sote hatukua na ajira,sasa mwaka jana tumepata zali la mil.30,tumenunua gari na kujenga nyumba nzuri,sasa hivi mwenzagu amebadilika,analewa sana,nyumbani analala siku anazotaka,analeta mahawala zake chumbani,hashauriki,anatumia pesa hovyo hovyo,na amediriki hadi kutembea na dada yake ambae kitabia hajatulia.Hapa nilipo nimechanganyikiwa ee Mungu nisaidie
Pata pesa umjue mumeo, Filisika umjue mkeo!
snowhite is no longer a bright gal my dear,until further noticeeeeeeh! Hii kesi nzito. Kweli "mwanaume apate pesa ujue tabia yake." Kwanza kabisa jiweke mbali na kushrk nae tendo la ndoa ikilazmu tumia mpira.. Kabla sjaharbu as spo kwenye ndoa snowhite busara zako tafadhali znahtajika.
kumkimbia si suluhisho, pambana hata kama mtafika kunako Court, isitoshe anatoka na dadaye ukiwa na ushahidi wa kushawishi vyombo vya dola mbona watakiona cha MTEMAKUNI. kwa uwezo wake Muumba atakusaidia tu bi-dada.
aaaaah bana hii si ndo style ya mujhini shosti??Pole shosti. Huyu mume naamini atakuwa na ugonjwa wa akili pamoja na huyo mlaanika mwenzake huyo dadake. Unapaswa kuthubutu kuachana na habari ya cheti, hiko cheti cha ndoa si mume. Kwanza mchukulie sheria upate haki yako, halafu ondoka kaanze upya maisha yako. Nasema uondoke kwa sababu huo ugonjwa wake wa akili ni wa kujitakia mwenyewe na laana zake. Kimbia hapakufai hapo.
hehehe, haya bwana, lakini sio wote wanafanya hayo mabadiliko, mabadiliko ni kutokujitambua kwa mtu tu.