wa tumbo moja kabisa
Hapa kuna kauongo
mil. 30 = nyumba nzuri + gari + hela za kuleweya + pesa za kuhonga...............duuuu
toka tuoane mwaka 2002 tumeishi kwa amani na upendo,sote hatukua na ajira,sasa mwaka jana tumepata zali la mil.30,tumenunua gari na kujenga nyumba nzuri,sasa hivi mwenzagu amebadilika,analewa sana,nyumbani analala siku anazotaka,analeta mahawala zake chumbani,hashauriki,anatumia pesa hovyo hovyo,na amediriki hadi kutembea na dada yake ambae kitabia hajatulia.Hapa nilipo nimechanganyikiwa ee Mungu nisaidie
Kutembea na dada yake hiyo laana. Hata kama angekuwa katulia..
aaaaah bana hii si ndo style ya mujhini shosti??
kipi cha ajabu kwako hapo??
unatofautiana nn na huyu dadake shemeji yetu??
yule boss si huwa analala kwako na siku atakazochagua well utakazoamua ndo analala kwa mkewe?
AU?
NAULIZA TU!
Gari na nyumba nzuri kwa 30M anyway nisibishe huenda kuna tofauti katika ghalama za ujenzi kati ya mkoa na mkoatoka tuoane mwaka 2002 tumeishi kwa amani na upendo,sote hatukua na ajira,sasa mwaka jana tumepata zali la mil.30,tumenunua gari na kujenga nyumba nzuri,sasa hivi mwenzagu amebadilika,analewa sana,nyumbani analala siku anazotaka,analeta mahawala zake chumbani,hashauriki,anatumia pesa hovyo hovyo,na amediriki hadi kutembea na dada yake ambae kitabia hajatulia.Hapa nilipo nimechanganyikiwa ee Mungu nisaidie
Suala la kutembea na dada yake mbona hilo si kosa hata kidogo, mimi nawaona watu wengi tu wanatembea na watoto wao, wakwe zao, dada zao, shangazi zao na hata mama zao tena kila siku, na hivi ndivyo familia zansvyotakiwa kuishi kwa upendo na umoja na amani, mimi sioni kosa hapo labda ingekuwa KAZINI na dada yake hapo ndiyo laana kubwa sana, UZINZI NA UASHERATI ni DHAMBI.