Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 9,060
- 12,640
Hii imetokea kisiwani Zanzibar jamaa kumfumania mke wake analiwa nyumbn kwake wanapoishi yeye na mke wake, baada ya fumanizi jamaa akawapeleka polisi wote wawili mke wake na mgoni wake Kisha akaenda kufungua kesi mahakamani, kesi imesikilizwa mke na mgoni wameamriwa ama walipe faini ya laki 3 Kila mmoja ama waende jela miezi 6, mgoni kafanikiwa kulipia laki 3 na juachiwa huru ila mke kashindwa kulipa na hivyo ameamriwa na mahakama kutumikia kifungo Cha miezi 6 jela.