mkuu nimeangalia speech ya huyu jamaa nikajisikia aibu. yaani ni full aibu, da![video=youtube_share;e3BNegmIUKM]http://youtu.be/e3BNegmIUKM[/video]
Sekondari alisoma spesho skulz za wenye vipaji maalum?
Halafu sielewi kabisa mtu kama huyu ilikuwa kuwaje hadi akapewa unaibu waziri?
Hivi hata huwa wanafanyiwa usaili hao wateule za hizo nafasi?
I mean, hata mimi mbeba maboksi niliyeishia form four tena kwenye shule ya binafsi (kwa tuliofeli darasa la saba) ni kichwa kuliko huyo jamaa:becky:.