Mulugo Karudia Tena Madudu yake!

Mulugo Karudia Tena Madudu yake!

Na wewe umekosea, Mulugo alikosea kweli kuhusu hiyo miaka na alichosema ni Tanzania was found in 11964(one nineteen sixty four) badala ya 1964(nineteen sixty four) na siyo kama ulivyoandika. Audio ipo ukitaka weka hapa namba yako ya whatsapp nikutumie.

Niwhatsapp 0755513433
 
Na wewe umekosea, Mulugo alikosea kweli kuhusu hiyo miaka na alichosema ni Tanzania was found in 11964(one nineteen sixty four) badala ya 1964(nineteen sixty four) na siyo kama ulivyoandika. Audio ipo ukitaka weka hapa namba yako ya whatsapp nikutumie.

Kwahiyo unamtetea?
 
Sekondari alisoma spesho skulz za wenye vipaji maalum?

Halafu sielewi kabisa mtu kama huyu ilikuwa kuwaje hadi akapewa unaibu waziri?

Hivi hata huwa wanafanyiwa usaili hao wateule za hizo nafasi?

I mean, hata mimi mbeba maboksi niliyeishia form four tena kwenye shule ya binafsi (kwa tuliofeli darasa la saba) ni kichwa kuliko huyo jamaa:becky:.


Kasoma Sangu secondary school Mbeya na alitumia jina la MTU huyo....

Bora wewe mbeba boksi hata English unaijua kuliko huyu kilaza aliyeliacha uchi taifa!!!

Jamaa ni kilaza saaana.
 
Na wewe umekosea, Mulugo alikosea kweli kuhusu hiyo miaka na alichosema ni Tanzania was found in 11964(one nineteen sixty four) badala ya 1964(nineteen sixty four) na siyo kama ulivyoandika. Audio ipo ukitaka weka hapa namba yako ya whatsapp nikutumie.

0652112026 naziomba hizo spichi zake mkuu.
 
Mulugo kama Mbowe tu,wote walifoji vyeti,wote walipata div 0,wote wanatema pumba,mfano Mbowe badala ya kusema Zito is war yeye akaropoka Zito is who
nadhani hukusikia vizuri,mimi sikusikia kabisa!! Hebu rudia kuandika upya!
 
Ndiyo Waziri huyo!! Kumbe Kikwete alikuwa na kazi kwelikweli. No wonder Rais kisha jichokea na kazi. He can't wait for October to come!!
 
Akiwa anachangia katka Makadirio ya Matumizi ya Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Bungeni, amekurupuka tena Eti" CHUNYA INA UKUBWA WA KILOMITA 29".

Sasa swali ni je, hizo ni Kilomita za Mraba au kitu gani? Hajui hata Vipimo vya Matriki!

Ikumbukwe aliwahi sema Tanzania ni Muungano wa Visiwa vya Zimbabwe na Tanganyika,
Pia alisema Tanganyika got independent 11961(One Nineteen sixty one).

Napo kule Tukuyu Teachers College alidai atapandisha mishahara ya watumishi mpaka wapande kufikia "A".

Mwisho, aliwahi sema Supplementary ni somo kama masomo mengine hivyo lazima ufaulu tu, hakuna namna.

Huyu jamaa anafanya kusudi, ni Kilaza ama anakurupuka tu.
Hiyo ndio Tanzania nchi ya miujiza na maajabu. Watalii wanakuja Tanzania kwa mengi ikiwemo kutushangaa sisi Watanzania. Rejerea hutuba ya MKOSAMALI bungeni.
 
Ni makosa ya Kimatamshi tu...

Au majanga kama majanga mengine yanayoletwa na Muumba na sisi binadamu hatuna uwezo wa kuyazuia. Kategoria ya ukame, mafuriko ya mvua, utawala kandimizi wa chchiemu, nk. hahahahahahahahahah, wabongo hatuna noma, mambo mswano!!
 
huyu bwana mulugo ni kilaza wa ukweli wala haigizi. huyu mtu nashindwa kuelewa aliteuliwaje kuwa naibu waziri wa elimu...anatia huruma mno.

Uwaziri au unaibu wa uwaziri ni mambo ya kiuanamtandao hayo. hayana uhusiano na uwezo au ukilaza. Ndio maana wachichiemu wameng'ang'ania baraza la mawaziri liendelee kupatikana kwa utaratibu ule ule tuliouzoea. Kuishi kwa mazoea. wanajua ni masula ya kiuanamtandao!!
 
ni mbunge wa jimbo langu aliyepita bila kupingwa
 
Akiwa anachangia katka Makadirio ya Matumizi ya Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Bungeni, amekurupuka tena Eti" CHUNYA INA UKUBWA WA KILOMITA 29".

Sasa swali ni je, hizo ni Kilomita za Mraba au kitu gani? Hajui hata Vipimo vya Matriki!

Ikumbukwe aliwahi sema Tanzania ni Muungano wa Visiwa vya Zimbabwe na Tanganyika,
Pia alisema Tanganyika got independent 11961(One Nineteen sixty one).

Napo kule Tukuyu Teachers College alidai atapandisha mishahara ya watumishi mpaka wapande kufikia "A".

Mwisho, aliwahi sema Supplementary ni somo kama masomo mengine hivyo lazima ufaulu tu, hakuna namna.

Huyu jamaa anafanya kusudi, ni Kilaza ama anakurupuka tu.
Hiyo ya suplementary ni masomo kama mengine nimeipenda zaidi
 
Sekondari alisoma spesho skulz za wenye vipaji maalum?

Halafu sielewi kabisa mtu kama huyu ilikuwa kuwaje hadi akapewa unaibu waziri?

Hivi hata huwa wanafanyiwa usaili hao wateule za hizo nafasi?

I mean, hata mimi mbeba maboksi niliyeishia form four tena kwenye shule ya binafsi (kwa tuliofeli darasa la saba) ni kichwa kuliko huyo jamaa:becky:.

Ahsante! Ila STD VII hawafaulu bali wanachaguliwa! Ndiyo maana kuna 2nd selection
 
Huyu.nimbunge wangu najuta kumfaham huyu bwana lakin ukawa bunge.la.songwe wa wamelisusa thats why jamaa ataludi kwa kishindo my be.ccm wajichakachue wenyewe ila huyu bwana ndozii.kweli
 
Huyu.nimbunge wangu najuta kumfaham huyu bwana lakin ukawa bunge.la.songwe wa wamelisusa thats why jamaa ataludi kwa kishindo my be.ccm wajichakachue wenyewe ila huyu bwana ndozii.kweli
Mkuu, UKAWA wapo macho wewe subiri muda ufike. Hakuna Jimbo la kuachwa safari hii.
 
waziri mzigo wametufikisha hili taifa pabaya nina wasi wasi na uteuzi wake
 
Back
Top Bottom