Muliro: Tunafuatilia taarifa za Polepole kutekwa ila alisema hayupo nchini amerudi lini?

Muliro: Tunafuatilia taarifa za Polepole kutekwa ila alisema hayupo nchini amerudi lini?

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, na mkosoaji wa serikali ya Tanzania Humphrey Polepole, amevamiwa na kuchukuliwa na watu wasiojulikana, familia yake imethibitisha.

Ndugu wa Polepole wameambia BBC kuwa tukio hilo la kuvamiwa na kutekwa kwa ndugu yao kumetokea usiku wa kuamkia leo Jumatatu Oktoba sita nyumbani kwake jijini Dar Es Salaam.

Pia Soma:

 


Aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, na mkosoaji wa serikali ya Tanzania Humphrey Polepole, amevamiwa na kuchukuliwa na watu wasiojulikana, familia yake imethibitisha. Ndugu wa Polepole wameambia BBC kuwa tukio hilo la kuvamiwa na kutekwa kwa ndugu yao kumetokea usiku wa kuamkia leo Jumatatu Oktoba sita nyumbani kwake jijini Dar Es Salaam. BBC imezungumza na kamanda wa polisi kanda maalum ya Dar es salaam Jumanne Muliro amesema jeshi linafuatilia taarifa hizo.

SOURCE: BBC Swahili
 
If true, alizingua sana kuwa bongo.


WhatsApp Image 2025-10-05 at 1.37.41 PM.jpeg
 
Sasa mnataka kupindua nchi halafu mnalia.....ilikuwa inakuja tu kaanza mzee jana katoa kila kitu bado mzee Warioba hamshangai yupo kimyaa. Hakuna mtu akatukana serikali personal majina ya watu na wafanya biashara wakubwa akabaki salama.
 
Afande anajikanyagakanyaga tu anajua aliemchukua HP ni Mafwele kwani yeye Mafwele hamjui?
Katika maisha ya utumishi wowote ule ni vyema watu wakazingatia historia kuliko yajayo, kwasababu hakuna mapya chini ya jua. Everything pass.
 
Back
Top Bottom