Mukama: I will fight corrupt CCM leaders

Mukama: I will fight corrupt CCM leaders

kwenye katiba mpya kiwepo kipengele cha kuREVIEW wabunge na mawaziri ktk utendaji wao..wataacha kulopoka hizo non sense kama Sophia
 
Kama Mwenye Kiti kamjibu ushahidi ni 64% badala ya 82%, ni wazi kuwa jamaa (RA) alifanya kazi kubwa katika ushindi huo wa 82% tofauti na huu wa mwaka 2010.

Swali la kujiuliza ni vp alichangia kwa kiasi kikubwa ushindi huo pindi yeye ni mbunge tu tena toka jimbo lisilo na watu wengi kiivyo!?
 
Mnakumbuka ile makala ya Mwanahalisi iliyokuwa ikizungumzia AKILI YA SOPHIA HAIWEZI KUWAZA NJE YA NGONO???
Kwa sasa naamin akili ya Sophia ndivyo ilivyo.

Wakuu msisahau Benjamini Mkapa yupo kamati kuu na maufisadi yake kwa hiyo CCM wanatuzuga na hawana lengo la dhati kuisogeza mbele TZ
 
Na ni zaidi ya hao wanne!
Ni wengi...waendelee kutajwa!
 
To tell you the truth kama RA, EL na AC ni smart politically and intellectually wasijiuzulu. CCM haina kitu chochote cha kuwafanya. NOTHING.
 
Kama Mwenye Kiti kamjibu ushahidi ni 64% badala ya 82%, ni wazi kuwa jamaa (RA) alifanya kazi kubwa katika ushindi huo wa 82% tofauti na huu wa mwaka 2010.

Swali la kujiuliza ni vp alichangia kwa kiasi kikubwa ushindi huo pindi yeye ni mbunge tu tena toka jimbo lisilo na watu wengi kiivyo!?
Pia tujiulize kwa nini JK alisingizia udini kushusha ushindi wake wakati akiujua ukweli?
Sasa atawaeleza nini Waislam na Wakristo walioanza kupandisha joto?
 
Sijui tuanzie na azimio la arusha (sicialism), Au lile la Zanzimbar Capitalism. Sijui tutachukua miiko gani ya uongozi. Sijui tutafanyaje kuhusu yaliyoandikwa kwanye miongozo mbalimbali ya Chama.

Ujamaaaa! Sijui
Kazi kwelikweli.:redfaces:
 
Pia tujiulize kwa nini JK alisingizia udini kushusha ushindi wake wakati akiujua ukweli?
Sasa atawaeleza nini Waislam na Wakristo walioanza kupandisha joto?

Merytina ukweli huo wengine hawauoni, hasa waliokula kitu kidogo ili ku-propagate hisia za udini hawawezi kutambua hili.
Uzuri ni kwamba watanzania sasa wanaamka, ukiwaambia huyu mdini wanajua hakuna mtanzania asiyependa dini yake.
 
MAKONGORO HUREEEEEE........MAKONGORO SAFIIIIIIII......!
WHERE IS BUTIKU AND WARIOBA..? this is the time to speak...!
 
To tell you the truth kama RA, EL na AC ni smart politically and intellectually wasijiuzulu. CCM haina kitu chochote cha kuwafanya. NOTHING.

suala si kujiuzulu tu. Hebu tujiulize ni nani katika NEC na hata CC asiye kwenye payroll ya hawa watu politically, financially; mwenye mamlaka na nguvu ya kuwafukuza katika CCM?
 
suala si kujiuzulu tu. Hebu tujiulize ni nani katika NEC na hata CC asiye kwenye payroll ya hawa watu politically, financially; mwenye mamlaka na nguvu ya kuwafukuza katika CCM?


Mwenyekiti wa CCM wa mkoa Mara
 
[QUOTE=fangfangjt;1849378]source Raia Mwema
Katika kuchangia kwenye vikao vya CCM,Bw Makongoro alitaka rais ajitenge na watuhumiwa wote wa ufisadi.
Makongoro akasema anapokaa mwenyekiti taifa ni mahali patakatifu, na kwa ajili hiyo pasingeweza kusogelewa na shetani hata siku moja Mungu alipata kukutana na shetani barabarani.
Akasema kule sita (kwenye eneo la ujenzi anakoshinda akichanganya yege na kupiga bati) wanasema na wanataka watuhumiwa wote wa ufisadi watoke kwenye nafasi zao.
"Lowassa ni ndugu yangu. Sina matatizo naye. Najua ananipenda, nami nampenda. Lakini kule site wanasema hapana. Atoke. Tena nawe Mwenyekiti ulipokwenda Monduli ukainua mkono wake juu, ukasema hujapata kuona kama yeye, kule site wakauliza, sasa hii ndio nini?"
"Rostam simfahamu vizuri. Ninokotembelea yeye hawezi kuja na mimi siwezi kwenea anakotembelea. Sina ugomvi naye. Lakini kule site wanasema naye hapana. Ulipokwenda Igunga ukamuamsha mkono ukasema ni kama timu ya mpira iliokamilika watu kwenye site wakauliza sasa hii ndiyo nini?

"Nasikia Chenge wanamwita Mzee wa Vijisenth. Ni ndugu yangu. Sina hakika kama anavyo vijisenti kiasi hicho. Lakini kwenye site , si mimi watu wanasema naye hapana."

"Ulikwenda pia Rombo , ukamuamsha mkono Mramba, kule site wakatuuliza hii nini?"[/QUOTE]
MAY B NIGEAMINI KAMA ANGEKUWA ANA USHAWISHI KAMA MWALIMU NYERERE,HIYO NGUVU YA SODA TU........
 
Probably! He can coz he is civil servant oriented rather than party he is smhw a shushu guy (like marando mabere and mrema) malindi based nyerere orthodox oriented when he says he mean it he is always alone leaving without groups, disliking cheap politics but to fight corrupt ccm leaders is not a joke!!!!
Will you punch ze wall?
 
How clean is Mukama? could someone bring the profile of that man?
 
hapo red nimepapenda sana.
ukisoma Raia mwema on the same page JK anamkejeli Sofia Simba kuwa ushahidi wa ufisadi upo kwa ile 61% .Nashangaa JK alisingizia udini kumbe ukweli unao
Tulisema udini anauleta JK nchi hii, but alifail vibaya sana bora ameludi kwenye ukweli!
 
Huyu mama hajatulia, kuropoka ni jadi yake, mpaka ameshushuliwa ndio ataridhika, huyoo!!
 
Back
Top Bottom