Mukama: I will fight corrupt CCM leaders

Mukama: I will fight corrupt CCM leaders

Mzimu wa nyerere unarudi...kijana jasiri kweli.tatizo jk ataishia kucheka tu,,hata sita aliwahi kumwambia awe mkali kidogo akacheka tu
Mbali ya mzimu wa Nyerere upo wa Sokoine unakumbuka chanzo cha vita dhidi ya Uhujumu uchumi? kwani kuna tofauti gani baina ya fisadi na mhujumu uchumi?jk atasema akili za kuambiwa changanya na za kwake!! MBAYUWAYU!!!!
 
Naomba niulize kati ya Katibu Mkuu na Mwenyekiti nani mwenye cheo kikubwa?
Mwenyekiti anawakumbatia hao mafisadi, yeye Katibu mkuu atafanya nini?
Mimi binafsi naona hizi ni kauli za CCM za mfa maji.
Tunataka kuona Mwenyekiti akiwa clean bila biasness yoyote halafu asafishe nyumba yake.
Ni Mwenyekiti tu ndiye anayeweza kupunguza utitiri wa viongozi mafisadi ndani ya CCM.
Halafu hao wanaotajwa mafisadi mbona wote wameshinda kwa kishindo katika majimbo yao ya uchaguzi isipokuwa Mramba ambaye aliwatukana Warombo?
Ni vizuri kujua kuwa Watanzania siku hizi wanaangalia utendaji kazi wa mwakilishi wao bungeni na nche ya bunge!!!
 
Back
Top Bottom