Genekai
R I P
- Feb 9, 2010
- 12,517
- 4,985
Jibu jepesi kwa hoja nzito, ndio tatizo la wana CDM humu JF
Mkuu umeelewa nimemaanisha nini au ndo kuingia na prejudices, elewa kwanza ujumbe mkuu ndo tuendelee kuanzia hapo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu jepesi kwa hoja nzito, ndio tatizo la wana CDM humu JF
Jibu hoja acha bla bla ! sio ya kweli hayo
Kushindwa kuelewana na mtu sio dhambi, na believe me, deep down wewe mwenyewe ni shahidi ni watu wangapi umetofautiana nao kimtizamo.Mwalimu wasn't an angle hivyo sio kila alichokua anafikiria kilikua right.Kingine wewe sio reliable source so hatuna sababu ya kuamini upuuzi wako. Put down your facts else shut the **** up.
Nikinukuu maelezo yako............... ............."Na hili liko wazi IMF ndio walioanzisha vyama vingi kwa shinikizo zao"............... mwisho wa kunukuu. ...................... Unasemaje kuhusu uwepo waElewa maana ya kuanzishwa ilivyo andikwa kwenye thread yenyewe. Na hili liko wazi IMF ndio walioanzisha vyama vingi kwa shinikizo zao
My take : Kama hali ni hii basi haya pia yapo :
- CDM ni chama cha kutoka nje na kinafadhiliwa na watu wa nje kuivuruga nchi. Ili wakifanikiwa kuchukua dola, wale walio watuma na kuwafadhili wawalipe fadhila
- Kama aliye kianzisha alikorofisha na Mwasisi wa Taifa hili , basi alikuwa hana akili na adabu. Kutokana na msingi wa laana hiyo basi ndio maana CDM inazidi kuwatafuna kwa kutotii sheria za nchi. Mifano ipo wazi kabisa mauaji ya Arusha , utovu wa nidhamu bungeni nk
why waste your precious time with a fool. people may not notice the difference
Inaonekana wachangiaji wengi mnabeba huyu mtoto CDM kama glasi kwa tahadhari kubwa na hamtaki kusikia tofauti na "peoples' power" kwa kweli maji ya bendera ya CDM yamelogesha, itawabidi muanze safari ya Samunge mkapate kikombe cha BABU. Ukweli Ndio Huo CDM kina mkono wa IMF hivyo MTEI alipewa kazi maalum na Viranja kusajili chama ili wao waweze kupenyeza mawazo yao na kukidhi mahitaji yao!
why waste your precious time with a fool. people may not notice the difference
Na huu ufadhili wa maandamano kumbe pesa mwapata IMF , tunashukuru kwa kutujuza hivyo
Wewe ndiye asiye na HOJA.............. YAANI KWA AKILI ZAKO SOURCE YA INFORMATION HIYO NI MUKAMA...............!!!??? You are MENTALLY deadTatizo huna hoja, na si lingine lolote !
Hakuna ubaya wa kuanzishwa kwa shinikizo ili mradi ni shinikizo la kuwakomboa wananchi walalahoi ambao CCM imewafanya watumwa ndani ya ardhi ya mababu zao. Mashinikizo mengine ni muhimu sana, Angalia shinikizo la kumng'oa Gbagbo wa Ivory Cost lilivyokuwa zuri. Hata CCM hawana tofauti na Gbagbo, ni lazima ang'olewe madarakani ili watu wa Tanzania wapate mtawala anayewajali. Mimi siku natamani nihame Tz lakini hata nikihama watoto wangu na ndugu zangu watabaki TZ na hivyo ni bora niungane tu wapambanaji wa ukweli ili tuiokoe nchi yetu kutoka kwa nduli mwingine (CCM).Vyama vya upinzani vilianzishwa nchini Tanzania kwa mujibu wa sheria mwaka 1992.
Katibu mkuu wa CCM bw. Wilson Mukama anapotamka kwamba vyama vya upinzani vilianzishwa kwa shinikizo ana maana gani?
Akumbuke kwamba wanachama walioko kwenye vyama vya upinzani ni watanzania kama walioko ndani ya CCM.
Inawezekana pia CCM ikawa chama cha upinzani, na itakapotokea ikawa hivyo CCM nayo itakuwepo kwa shinikizo kutoka nje ya nchi?
CDM itazidi kusonga mbele mtajitahdi kugundua mbinu za kukidhoofisha lakini mtaishia kupewa majibu na ma great thinkers.
Bora kibaraka wako RAKipi bora wenye magamba ambao wameisha jivua magamba au kuwa chama cha vibaraka wa nje ? kuishi kwingi ni kuona mengi
Hivi akilivua bado utamwita kobe au marehemu kobe? CCM watawezaje kuvua gamba? Wakivua tu ujue hakuna atakayebakia kwenye chama na hicyo kitakufa automatically. Wao wasubiri tu wananchi watakapoliponda nyundo gamba lao lisambaratike kabisa.Nilifikiri baada ya kuondoka makamba basi ngojera na taarabu zitakwisha kumbe na huyu naye bado tu? Kweli kobe hawezi kuvua gamba lake!
Uwiiiiiiiiiiiii! Kumbe siku hizi Great Thinkers wamekuwa akina yakhe, wewe nawe ni Great thinker? mimi kuanzia leo nimejiondoa kwenye kundi hilo maana limevamiwa na popoNa ww umo kwani ? mbona tuliomo humu hatuzidi 5, na jina lako halipo
zitaandikwa kesho
laiti mukama angejuea kuwa osama angekufa jana yake ange-cancel hafla aliyowaandalia wahariri pale krmpiski jana jumatatu na kutoa pumba zake. Leo hii magazeti yoote, ni habari za osama tu katika lead story zao, isipokuwa habari leo tu ndiyo imetoa kipaumbele pumba za mukama pale kempiski kwa kuzifanya lead story.
na hivyo hivyo kwa habari za ris-one katika kuukana ubilionea wake.
hii safi sana wahariri wa magazeti – big up! Tuko pamoja!