mkulimamwema
Senior Member
- Apr 14, 2011
- 153
- 18
mkama hana jipya atuambie TLP JE
Laiti Mukama angejuea kuwa Osama angekufa jana yake ange-cancel hafla aliyowaandalia wahariri pale Krmpiski jana Jumatatu na kutoa pumba zake. Leo hii magazeti yoote, ni habari za Osama tu katika lead story zao, isipokuwa HABARI LEO tu ndiyo imetoa kipaumbele pumba za Mukama pale Kempiski kwa kuzifanya lead story.
Na hivyo hivyo kwa habari za Ris-One katika kuukana ubilionea wake.
Hii safi sana Wahariri wa magazeti – Big Up! Tuko pamoja!
Ukweli unauma , sishangai juu ya hilo
Lilombe: Inaonekana wachangiaji wengi mnabeba huyu mtoto CDM kama glasi kwa tahadhari kubwa na hamtaki kusikia tofauti na "peoples' power" kwa kweli maji ya bendera ya CDM yamelogesha, itawabidi muanze safari ya Samunge mkapate kikombe cha BABU. Ukweli Ndio Huo CDM kina mkono wa IMF hivyo MTEI alipewa kazi maalum na Viranja kusajili chama ili wao waweze kupenyeza mawazo yao na kukidhi mahitaji yao!
GeniusBrain:Mauaji ya arusha yaliisha ongelewa sana humu na chanzo ni CDM. Kuhusu bungeni Spika , Katibu wa bunge wameisha sema hawajawahi kuona bunge bovu kama hili kwa wabunge wa CDM kuuza sura badala kujadili hoja
GeniusBrain:Soma magazeti ya leo : Mtanzania etc
GeniusBrain: Jibu jepesi kwa hoja nzito, ndio tatizo la wana CDM humu JF
jamaa anaongea kama walimu wa biologia hasa wafundishapo classification, utasikia nyoka kawaida yake ni kujivua gamba ifikapo muda fulani, mara anasema maswala ya baridi na damu kuganda na mifano mingine ambayo hailandani.
Kweli jamaa ni mwalimu sio mwanasiasa kabisa.
OSAMA I APPRECIATE YOUR KIND FOR KILLING MUKAMA STORIES TO THE NEWS:israel::israel:
Laiti Mukama angejuea kuwa Osama angekufa jana yake ange-cancel hafla aliyowaandalia wahariri pale Krmpiski jana Jumatatu na kutoa pumba zake. Leo hii magazeti yoote, ni habari za Osama tu katika lead story zao, isipokuwa HABARI LEO tu ndiyo imetoa kipaumbele pumba za Mukama pale Kempiski kwa kuzifanya lead story.
Na hivyo hivyo kwa habari za Ris-One katika kuukana ubilionea wake.
Hii safi sana Wahariri wa magazeti – Big Up! Tuko pamoja!
Jamaa anaongea kama walimu wa Biologia hasa wafundishapo classification, utasikia nyoka kawaida yake ni kujivua gamba ifikapo muda fulani, mara anasema maswala ya baridi na damu kuganda na mifano mingine ambayo hailandani.
Kweli jamaa ni mwalimu sio mwanasiasa kabisa.
Vyema umetambua uwezo wa Mukama. Ukiona mti wa matunda haupopolewi na mawe ujue matunda hayo c mazuri na hayaliwe na wanadamu.