chama kimeanzishwa kwa shinikizo la shirika la fedha ulimwenguni (IMF). You can quote me on this (nikariri katika hili) . Yule aliyetofautiana na Nyerere ndiye aliyekwenda kukianzisha.
Kauli ya Mukama
My take : Kama hali ni hii basi haya pia yapo :
- CDM ni chama cha kutoka nje na kinafadhiliwa na watu wa nje kuivuruga nchi. Ili wakifanikiwa kuchukua dola, wale walio watuma na kuwafadhili wawalipe fadhila
- Kama aliye kianzisha alikorofisha na Mwasisi wa Taifa hili , basi alikuwa hana akili na adabu. Kutokana na msingi wa laana hiyo basi ndio maana CDM inazidi kuwatafuna kwa kutotii sheria za nchi. Mifano ipo wazi kabisa mauaji ya Arusha , utovu wa nidhamu bungeni nk
Ndugu yangu kutokana na jina lako nilifikiri utakuwa mwerevu ktk hoja zako nafkiri unazi au ushabiki umekujaa kiasi kwamba hutaki kutumia uerevu wako ktk kuchanganua mambo.
Kuhusu suala la vyama vingi lilikuwa agizo la IMF likiwa na lengo la kupanua demokrasia na kuongeza uwajibikaji wa serikali hili lilikuwa agizo kama la ubinafsishaji au cost sharing ambalo serikali ya CCM iliridhia na mwl nyerere mwenyewe aliliunga mkono.
Kuhusu suala la muasisi wa CDM na Nyerere kutofautiana mawazo ni jambo la kawaida na kile ambacho alikikataa kwa Mtei walikuja kukubali baadae tena likaleta hasara kubwa refer urasimu wakati wa ubinafsishaji so mwalimu angelikubali wakati ule haya yote yasingetokea, pia azimio la arusha ambalo pia lilileta kutokubaliana halikufanyiwa kazi ipasavyo na watenda kazi wa mwalimu coz lilikuwa more individual ideology. Kwa taarifa yako mwalimu alikuwa anamuheshimu sana Mtei na ushauri wake ndo mana hadi wakati anaaga dunia still alikuwa anamuita governor akisema once a governor always a governor na kuhusu kutofautiana kwao idea hebu fuatilia kilichojiri ktk mkutano wa nec 1977 pale arusha wakati mtei alipotakiwa kutoa ushauri wa kitaalamu kama gavana na kusema hali ya uchumi na kuhusu azimio la Arusha. Kwa msaada zaidi kuhusu hili naomba usome kitabu cha autobiography ya Edwin Mtei kinaitwa from ''Goatherd boy to Governor'' kuna kila kitu kuanzia tofauti yake na Nyerere hadi uanzishwaji wa CDM.
Ktk hili la kutofautiana mawazo na Nyerere si jambo la ajabu kwani mwalimu hakuwa malaika alikuwa na mapungufu yake pia kutofautiana idea ktk masuala fulani ni jambo la kawaida kwa intellectuals mfano mzuri ni mimi na wewe jinsi ambavyo hatujakubaliana ktk hili na sio kosa. Mbona mwalimu alitofautiana na Kwame Nkrumah ktk suala muungano wa africa sasa hapo nani alikosea? Any normal being kutofautiana idea ni kawaida since human beings are unique beings.
Mwalimu hakuwa Mungu alikuwa na mapungufu mengi, kuhusu kuwa CDM ni chama cha IMF ckubaliani na wewe wala Mukama kama ni mfuatiliaji mzuri wa siasa za Tanzania utakumbuka kuwa baada ya mfumo wa vyama vingi kuruhusiwa wanasiasa wa zamani ambao walikuwa hawkubaliani na siasa za mwalimu ktk mustakabali wa tanzania walianzisha vyama vya siasa vikiwa na malengo mazuri tu ya kuichallenge ccm na idea zake sema ccm ilivihujumu kwa kujaza mamluki wake huko na kuviua na cdm ilibaki na ikaendelea kustawi taratibu kwa stability ya mzee mtei mfano wa vyama hivo ni CUF chini ya James Mapalala yeye aliishia kufukuzwa, UMD chini ya Chief Abdalah Fundikira, TADEA ya Oscar Kambona na wengine kina kasela Bantu na Kasanga Tumbo wakiwa UDP so msianze kuleta uzushi kuhusu CDM cjui nini oohh nini timizeni wajibu wenu ebo! Ni chama kama vyama vingine vya siasa sema kimesurvive tsunami ya umamluki iliyoandaliwa na CCM thats why now mnaanza kuleta majungu na ninajua cdm kina malengo mazuri kwa tanzania kama yalivyokuwa mawazo ya nyerere ila katika persepective tofauti na ya mwalimu na ccm yake.
Anothertime geniousbrain use your ''high iq brain'' kusoma historia ya kitu before judging into conclusion, i know ur genious use ur ability