Inaonekana wachangiaji wengi mnabeba huyu mtoto CDM kama glasi kwa tahadhari kubwa na hamtaki kusikia tofauti na "peoples' power" kwa kweli maji ya bendera ya CDM yamelogesha, itawabidi muanze safari ya Samunge mkapate kikombe cha BABU. Ukweli Ndio Huo CDM kina mkono wa IMF hivyo MTEI alipewa kazi maalum na Viranja kusajili chama ili wao waweze kupenyeza mawazo yao na kukidhi mahitaji yao!
Nasema kwa kinywa changu Bora Magamba/Makamba na sio Mukama!!!Mukama is not a political material he sounds as civil servant.atafutiwe kazi nyingine,ukinibishia we kilaza!!!!???
Hivi humo CCM kuna mwenye akili kweli? Kama Mukama ndio "gamba jipya" na anaanza na "CDM ni ya IMF" tunategemea nini kutoka kwa this bunch of loosers?
Jana Nape kaja na mpya "Mtu akitaka kuoga huanzia kichwani"! Alikuwa anamaanisha Kamati Kuu ya CCM kujiuzulu kishkaji na kuundwa "upya" CCM imeanza kuoga kichwani. Hoja ndogo tu - wataunda misemo ya taarabu mingi lakini sisi tunasubiri majina ya mafisadi wanaotakiwa kuondoka CCM, maana bado. Tumesikia magamba yamevuka lkn hatujaona mtu ameondoka, na sasa kuoga unaanzia kichwani. We need names.
chama kimeanzishwa kwa shinikizo la shirika la fedha ulimwenguni (IMF). You can quote me on this (nikariri katika hili) . Yule aliyetofautiana na Nyerere ndiye aliyekwenda kukianzisha.
Kauli ya Mukama
My take : Kama hali ni hii basi haya pia yapo :
- CDM ni chama cha kutoka nje na kinafadhiliwa na watu wa nje kuivuruga nchi. Ili wakifanikiwa kuchukua dola, wale walio watuma na kuwafadhili wawalipe fadhila
- Kama aliye kianzisha alikorofisha na Mwasisi wa Taifa hili , basi alikuwa hana akili na adabu. Kutokana na msingi wa laana hiyo basi ndio maana CDM inazidi kuwatafuna kwa kutotii sheria za nchi. Mifano ipo wazi kabisa mauaji ya Arusha , utovu wa nidhamu bungeni nk