cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 85,662
- 137,389
Unipe taarifa km nna shem, niandae kijora cha send off. LolThank you dear. Asante kwa kujali pia.
Nice noon!
Unipe taarifa km nna shem, niandae kijora cha send off. LolThank you dear. Asante kwa kujali pia.
Nice noon!
Vile ulivyo mbabe nikahisi haupo romantic😯Hiyo ni kauli tu kama zilivyo zingine
Ni kama mtu aseme my pumpkin....logically kiswahili cha pumpkin ni boga lakini anayesema my pumpkin anakuwa na maana nyingine ambayo sio boga
So mie kumuita my smart ass sio kwamba namaanisha kiswahili chake....yuko veeeery smart kwa almost kila jambo ndio jina lilikotokea
mtafute dada yangu Lenie mfanye kikao kuhusu hili jambo..Unipe taarifa km nna shem, niandae kijora cha send off. Lol
hahaaaunavyomuita "baby" yeye ni mtoto?
HahaaaaaMnaendeleaje saivi wife ake mtu
Mbea wewe 😀😀Romantic names And Blind Dates
Ni mwendo wa kupostiana bila captions..
Na kuitana Tu..first name
Huku tarime hatuna huo muda wa kuitana majina hayo ya kilaghaiMahusiano wakati mwingine huwa yananogeshwa na vitu vidogo jamani msi complicate sana. Kwa mfano una girlfriend alafu eti hata hujawahi kumuita "baby". Wewe kila siku unamwita kwa jina lake mara Aisha, Zuhura, Catherine, Khdija.
Utafiti unaonesha kumuita mpenzi wako "baby"ni njia mojawapo ya kumfanya apunguze stress (hasa kwa wanawake). Halafu eti hata wakati mwingine MTU akiwa na washkaji zake anavyowasimulia kuhusu mpenziwe anatumia neno "demu"
Hebu mjifunze kuwa romantic jamani
umeua mkuuMtoa mada bhana, mm mpenzi wangu anamaziwa makubwa kuliko hata matako yake,, sasa kwa ukubwa wa minyonyo ile naanzaje kumuita baby?
Zaidi ya kumuita wewe Halima
Oooh bas sawa, ngoja nimtafute tupange kamati haraka iwezekanavyo.mtafute dada yangu Lenie mfanye kikao kuhusu hili jambo..
..no.. it's not a blind date... it's gonna be real..Romantic names And Blind Dates
Are you into her already..no.. it's not a blind date... it's gonna be real..
Let me say....sweet dreams to my prettyThank you dear. Asante kwa kujali pia.
Nice noon!
....Yes, I am...Are you into her already
Then tell out all romantic names so that she would feel romance....Yes, I am...
Hahaa...now it's time for her to rest...Then tell out all romantic names so that she would feel romance
Mwenyekiti wa kamati niko hapa kaka, harusi tunayo na lazima ibambemtafute dada yangu Lenie mfanye kikao kuhusu hili jambo..