zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,855
- Thread starter
- #21
Dah!Ni mwendo wa kupostiana bila captions..
Na kuitana Tu..first name
Dah!Ni mwendo wa kupostiana bila captions..
Na kuitana Tu..first name
Toka mmefall In love mpaka leo still yna2...mfundishe majina mengine kama honey,sweety,Ananiitaga beautiful namuita handsome.
Ingawa naenjoy zaidi akiwa ananiambia ananipenda ile " nakupenda Yna2 wangu"..![]()
Dah!mmesha kuwa wazeeNamwitaga "mzee mwenzangu" and she'z happy with that..
Kama huna pesa hata umuite majina yote romantic hapa duniani ni kazi bure !!!
Mie na boyfriend wangu tunaitana 'smart ass'
Na tuko romantic kinyama



Dah!pesa inapendwa na ladies kumbenakazia

Yeah still Yna2 na ndivyo navyopenda..Kuna wife sweetheart love ila akiniita jina langu nafurahia zaidi..😎Toka mmefall In love mpaka leo still yna2...mfundishe majina mengine kama honey,sweety,
we hupendi ?Dah!pesa inapendwa na ladies kumbe![]()
Umuite baby wakati unamlisha ugali dagaa wiki mbili atakuelewa kweli,si utazidi kumpandisha hasira matokeo yake ukose kila kitu...Mahusiano wakati mwingine huwa yananogeshwa na vitu vidogo jamani msi complicate sana...!
Kwa mfano una girlfriend alafu eti hata hujawahi kumuita "baby"
We kila siku unamwita kwa jina lake Mara Aisha,Zuhura,Catherine,Adija..
Utafiti unaonesha kumuita mpenzi wako "baby"ni njia mojawapo ya kumfanya apunguze stress(hasa kwa wanawake)
Alafu eti hata wakati mwingine MTU akiwa na washkaji zake anavyowasimulia kuhusu mpenziwe anatumia neno "demu"
Hebu mjifunze kuwa romantic jamani!!
Wanawake wa sikuizi wanapenda mwanaume wakukute Una kazi Una nyumba wao kutafuta na wewe pamoja hawatakiwe hupendi ?
unavyomuita "baby" yeye ni mtoto?Dah!mmesha kuwa wazee
Swaga hizo zilipendwa mbona hamsikii, nyakati hizi bila pesa unajidanganya tu unazitafuta presha zinazoweza kuepukikaMahusiano wakati mwingine huwa yananogeshwa na vitu vidogo jamani msi complicate sana...!
Kwa mfano una girlfriend alafu eti hata hujawahi kumuita "baby"
We kila siku unamwita kwa jina lake Mara Aisha,Zuhura,Catherine,Adija..
Utafiti unaonesha kumuita mpenzi wako "baby"ni njia mojawapo ya kumfanya apunguze stress(hasa kwa wanawake)
Alafu eti hata wakati mwingine MTU akiwa na washkaji zake anavyowasimulia kuhusu mpenziwe anatumia neno "demu"
Hebu mjifunze kuwa romantic jamani!!
UsitutisheMahusiano wakati mwingine huwa yananogeshwa na vitu vidogo jamani msi complicate sana...!
Kwa mfano una girlfriend alafu eti hata hujawahi kumuita "baby"
We kila siku unamwita kwa jina lake Mara Aisha,Zuhura,Catherine,Adija..
Utafiti unaonesha kumuita mpenzi wako "baby"ni njia mojawapo ya kumfanya apunguze stress(hasa kwa wanawake)
Alafu eti hata wakati mwingine MTU akiwa na washkaji zake anavyowasimulia kuhusu mpenziwe anatumia neno "demu"
Hebu mjifunze kuwa romantic jamani!!
Sikh akikuita mbwa utuambie piaWangu namuita..
"My Heart owner".
Okey smart ass.. Hebu niambie kwa Kiswahili smart ass ndiyo kitu ganiMie na boyfriend wangu tunaitana 'smart ass'
Na tuko romantic kinyama
Yeah still Yna2 na ndivyo navyopenda..Kuna wife sweetheart love ila akiniita jina langu nafurahia zaidi..![]()
