zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,855
- Thread starter
- #281
Wanawezaje kuwa na wake wengi wakat ata uyo mke mmoja kumtia vzur hawawezi mda wote wanawaza ela muda wote

kwa hiyo wabongo tunaosema pesa ndo penzi tunakoseaWanawezaje kuwa na wake wengi wakat ata uyo mke mmoja kumtia vzur hawawezi mda wote wanawaza ela muda wote

kwa hiyo wabongo tunaosema pesa ndo penzi tunakoseaHaahhahaa nakubar kamandaHakuna kitakacholinganishwa pesa tukiondoa uhai na afya. Zingine zote mbwembwe tu. Acha majina mazuri tuitwe sisi ila wao tutawapa pesa tu
Nyie mbuz mnaharibu thread taftaneni pmabsolutely kaka ake
Mbuzi mwenyeweNyie mbuz mnaharibu thread taftaneni pm
Yap tunakosea penzi bila kusimamia ukucha kazi burekwa hiyo wabongo tunaosema pesa ndo penzi tunakosea









Kwani tumeharibu thread yako...Nyie mbuz mnaharibu thread taftaneni pm




...




pole sana sis...mpuuze tu huyo...Mbuzi mwenyewe
Finally, mmeanza kuitana majina romantic!Mbuzi mwenyewe
Nimemuelewa wivu unamsumbua, nmeshampuuza kakake.pole sana sis...mpuuze tu huyo...
Daah 🤣🤣🤣Finally, mmeanza kuitana majina romantic!
Sijawah kumsikia akiniita kwa jina langu zaid ya "Mume wangu" na mm kumuita "Mke wangu" and we are happyMahusiano wakati mwingine huwa yananogeshwa na vitu vidogo jamani msi complicate sana. Kwa mfano una girlfriend alafu eti hata hujawahi kumuita "baby". Wewe kila siku unamwita kwa jina lake mara Aisha, Zuhura, Catherine, Khdija.
Utafiti unaonesha kumuita mpenzi wako "baby"ni njia mojawapo ya kumfanya apunguze stress (hasa kwa wanawake). Halafu eti hata wakati mwingine MTU akiwa na washkaji zake anavyowasimulia kuhusu mpenziwe anatumia neno "demu"
Hebu mjifunze kuwa romantic jamani
😀 nimecheka alfajiri yote hii... Ni wivu tu unamsumbuaMbuzi mwenyewe
Hahaaa ameshangaza sana😀 nimecheka alfajiri yote hii... Ni wivu tu unamsumbua
Happy new month to you and your brother Boeing 747
Ooh love, thank you very much for your wishes...nimecheka alfajiri yote hii... Ni wivu tu unamsumbua
Happy new month to you and your brother Boeing 747







Thank you dear. Asante kwa kujali pia.Ooh love, thank you very much for your wishes...
Happy new month too darling..
Ile chai ya saa nne kazini, please take care kikombe kisikuunguze hizo lips zetu honey..![]()
....nashukuru sana..Thank you dear. Asante kwa kujali pia.
Nice noon!
honey, usije ukapaliwa na oxygen darling..

