dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,718
- 18,687
Wakuu poleni sana na vita vya Iran na Israel via Marekani
Siyo poa wakuu wangu hii vita imeniathiri sana pakubwa ukizingatia mimi ni middle business man ambae kwa kiasi kikubwa nategemea mizigo kutoka China kisha na niuze kwa mlaji wa mwisho so hali siyo nzuri sana. Ila hivyo hivyo tunapambana.
Vita hivi siyo poa kabisa and this time Marekani wameingia cha kike mzozo ikiendelee hivi uchumi wa taifa na wangu kwa ujumla utayumba sana.
Pamoja na kwamba vita vinaendelea ila bado haijanizui kulamba bia mbili tatu ila sasa hivi nimepunguza bia kwamba nafanya mix ya bia na nyagi ili nifikie level mapema kabisa. Castle lite za cane mbili au tatu na nyagi kisichana pembeni yake ingawa pia nyagi zimekuwa fake mno ila hivyo hivyo nitapambana nayo tu inanipaga mzuka sana
Basi bhana kuna bar yangu huwa napenda tu kwenda kwa vyovyote vile kwani Ina watu wastarabu halafu mmiliki wake ni kigogo wa serikali katka idara fulani hivi
Hapa majuzi boss ameleta vyombo vipya kabisa wahudumu wapya vyuma kweli kweli, mara nyingi mimi sishobokei wahudumu ila this time huyu hapana ni mzuri kwa kiasi chake kiasi kwamba watu wanajazana kuja kuwapiga sound
Nimefanikiwa kupewa namba demu hashobokei bia wala misosi sana akitumia ni bia 2 flying fish basi anakushukuru anatumia iphone macho mawili 😆kiashirio kwamba kuna muwekezaji mkubwa lazima na mimi videmu vinaotumia iphone nawagusa tu kisha nasepa zangu
Naachi vumbi la hatari
Naomba kuwasilisha
Siyo poa wakuu wangu hii vita imeniathiri sana pakubwa ukizingatia mimi ni middle business man ambae kwa kiasi kikubwa nategemea mizigo kutoka China kisha na niuze kwa mlaji wa mwisho so hali siyo nzuri sana. Ila hivyo hivyo tunapambana.
Vita hivi siyo poa kabisa and this time Marekani wameingia cha kike mzozo ikiendelee hivi uchumi wa taifa na wangu kwa ujumla utayumba sana.
Pamoja na kwamba vita vinaendelea ila bado haijanizui kulamba bia mbili tatu ila sasa hivi nimepunguza bia kwamba nafanya mix ya bia na nyagi ili nifikie level mapema kabisa. Castle lite za cane mbili au tatu na nyagi kisichana pembeni yake ingawa pia nyagi zimekuwa fake mno ila hivyo hivyo nitapambana nayo tu inanipaga mzuka sana
Basi bhana kuna bar yangu huwa napenda tu kwenda kwa vyovyote vile kwani Ina watu wastarabu halafu mmiliki wake ni kigogo wa serikali katka idara fulani hivi
Hapa majuzi boss ameleta vyombo vipya kabisa wahudumu wapya vyuma kweli kweli, mara nyingi mimi sishobokei wahudumu ila this time huyu hapana ni mzuri kwa kiasi chake kiasi kwamba watu wanajazana kuja kuwapiga sound
Nimefanikiwa kupewa namba demu hashobokei bia wala misosi sana akitumia ni bia 2 flying fish basi anakushukuru anatumia iphone macho mawili 😆kiashirio kwamba kuna muwekezaji mkubwa lazima na mimi videmu vinaotumia iphone nawagusa tu kisha nasepa zangu
Naachi vumbi la hatari
Naomba kuwasilisha