Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 20,078
- 41,567
Nimesikitika mno nimehuzunika mnooo.Kila siku mapombe sio poa
Nimesikitika mno nimehuzunika mnooo.Kila siku mapombe sio poa
SafiiKaka siachi pombe bwasheee 😊 😁 😂
Amefunga pingu za maisha na pombeee 😊Safii
Sawa sawaPunguza mkuu angalau mara mbili kwa week Kwan ninyi zimekuwa fake
Lzm niwailoshe humu humuUsitunyime mrejesho muhimu SANAAAAAA tena sana
Huwa mnaokota rejectKwa hiyo bwashee walevi tumefanya nini?
Huyo rafiki yako kifo kinamtafutia sababu tu kunywa pombe 👍Amefunga pingu za maisha na pombeee 😊
Ila huyu rafiki yangu ambae INI LIME HARIBIKA UKIMUONA UNAMWONEA HURUMA YAANI YAANI POMBE SIO POAA KABISA
Daktari ni wewe kweli unaandika haya au simu anayo shemeji leo ?Ntaishi humu😊
Mazoea ni mabaya sana sanaa watu pamoja na kuwa wadau wa afya waandamizi senior lakini tumeangukia kwenye pombeee
Kaka Kuna rafiki yangu EDO huyu jamaa yangu Jana vipimo vimeonyesha INI LIME ANZA KUARIBIKA.Daktari ni wewe kweli unaandika haya au simu anayo shemeji leo ?
Usiogope sana kaka ,hakuna kipimo cha umekuja na Figo wala ini huko wanakopaita mbinguniKaka Kuna rafiki yangu EDO huyu jamaa yangu Jana vipimo vimeonyesha INI LIME ANZA KUARIBIKA.
SISI SIO WALEVI KAKA SISI NI WANYWAJI HATUNA BAYA 😊😊
Kaka tutapewa miili mipya 😊 mbinguni.Usiogope sana kaka ,hakuna kipimo cha umekuja na Figo wala ini huko wanakopaita mbinguni
Wote tu mkuuHuwa mnaokota reject
Ni feki lkn vina msuka sna hakn pombe og Tanzania hata bia hazina viwango kbsaa
Hapana kaka nipo navuja jasho hapa eti wanasema najenga nchi ,nitakuwa huko jioni ya Leo baada ya saa kumi na mbili kaka .Kaka tutapewa miili mipya 😊 mbinguni.
Bila shaka kaka muda huu utakua kwenye KITI KIREFUU KAKA..
Huyo demu mzuri tu ,sema nini mimi nikilewa huwa napiga stories tu nakusepa hao wanaweza kukufanya starehe ya pombe ikageuka shida kwako waone tu hivyo hivyo ni zaidi ya wanyama baadhi yaoKmmk huyu demu mkali mkuu labda uajmuona live
Ni feki lkn vina msuka sna hakn pombe og Tanzania hata bia hazina viwango
Picha ya PC yangu wamefuta ila ile PC mashine banadah kuna muhuidumu pale mbezibeach alikuwa kila akifunga bar lazima aje nimkoroge tope usiku bao mbili tatu
Kweli sisi wengine HATUWEZI kupitisha siku bila kunywa..Hapana kaka nipo navuja jasho hapa eti wanasema najenga nchi ,nitakuwa huko jioni ya Leo baada ya saa kumi na mbili kaka .
Ila kama kunywa tunywe tu kaka maana najiuliza ikitokea pombe ikasitishwa hapa nchini nitaishije hakika sitaweza kuishi