min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 58,066
- 166,625
Bwashee kunywa juice embe tuKweli sijui nianze kunywa nini kwa Sasa bia za lite kwangu hazinileweshi Wala sipati vibe..
Bia sipendii zinanuka labda nirudii kwenye Smirnoff ice na wine.
Bwashee kunywa juice embe tuKweli sijui nianze kunywa nini kwa Sasa bia za lite kwangu hazinileweshi Wala sipati vibe..
Bia sipendii zinanuka labda nirudii kwenye Smirnoff ice na wine.
Zamani humu jamvini ulikuwa unajifanyaga mwanamke hadi malofa wakawa wanakutongoza. Walipokushtukia ukazama chaka na kubadilisha avatar picha. Baadaye ukaamua tu uwe muwazi wewe dume.Wakuu poleni san na vita vya Iran na Israel via marekani
Siyo. Pouwa wakuu wangu hii vita imeniadhiri sana pakubwa ukizingatia mm ni middle business man ambae kwa kias kikubwa nategemea mizigo kutoka china kisha na mm niuze kwa mlaji wa mwisho so hali siyo nzuri sna. Ila hvyo hvyo tunapmbna
Vita hivi siyo pouwa kbsa and these time marekani wameingia Cha kike mzozo ikiendelee hv uchumi WA taifa na wangu kwa ujumla utayumba sna
Pamoja na kwamba vita vinaendelea ila bado haijanizui mm kulamba bia mbili tatu ila sas hv nimepumguza bia kwamba nafanya mix ya bia na nyagi ili nifikie level mapema kbsa .castle lite za cane mbili au tatu na nyagi kisichana pembeni yake ....utaona picha chini hapo ingawa pia nyagi zimekuwa fake mno ila hvyo hvyo ntapambana nayo tu inanipaga mzuka sna
Bas bhna kuna bar yangu Huwa napenda tu kwenda kwa vyovyote vile kwani Ina watu wastarabu alfu mmeliki wake ni kigogo wa serekali katka idara fln hv
Hapa majuz boss ameleta vyombo vipya kbsa wahudumu wapya vyuma kweli kweli .mara nyingi mm sishobokei wahudumu ila these time huyu hapana ni mzuri kwa kias chake kias kwamba watu wanajazana kuja kuwa piga sound .nimefanikiwa kupewa namba demu hashobokei bia wala misozi sana akitumia ni bia 2 flying fish basi ankushukushukuru anatumia iphone macho mawili 😆kiashirio kwamba kuna muwekezaji mkubwa lzm na mm videmu vinao tumia iphone nawaguza tu kisha nasepa zangu
Naachi vumbi la hatari
Naomba kiwasilisha
Sahih kbsa mali safi kbsa hii naanda laki. 150k nimkamlmbeMimi napiga bwashee 😅😅😅
Una uhakika sio mawazo ya kipombe pombe bwashee?Sahih kbsa mali safi kbsa hii naanda laki. 150k nimkamlmbe
Ntaishi humu😊Kunywa pombe Kali kila jioni ni hatari sana mkuu
Aaah ni hatari aisee
Punguza piga safari lager au bia nzito kama castle milk ambazo zitakupa mzuka lakini kukiacha na afya yako
😂😂😂 Hana ukali wowoteKmmk huyu demu mkali mkuu labda uajmuona live
Hpn hana ana kitamb fln hv ila imekaa vxr snaMbona ana mimba tayari au unataka kupalilia zao linalomea.
Kwa hiyo bwashee walevi tumefanya nini?Walevi bwana hicho kigauni kimekuchanganya
Bwashee kunywa juice embe tu
Endelee kukataa ila ukimuona umuachi😂😂😂 Hana ukali wowote
Hana tako
Kimo cha bata
Mguu wa nsajigwa
Manywele kama....
VAR imekataa hilo bao
Kila siku mapombe sio poaNtaishi humu😊
Mazoea ni mabaya sana sanaa watu pamoja na kuwa wadau wa afya waandamizi senior lakini tumeangukia kwenye pombeee
Kweli kisichana kina madhara gani mkuu hat hvyo lalamba mara moja kwa wek hicho kisichana kbsa kama nin gemu lzm nitumiePunguza pombe Kali
Ila usiache kabisa
Tutakupoteza
Hahaha kwenye tu kwa ratiba bwasheeKaka siachi pombe bwasheee 😊 😁 😂
Pumbavu snaa kijan nani aliwai kuwa demu humu ile pic nilikuwa namiliki nilikuwa naktomba hadi nikazalia mtoto ndoo nikapata mzuka nikamposti sas ninyi mkajuwaZamani humu jamvini ulikuwa unajifanyaga mwanamke hadi malofa wakawa wanakutongoza. Walipokushtukia ukazama chaka na kubadilisha avatar picha. Ukaamua tu uwe muwazi wewe dume.
Unataka Dr. Namugari arushe ngumiiii..😂😂😂 Hana ukali wowote
Hana tako
Kimo cha bata
Mguu wa nsajigwa
Manywele kama....
VAR imekataa hilo bao
Hpn mkuu maungi yako na Tako lake limeka vxr snaWalevi bwana hicho kigauni kimekuchanganya
Mimi imekua ni daily basis yaani ni pai.Hahaha kwenye tu kwa ratiba bwashee
Unataka Dr. Namugari arushe ngumiiii..
Mimi nasubir kwenye Uzi wa kula tunda kimasiala...tuka burudishe machoo kuleee 😁😂
Usitunyime mrejesho muhimu SANAAAAAA tena sanaNikimlamba lazm nilete mrejsho humu humu