The Khoisan
Platinum Member
- Jun 5, 2007
- 18,258
- 17,456
Huyo mchuzi hana upeo wa kielimu, ni walewale bendera fuata upepo. Huoni ni jinsi gani anavyopandisha kiswanglish kwenye blog yake akifanya utaniutani kumbe ndiyo kweli. Msimulaumu yeye ni system ya CCM ndiyo ilivyotukuza ila inahitaji upeo wa kielimu kujikwamua na ukoloni mamboleo wa CCM.
Mimi kwenye blog yake huwa naenda kuangalia tu X-change rate na bureau de change za mtaani. Ila siku hizi hato yuko kwenye campaign!!
Mimi kwenye blog yake huwa naenda kuangalia tu X-change rate na bureau de change za mtaani. Ila siku hizi hato yuko kwenye campaign!!