Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 14,558
- 31,965
Huyu mleta mada ni Mgalatia aliyepakwa mafuta na Mwamposaš¤£š¤£š¤£
Hapo Muddy anataka mwingizo mqema upi? Anaomba kabisa..,. š
Huyu mleta mada ni Mgalatia aliyepakwa mafuta na Mwamposaš¤£š¤£š¤£
Ushapakwa mafuta na Mwamposa?Hapo Muddy anataka mwingizo mqema upi? Anaomba kabisa..,. š
Ushapakwa mafuta na Mwamposa?
Tafsiri ya Sheikh Ibnu Kathir inaeleza baada ya watu wa Makka kumfanyia uadui, aliagizwa kuenda Makka ndipo mtume Muhammad akamuomba Allah amuingize Madina kwa wema na amtoe Makka kuelekea Madina kwa wema. Maelezo mengine mo kwamba alimuomba Allah amuondoe dunia (amfeshe) kwa wema na amfufue siku ya Qiyama kwa wema.Katika kitabu hiki cha shehe MUZAFFAR AHMAD DURRANI, kuna tafsiri ya Qur an 17:81 nayo inakwenda kama ifuatavyo
Tafsiri: "Mola wangu uniingize mwingizo mwema".
Wanazuoni wa dini ya Allah hapa Muhammad alimaanisha mwingizo gani alitaka aingizwe na Allah?
Hiyo aya umeisoma vizuri? Ni Muhammad ndiye anayesema hivyo? Ni vizuri kujifunza kusoma, vinginevyo utatawaliwa na mihemko.Hapo Muddy anataka mwingizo mqema upi? Anaomba kabisa..,. š
Hapa umepotosha. Aya hii inaanza na neno "sema" ambalo wewe hukuliweka kwa makusudi ili kuwapotosha wasiojua. Baada ya hayo, sasa soma tena comment #24. Sisi tuliojaaliwa kujua tutaonesha kwamba wewe ni muongo na mpotoshaji.Katika kitabu hiki cha shehe MUZAFFAR AHMAD DURRANI, kuna tafsiri ya Qur an 17:81 nayo inakwenda kama ifuatavyo
Tafsiri: "Mola wangu uniingize mwingizo mwema".
Wanazuoni wa dini ya Allah hapa Muhammad alimaanisha mwingizo gani alitaka aingizwe na Allah?
Si kweli, nimeweka kitabu hapo juu nilicho nukuu, Semeni alitaka kuingizwa mwingizo gani?Hapa umepotosha. Aya hii inaanza na neno "sema" ambalo wewe hukuliweka kwa makusudi ili kuwapotosha wasiojua. Baada ya hayo, sasa soma tena comment #24. Sisi tuliojaaliwa kujua tutaonesha kwamba wewe ni muongo na mpotoshaji.
Ndiyo, kwa mujibu wa tafsiri hapo juu ni kwamba Muhammad anaomba kuingizwa na Allah na anataka mwingizo mwema, sijui ni upi huošHiyo aya umeisoma vizuri? Ni Muhammad ndiye anayesema hivyo? Ni vizuri kujifunza kusoma, vinginevyo utatawaliwa na mihemko.
Labda kuingiza kunako yas yake na kuchimbuliwa mboleaNdiyo, kwa mujibu wa tafsiri hapo juu ni kwamba Muhammad anaomba kuingizwa na Allah na anataka mwingizo mwema, sijui ni upi huoš
Si kweli, nimeweka kitabu hapo juu nilicho nukuu, Semeni alitaka kuingizwa mwingizo gani?
Hajasema Muhammad SAW. Hii ni aya Allah anamwagiza Muhammad SAW na Waislamu wengine waombe dua hii. Haya si maneno yake na wala hajasema yeye.Ndiyo, kwa mujibu wa tafsiri hapo juu ni kwamba Muhammad anaomba kuingizwa na Allah na anataka mwingizo mwema, sijui ni upi huoš
Si kweli, nimeweka kitabu hapo juu nilicho nukuu, Semeni alitaka kuingizwa mwingizo gani?
1. Rejea Quran 17:80/81 kulingana na chapa uliyonayo halafu sema.Si kweli, nimeweka kitabu hapo juu nilicho nukuu, Semeni alitaka kuingizwa mwingizo gani?
Ipo kwenye kitabu gani hii mkuuš šBhahahahaaa, amakweli uislamu ni kituko, kuna ile nyingine ya muhammad kuiba ngawira wakati wenzake wamemshtukia eti Allah akashusha aya usiku kusema, mtume haibi bali anachukua.
Soma tafsiri hiyo hapo kwenye kitabu cha shehe, Muhammad anaomba kuingizwa muingizo mwema na Allahššš1. Rejea Quran 17:80/81 kulingana na chapa uliyonayo halafu sema.
2. Kitabu unachozungumzia kinaelekeza dua ya kuomba Muislamu anapoingia makazi mepya ambapo mtunzi anawaelekeza wanaotaka kuingia makazi hayo waombe dua hii. Kwa maana hiyo kwa mujibu wa kitabu hicho, swala namba 10, hiyo si Quran bali ni dua inayopaswa kuombwa na yeyote awaye.
Aya ya Quran imeanza na neno "ŁŁ" lenye maana "sema"ambalo wewe hukulisema ili kupotosha, ila kwa bahati tunajua na sasa tunaonesha upotoshaji wako ili watu waelewe.
3. Angalizo: Quran 2:2 inasema " hiki ni kitabu hakina shaka ndani yake ni uongofu kwa wanaomcha Mwenyezimungu". Wewe ukijaribu kukiletea changamoto utaadhirika. Achana nacho.
Achana nae huyo Ukafiri unamsumbuaHiyo aya umeisoma vizuri? Ni Muhammad ndiye anayesema hivyo? Ni vizuri kujifunza kusoma, vinginevyo utatawaliwa na mihemko.
Tafsiri ile ni ya dua ambayo mtu anaomba akiingia kwenye makaazi mepya na wala hasemi Muhammad SAW. Utaaibika na watu watakuona ponjoro hayawani, usiyejua kitu.Soma tafsiri hiyo hapo kwenye kitabu cha shehe, Muhammad anaomba kuingizwa muingizo mwema na Allahššš
Ni utaratibu wa kawaida mtu wa kawaida kufanya kitu halafu akasema "tumefanya" ili kuonesha ukuu/mamlaka yake. Sasa binadamu wa kawaida anasema hivyo seuze Mungu - muumba wa kila kitu. Karibu sana.Quran ni kitabu cha upotoshaji,wewe Zawadini naomba unijibu swali langu! Ktk dini ya uislamu ALLAH ni mmoja pekee hana mwana wala ndugu je, "Quran 15:26 allah anasema, na TULIWAUMBA mtu kwa udongo unaotoa sauti unaotokana na matope yaliyotiwa sura" 15:27 anaendelea kusema "na majini TULIWAUMBA kabla kwa moto wa upepo umoto" Hapa Allah alikuwa na nani kipindi wanawaumba wanadamu pamoja na majini?
Ni kweli lakini tumuoneshe njia, awache kusema uongo na kupotosha kwa mambo ambayo yako wazi. Yeye anadhani sisi hatujui na hatuwezi kumjibu. Hili ndilo ninalolifanya. Huyu mpaka akae sawa.. ndio niachane naye.Achana nae huyo Ukafiri unamsumbua
mfano, serikali kujinadi kwenye miradi yake kuwa tumefanya hiki tumefanya kile kwa sababu serikali ni taasisi ina watu,je Mungu/Allah alimuumba mwanadamu akiwa na nani? Usikwepe kujibu swaliNi utaratibu wa kawaida mtu wa kawaida kufanya kitu halafu akasema "tumefanya" ili kuonesha ukuu/mamlaka yake. Sasa binadamu wa kawaida anasema hivyo seuze Mungu - muumba wa kila kitu. Karibu sana.