#COVID19 Mufti Zuberi: Ibada ya Hijja imefutwa kwa sababu ya Virusi vya Corona

Kwani Yale maombi ya upako ambayo waislamu walifanya hpa Tz na kuimaliza Corona hayakuweza kufika Saudia? Au kwa nini Mh. Mufti Mkuu hakuwapa upako waislamu wenzake Wa Saudia ili nao wafanye maombi kama Yale na kuitokomeza ili Mahujaji wasizuiwe kwenda kufanya ibada? Au waislamu Wa Saudia imani yao ni haba kuliko waislamu Wa kwetu?

Mkuu Lituye habari.

Mimi ni Mkristo "Born Again Christian" LAKINI niseme ulichoandika hapa kuhusu waislamu na ibada ya hija sio sahihi kabisa na ni busara kama utaomba Radhi; "Kuomba radhi ni dalili ya Unyenyekevu"

Ahsante
 
Taarifa yenye maneno ambuiguity.

Imefutwa and Watakao hiji ni waliokuwa tayari huko huko Saudia!

Elimu elimu elimu.
 
Habari wadau..!
Ni mwaka wa pili sasa wale ndugu zangu waislam hawataweza kutekeleza ile nguzo muhimu ya uislam yaani ibada ya hijja.

Watanzania hawataweza kwenda hijja mwaka huu ,tangazo limetolewa na shekhe mkuu wa Tanzania Mufti Abubakar Zuberi Ally leo hii.
 
Habari wadau..!
Ni mwaka wa pili sasa wale ndugu zangu waislam hawataweza kutekeleza ile nguzo muhimu ya uislam yaani ibada ya hijja.

Watanzania hawataweza kwenda hijja mwaka huu ,tangazo limetolewa na shekhe mkuu wa Tanzania Mufti Abubakar Zuberi Ally leo hii.
Nyoosha maelezo yako vizuri mkuu, Ibada ya Hijja haikufutwa bali Mahujaji kutoka nje ya Saudia hawataruhusiwa kuja kuhiji , only wataruhusiwa baadhi ya waliomo ndani ya nchi ya Saudia kufanya ibada hiyo.
 
Recently waliweka kizuizi kwa waumini ambao hawaja pata chanjo, now how?
 
Back
Top Bottom