Maghayo
JF-Expert Member
- Oct 5, 2014
- 13,717
- 29,073
Mzuka Wanajamvi.
Katika mitandao ya kijamii hasa tiktok kuna mjadala mpana wa waislam wakijadialiana kutaka na kuhimizana kususa kwenda hija kuwakomesha watawala wa kifalme Saudi Arabia hasa MBS.
Wanadai hela wanayopata kupitia hija ni nyingi sana hadi inawapa kiburi na kukufuru hadi kupelekea kufanya mambo ya ajabu na mambo ya kijinga kwenye ardhi tukufu kinyume na uislamu bila aibu na uwoga. Na pia kuiunga mkono taifa teule la Israel na kutojali manyanyaso na masahibu ya wapalestina yanayotokana na kuadhibiwa na wateule hao kutokana na harakati zao za kigaidi (terror activities) wenyewe wakidai wapigania uhuru.
Wamedai wakisusa kwenda Hija pato la taifa Saudi Arabia litashuka na uchumi kutetereka hata licha ya uzalishaji wa mafuta. Wakitoa mfano kila muislamu anayeenda kuhiji analipa dollars za marekani 6000 sasa jumlisha iyo 6000 mara million 3.
Wameenda mbali na kuwapongeza raia wengi wa kawaida Saudi Arabia kupinga yanayoendelea Saudia na kuiunga mkono Palestina.
Mtoto wa kifalme wa Saudia Mohammed bin Salman (MBS) amekuwa akilaaniwa na waislamu wengi duniani hadi msikitini kwa kuruhusu mambo ya kikafiri na kujenga urafiki na taifa teule la Israel.
Pia kupitia MBS kanisa la kwanza litajengwa Saudi Arabia tena kanisa la kilokole. Sasa hivi wakristo nchini humo hasa wahamiaji hujikusanya kwa makundi kwenye nyumba kufanya ibada.
Mungu mbariki MBS na utawala wa kifalme wa Saudi Arabia.
Wote kwa pamoja tuseme AMEN.
Katika mitandao ya kijamii hasa tiktok kuna mjadala mpana wa waislam wakijadialiana kutaka na kuhimizana kususa kwenda hija kuwakomesha watawala wa kifalme Saudi Arabia hasa MBS.
Wanadai hela wanayopata kupitia hija ni nyingi sana hadi inawapa kiburi na kukufuru hadi kupelekea kufanya mambo ya ajabu na mambo ya kijinga kwenye ardhi tukufu kinyume na uislamu bila aibu na uwoga. Na pia kuiunga mkono taifa teule la Israel na kutojali manyanyaso na masahibu ya wapalestina yanayotokana na kuadhibiwa na wateule hao kutokana na harakati zao za kigaidi (terror activities) wenyewe wakidai wapigania uhuru.
Wamedai wakisusa kwenda Hija pato la taifa Saudi Arabia litashuka na uchumi kutetereka hata licha ya uzalishaji wa mafuta. Wakitoa mfano kila muislamu anayeenda kuhiji analipa dollars za marekani 6000 sasa jumlisha iyo 6000 mara million 3.
Wameenda mbali na kuwapongeza raia wengi wa kawaida Saudi Arabia kupinga yanayoendelea Saudia na kuiunga mkono Palestina.
Mtoto wa kifalme wa Saudia Mohammed bin Salman (MBS) amekuwa akilaaniwa na waislamu wengi duniani hadi msikitini kwa kuruhusu mambo ya kikafiri na kujenga urafiki na taifa teule la Israel.
Pia kupitia MBS kanisa la kwanza litajengwa Saudi Arabia tena kanisa la kilokole. Sasa hivi wakristo nchini humo hasa wahamiaji hujikusanya kwa makundi kwenye nyumba kufanya ibada.
Mungu mbariki MBS na utawala wa kifalme wa Saudi Arabia.
Wote kwa pamoja tuseme AMEN.