Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 4,188
- 9,165
DAARUL MAARIFA DAY 2025
Mheshimiwa Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania Dkt Abubakar Zuber Bin Ally anawaalika Waislam wote kuhudhuria katika Maulid ya Daarul Maarif, itakayofanyika Viwanja vya Msikiti wa Mfalme Mohammad VI Bakwata Makao Makuu.
Mufti amewataka Mashekhe wote wa Mikoa, Wilaya, Kata kuhamasisha na kuhudhuria katika Maulid hayo ambayo yataanzia tarehe 01 mpaka 03 August.
Tarehe 01/08/2025 saa 1 asubuhi Dua ya ufunguzi na usiku Samai. Jumamosi 02 saa 3 asubuhi Maulid ya akina Mama na Maonyesho ya Watoto wa Daarul Maarif, Saa 2 usiku ni Maulid kwa watu wake.
Na siku ya Jumapili tarehe 03 ni kilele cha Maulid, ambayo saa 10 Alasiri ni Zafa, saa 2 Maonyesho ya Wanafunzi wa Makao Makuu (Bakwata) pamoja na Maulid fupi. Khutba za Viongozi mbalimbali pamoja na Mgeni rasmi.
Mheshimiwa Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania Dkt Abubakar Zuber Bin Ally anawaalika Waislam wote kuhudhuria katika Maulid ya Daarul Maarif, itakayofanyika Viwanja vya Msikiti wa Mfalme Mohammad VI Bakwata Makao Makuu.
Mufti amewataka Mashekhe wote wa Mikoa, Wilaya, Kata kuhamasisha na kuhudhuria katika Maulid hayo ambayo yataanzia tarehe 01 mpaka 03 August.
Tarehe 01/08/2025 saa 1 asubuhi Dua ya ufunguzi na usiku Samai. Jumamosi 02 saa 3 asubuhi Maulid ya akina Mama na Maonyesho ya Watoto wa Daarul Maarif, Saa 2 usiku ni Maulid kwa watu wake.
Na siku ya Jumapili tarehe 03 ni kilele cha Maulid, ambayo saa 10 Alasiri ni Zafa, saa 2 Maonyesho ya Wanafunzi wa Makao Makuu (Bakwata) pamoja na Maulid fupi. Khutba za Viongozi mbalimbali pamoja na Mgeni rasmi.