PreGE2025 Mufti Mkuu Abubakar bin Zuber kuongoza Dua ya Kumuombea Rais Samia

PreGE2025 Mufti Mkuu Abubakar bin Zuber kuongoza Dua ya Kumuombea Rais Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
Mufti Mkuu wa Tanzania Abubakar bin Zuber anatarajiwa kuongoza Dua ya Kuiombea nchi na Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na kuwaombea Dua masheikh walitangulia mbele ya haki.

Mufti Abubakar amesema katika Dua hiyo inatarajiwa kufanyika kwa siku 2 tarehe 8 - 10 jijini Dar es Salaam na mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais Dkt. Samia

Pia soma Pre GE2025 Miradi kuelekea Uchaguzi Mkuu: Mhandisi Kundo akagua mradi wa maji unaonufaisha zaidi ya wakazi 200,000 Chalinze
View attachment 3307011
Hapo hitasikia dini na siasa🤣🤣
 
Mufti Mkuu wa Tanzania Abubakar bin Zuber anatarajiwa kuongoza Dua ya Kuiombea nchi na Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na kuwaombea Dua masheikh walitangulia mbele ya haki.

Mufti Abubakar amesema katika Dua hiyo inatarajiwa kufanyika kwa siku 2 tarehe 8 - 10 jijini Dar es Salaam na mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais Dkt. Samia

Pia soma Pre GE2025 Miradi kuelekea Uchaguzi Mkuu: Mhandisi Kundo akagua mradi wa maji unaonufaisha zaidi ya wakazi 200,000 Chalinze
View attachment 3307011
Kama huyo ndio mufti wa Tanzania na Akili ndio hiyo sijui waliobakia yaani wale anaowaongoza wakoje.
 
Kuna Utapeli mwingi kupitia dini. Na matapeli namba moja kwenye dini ni hawa mashekhe wa BAKWATA. BAKWATA ilianzishwa na Serikali kwa malengo ya kisiasa, na imebakia hivyo mpaka leo.
Ni washenzi tu na wahuni kama wahuni wengine tu.
 
Ewe ndugu mwanaume wa kiislam, je yaruhusiwa mwanamke kukutawala? Au ni shetani kamzidi nguvu Allah.

Sipo kwa ajili ya ugomvi nataka kueleweshwa.
 
Mufti Mkuu wa Tanzania Abubakar bin Zuber anatarajiwa kuongoza Dua ya Kuiombea nchi na Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na kuwaombea Dua masheikh walitangulia mbele ya haki.

Mufti Abubakar amesema katika Dua hiyo inatarajiwa kufanyika kwa siku 2 tarehe 8 - 10 jijini Dar es Salaam na mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais Dkt. Samia

Pia soma Pre GE2025 Miradi kuelekea Uchaguzi Mkuu: Mhandisi Kundo akagua mradi wa maji unaonufaisha zaidi ya wakazi 200,000 Chalinze
View attachment 3307011
Kwa hiyo 'chura kiziwi' kuombewa dua na viongozi wa dini siyo kuingilia siasa ila hao hao viongozi wa dini wakimkosoa wanadaiwa kuingilia siasa !!!
 
Mufti Mkuu wa Tanzania Abubakar bin Zuber anatarajiwa kuongoza Dua ya Kuiombea nchi na Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na kuwaombea Dua masheikh walitangulia mbele ya haki.

Mufti Abubakar amesema katika Dua hiyo inatarajiwa kufanyika kwa siku 2 tarehe 8 - 10 jijini Dar es Salaam na mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais Dkt. Samia

Pia soma Pre GE2025 Miradi kuelekea Uchaguzi Mkuu: Mhandisi Kundo akagua mradi wa maji unaonufaisha zaidi ya wakazi 200,000 Chalinze
View attachment 3307011
well done mufti mkuu wa Tanzania Sheikh Dkt. Abubakar Zubeir Bin Ally , kwa maono ya mipango yenye nia njema kwa viongozi wa serikali na viongozi wa dini nchi,:ClapHD:

Allah akupe afya njema na maisha marefu :KasugaYeah:
 
Mufti Mkuu wa Tanzania Abubakar bin Zuber anatarajiwa kuongoza Dua ya Kuiombea nchi na Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na kuwaombea Dua masheikh walitangulia mbele ya haki.

Mufti Abubakar amesema katika Dua hiyo inatarajiwa kufanyika kwa siku 2 tarehe 8 - 10 jijini Dar es Salaam na mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais Dkt. Samia

Pia soma Pre GE2025 Miradi kuelekea Uchaguzi Mkuu: Mhandisi Kundo akagua mradi wa maji unaonufaisha zaidi ya wakazi 200,000 Chalinze
View attachment 3307011
Hapa muda si mrefu Mungu anaingilia kati kama alivyofanya Machi, 2021. Unafunga watu kwa dhuruma, unaua na kupoteza vijana halafu uombewee, ahh wapi.
 
Mufti Mkuu wa Tanzania Abubakar bin Zuber anatarajiwa kuongoza Dua ya Kuiombea nchi na Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na kuwaombea Dua masheikh walitangulia mbele ya haki.

Mufti Abubakar amesema katika Dua hiyo inatarajiwa kufanyika kwa siku 2 tarehe 8 - 10 jijini Dar es Salaam na mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais Dkt. Samia

Pia soma Pre GE2025 Miradi kuelekea Uchaguzi Mkuu: Mhandisi Kundo akagua mradi wa maji unaonufaisha zaidi ya wakazi 200,000 Chalinze
View attachment 3307011
Ni wakati sasa Waislam mnaojitambua mkaachana kabisa kufungamana na Bakwata ambao hawana tofauti na UVCCM, UWT, CWT, nk.

Nadhani Shura ya Maimamu ndiyo wanastahili kabisa kuwa wawakilishi halali wa Waislam nchini.
 
Mufti Mkuu wa Tanzania Abubakar bin Zuber anatarajiwa kuongoza Dua ya Kuiombea nchi na Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na kuwaombea Dua masheikh walitangulia mbele ya haki.

Mufti Abubakar amesema katika Dua hiyo inatarajiwa kufanyika kwa siku 2 tarehe 8 - 10 jijini Dar es Salaam na mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais Dkt. Samia

Pia soma Pre GE2025 Miradi kuelekea Uchaguzi Mkuu: Mhandisi Kundo akagua mradi wa maji unaonufaisha zaidi ya wakazi 200,000 Chalinze
View attachment 3307011
Upuuzi
 
Mufti Mkuu wa Tanzania Abubakar bin Zuber anatarajiwa kuongoza Dua ya Kuiombea nchi na Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na kuwaombea Dua masheikh walitangulia mbele ya haki.

Mufti Abubakar amesema katika Dua hiyo inatarajiwa kufanyika kwa siku 2 tarehe 8 - 10 jijini Dar es Salaam na mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais Dkt. Samia

Pia soma Pre GE2025 Miradi kuelekea Uchaguzi Mkuu: Mhandisi Kundo akagua mradi wa maji unaonufaisha zaidi ya wakazi 200,000 Chalinze
View attachment 3307011
Safi kazi iendelee
 
Back
Top Bottom