Mmemlaumu na wenginne kutoa maneno ya kashfa na kejeli, nadhani tumemkosea haki kwani hakuna anayeweza kujua ni jambo gani limemfanya asihudhurie. Jamani, Great thinkers, msiwe wepesi wa kulaumu na kuchangia mada bila kwenda kwenye chimbuko!!!!!
Kuna watu humu wanaamini kila kitu kishakua tayari kwa hiyo wanachama wengine hawana umuhimu.