Muendelezo wa Zitto Kabwe Kuasi chama?

Muendelezo wa Zitto Kabwe Kuasi chama?

1800

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2010
Posts
2,215
Reaction score
612
Leo Zitto Kabwe aliahidi kuwepo kwenye mkutano wa M4C hapa mjini Morogoro,katika hali ya kushangaza Zitto hakuweza kutokea mkutanoni japo aliahidi kutokea hata kama angechelewa, cha ajabu zaidi hata mawasiliano yake yalikuja kupotea mwishoni kutokana na kauli ya Dr Slaa!tunamshukuru kipenzi cha watu J.J.Mnyika, pamoja na uchovu na majukumu aliyokua nayo mchana mjini Dsm, ila alihakikisha amefunga safari na kudhuria M4C hapa Morogoro!Zitto tunapenda kujua huko pamoja nasi au wewe ni kenge ndani ya msafara wa Mamba?

wana Chadema wengi hawana imani tena na wewe!na mbinu uliyotumia kupotezea mawasiliano mwishoni wakati ulihaidi kuwepo mkutanoni ni utoto wa hali ya juu
 
Leo Zitto Kabwe aliahidi kuwepo kwenye mkutano wa M4C hapa mjini Morogoro,katika hali ya kushangaza Zitto hakuweza kutokea mkutanoni japo aliahidi kutokea hata kama angechelewa,cha ajabu zaidi hata mawasiliano yake yalikuja kupotea mwishoni kutokana na kauli ya Dr Slaa!tunamshukuru kipenzi cha watu J.J.Mnyika,pamoja na uchovu na majukumu aliyokua nayo mchana mjini Dsm,ila alihakikisha amefunga safari na kudhuria M4C hapa Morogoro!Zitto tunapenda kujua huko pamoja nasi au wewe ni kenge ndani ya msafara wa Mamba?wana Chadema wengi hawana imani tena na wewe!na mbinu uliyotumia kupotezea mawasiliano mwishoni wakati ulihaidi kuwepo mkutanoni ni utoto wa hali ya juu

Mkuu huyu nikenge
 
ha2jui kilichomsibu so nibora 2subiri kauli yake kwanza kuliko kuanza kujaji nw,
 
ha2jui kilichomsibu so nibora 2subiri kauli yake kwanza kuliko kuanza kujaji nw,

Ni kweli mkuu hatujuhi kilichomsibu,ila wengi mkutanoni walikua wakilalamika huyu mtu mienendo yake inatia shaka sana siku hizi, na kwenye harakati mbalimbali za chama haonekani, amekua ni mtu wa kujitenga!watu wamechoshwa nae!hii ya Morogoro leo si mara ya kwanza!
 
Cdm na jazba zetu tusipojisahihisha, itatughalimu. Tunapenda kulaumu sana. Zitto kwa upande wangu namuona kuwa ni mtu makini ambaye hupima jambo kabla hajachukua hatua.

In short the guy is real wise. Tutamlaumu sana zitto lakini huyu jamaa ni bonge la kiongozi siyo vilaza wetu akina mbowe na slaa ambao wamejaa umimi, ukabila, roho mbaya na uuaji.

Yanakuja ya ulimboka sasa ndipo mtakapojua kuwa cdm ni chama cha aina gani. Wanadhani watawin kwa kuchezea maisha ya watanzania na kuogea nuksi zao kwa serikali. Yetu masikio tusubiri watu kuumbuliwaaaaaaa!
 
Ni kweli mkuu hatujuhi kilichomsibu,ila wengi mkutanoni walikua wakilalamika huyu mtu mienendo yake inatia shaka sana siku hizi,na kwenye harakati mbalimbali za chama haonekani,amekua ni mtu wa kujitenga!watu wamechoshwa nae!hii ya Morogoro leo si mara ya kwanza!
nimekuelewa sana
 
Zitto siku zote ni mguu mmoja ndani na mwingine nje hasa ikizingatiwa anavyoteswa na malengo yake fichi ya kutaka awe rais wa Tanzania. The boy is now a liability to CDM. Boot him out just soon.
 
Cdm na jazba zetu tusipojisahihisha, itatughalimu. Tunapenda kulaumu sana. Zitto kwa upande wangu namuona kuwa ni mtu makini ambaye hupima jambo kabla hajachukua hatua. In short the guy is real wise. Tutamlaumu sana zitto lakini huyu jamaa ni bonge la kiongozi siyo vilaza wetu akina mbowe na slaa ambao wamejaa umimi, ukabila, roho mbaya na uuaji. Yanakuja ya ulimboka sasa ndipo mtakapojua kuwa cdm ni chama cha aina gani. Wanadhani watawin kwa kuchezea maisha ya watanzania na kuogea nuksi zao kwa serikali. Yetu masikio tusubiri watu kuumbuliwaaaaaaa!

Kajipange upya urudi kuchangia upya,usiwe kama the headless chicken!sidhani kama CDM wana watu wa aina yako wasioweza kujenga hoja ila kutoa michango yenye viroja!
 
Cdm na jazba zetu tusipojisahihisha, itatughalimu. Tunapenda kulaumu sana. Zitto kwa upande wangu namuona kuwa ni mtu makini ambaye hupima jambo kabla hajachukua hatua. In short the guy is real wise. Tutamlaumu sana zitto lakini huyu jamaa ni bonge la kiongozi siyo vilaza wetu akina mbowe na slaa ambao wamejaa umimi, ukabila, roho mbaya na uuaji. Yanakuja ya ulimboka sasa ndipo mtakapojua kuwa cdm ni chama cha aina gani. Wanadhani watawin kwa kuchezea maisha ya watanzania na kuogea nuksi zao kwa serikali. Yetu masikio tusubiri watu kuumbuliwaaaaaaa!

Unamtetea mumeo huyo kwanini useme unaudhuria kikao then uzime simu unafikiri Dr kusema Zitto tumemsubiri lakini kwasasa hapatikani, hiyo ndio kiongozi makini unayemsemea wewe au umetumwa?
 
Kwenye mstari wakwanza mpaka wa tatu uljanza kuchangia vizuri sana na kuonekana una zinga la hekima na busara, mtafiti na mchambuzi lkn mistati inayofuata baada ya hapo umaamua kuonesha rangi yako ya mawazo chakavu


Cdm na jazba zetu tusipojisahihisha, itatughalimu. Tunapenda kulaumu sana. Zitto kwa upande wangu namuona kuwa ni mtu makini ambaye hupima jambo kabla hajachukua hatua. In short the guy is real wise. Tutamlaumu sana zitto lakini huyu jamaa ni bonge la kiongozi siyo vilaza wetu akina mbowe na slaa ambao wamejaa umimi, ukabila, roho mbaya na uuaji. Yanakuja ya ulimboka sasa ndipo mtakapojua kuwa cdm ni chama cha aina gani. Wanadhani watawin kwa kuchezea maisha ya watanzania na kuogea nuksi zao kwa serikali. Yetu masikio tusubiri watu kuumbuliwaaaaaaa!
 
Leo Zitto Kabwe aliahidi kuwepo kwenye mkutano wa M4C hapa mjini Morogoro,katika hali ya kushangaza Zitto hakuweza kutokea mkutanoni japo aliahidi kutokea hata kama angechelewa,cha ajabu zaidi hata mawasiliano yake yalikuja kupotea mwishoni kutokana na kauli ya Dr Slaa!tunamshukuru kipenzi cha watu J.J.Mnyika,pamoja na uchovu na majukumu aliyokua nayo mchana mjini Dsm,ila alihakikisha amefunga safari na kudhuria M4C hapa Morogoro!Zitto tunapenda kujua huko pamoja nasi au wewe ni kenge ndani ya msafara wa Mamba?wana Chadema wengi hawana imani tena na wewe!na mbinu uliyotumia kupotezea mawasiliano mwishoni wakati ulihaidi kuwepo mkutanoni ni utoto wa hali ya juu

ZITTO hakukosea bila shaka ,kwa sababu mkutano haukua halali kutokna na kutopata kibali cha polisi
 
Unamtetea mumeo huyo kwanini useme unaudhuria kikao then uzime simu unafikiri Dr kusema Zitto tumemsubiri lakini kwasasa hapatikani, hiyo ndio kiongozi makini unayemsemea wewe au umetumwa?
Slaa naye kachemka kwa nni asememe hadharani, kuwa mawasiliano ya ZITTO hayapatikani, hizo ni siri la ndani hakupaswa kusema kwenye jukwaa, hapo ni kuendeleza majungu.
 
Leo Zitto Kabwe aliahidi kuwepo kwenye mkutano wa M4C hapa mjini Morogoro,katika hali ya kushangaza Zitto hakuweza kutokea mkutanoni japo aliahidi kutokea hata kama angechelewa,cha ajabu zaidi hata mawasiliano yake yalikuja kupotea mwishoni kutokana na kauli ya Dr Slaa!tunamshukuru kipenzi cha watu J.J.Mnyika,pamoja na uchovu na majukumu aliyokua nayo mchana mjini Dsm,ila alihakikisha amefunga safari na kudhuria M4C hapa Morogoro!Zitto tunapenda kujua huko pamoja nasi au wewe ni kenge ndani ya msafara wa Mamba?wana Chadema wengi hawana imani tena na wewe!na mbinu uliyotumia kupotezea mawasiliano mwishoni wakati ulihaidi kuwepo mkutanoni ni utoto wa hali ya juu

Taratiiibu mkuu, tuvute subira. sioni haja ya kumsakama dizaini hiyo sasa hivi. tusubiri tuone, kama itakuwa hivyo, ndo utakuwa wakati mufaka wa kumshutumu. kwa sasa mi naamini bado ni mwenzetu.

Tuendeleeni kuwaelimisha watanzania, waelimike waachane na hili li-serikali la ccm MAJAMBAZI/MAFISADI/MANYANG'ANYI.
 
Slaa naye kachemka kwa nni asememe hadharani, kuwa mawasiliano ya ZITTO hayapatikani, hizo ni siri la ndani hakupaswa kusema kwenye jukwaa, hapo ni kuendeleza majungu.
Kama alisema kuwa Leo Tunategemea kuwa na Zitto kabwe watu wakisubiri uliotaka adanganye umma kuwa zitto anaharisha? Dr kafanya jambo la maana kwa kuutangazia umma kwasasa Zitto apatikani.
 
Taratiiibu mkuu, tuvute subira. sioni haja ya kumsakama dizaini hiyo sasa hivi. tusubiri tuone, kama itakuwa hivyo, ndo utakuwa wakati mufaka wa kumshutumu. kwa sasa mi naamini bado ni mwenzetu.

Tuendeleeni kuwaelimisha watanzania, waelimike waachane na hili li-serikali la ccm MAJAMBAZI/MAFISADI/MANYANG'ANYI.

Ulishasikia Zitto amehudhuria mkutano hata mmoja wa M4C? kwanini tusiseme si mwenzetu?
 
Leo Zitto Kabwe aliahidi kuwepo kwenye mkutano wa M4C hapa mjini Morogoro,katika hali ya kushangaza Zitto hakuweza kutokea mkutanoni japo aliahidi kutokea hata kama angechelewa,cha ajabu zaidi hata mawasiliano yake yalikuja kupotea mwishoni kutokana na kauli ya Dr Slaa!tunamshukuru kipenzi cha watu J.J.Mnyika,pamoja na uchovu na majukumu aliyokua nayo mchana mjini Dsm,ila alihakikisha amefunga safari na kudhuria M4C hapa Morogoro!Zitto tunapenda kujua huko pamoja nasi au wewe ni kenge ndani ya msafara wa Mamba?wana Chadema wengi hawana imani tena na wewe!na mbinu uliyotumia kupotezea mawasiliano mwishoni wakati ulihaidi kuwepo mkutanoni ni utoto wa hali ya juu

Hivi CDM wanahofia nini kutokuwepo kwa ZITTO katika mikutno yao? kwa nini wasitamke kuwa hawamtaki badala ya kumumunya maneno.
 
Slaa naye kachemka kwa nni asememe hadharani, kuwa mawasiliano ya ZITTO hayapatikani, hizo ni siri la ndani hakupaswa kusema kwenye jukwaa, hapo ni kuendeleza majungu.

Ficha upumbavu wako..kama wananchi waliaidiwa kuwa zitto atakuepo na hajatokea kwanini wasiambiwe sababu za kutokuepo.!!!
 
Back
Top Bottom