MKALIMOTO, ZZK anafanikiwa sana kuleta makundi ndani ya chama kama ilivyo ccm,hata wewe ni shabiki wa zito na sio chama.Cdm na jazba zetu tusipojisahihisha, itatughalimu. Tunapenda kulaumu sana. Zitto kwa upande wangu namuona kuwa ni mtu makini ambaye hupima jambo kabla hajachukua hatua. In short the guy is real wise. Tutamlaumu sana zitto lakini huyu jamaa ni bonge la kiongozi siyo vilaza wetu akina mbowe na slaa ambao wamejaa umimi, ukabila, roho mbaya na uuaji. Yanakuja ya ulimboka sasa ndipo mtakapojua kuwa cdm ni chama cha aina gani. Wanadhani watawin kwa kuchezea maisha ya watanzania na kuogea nuksi zao kwa serikali. Yetu masikio tusubiri watu kuumbuliwaaaaaaa!
Kwani chama kipo kwa ajiri ya kulindiana siri za ndani?wanachama na wafuasi wa Cdm walijua wazi kua Zitto angekuwepo mkutanoni, kwa hiyo ilikua ni stahiki kwa Dr Slaa kuweka wazi kua mawasiliano na Zitto yamekua hayapatikani ghafla,majungu na unafki ni hivyo ambavyo uliwaza wewe Dr Slaa afanyeSlaa naye kachemka kwa nni asememe hadharani, kuwa mawasiliano ya ZITTO hayapatikani, hizo ni siri la ndani hakupaswa kusema kwenye jukwaa, hapo ni kuendeleza majungu.
Cdm na jazba zetu tusipojisahihisha, itatughalimu. Tunapenda kulaumu sana. Zitto kwa upande wangu namuona kuwa ni mtu makini ambaye hupima jambo kabla hajachukua hatua. In short the guy is real wise. Tutamlaumu sana zitto lakini huyu jamaa ni bonge la kiongozi siyo vilaza wetu akina mbowe na slaa ambao wamejaa umimi, ukabila, roho mbaya na uuaji. Yanakuja ya ulimboka sasa ndipo mtakapojua kuwa cdm ni chama cha aina gani. Wanadhani watawin kwa kuchezea maisha ya watanzania na kuogea nuksi zao kwa serikali. Yetu masikio tusubiri watu kuumbuliwaaaaaaa!
Hivi CDM wanahofia nini kutokuwepo kwa ZITTO katika mikutno yao? kwa nini wasitamke kuwa hawamtaki badala ya kumumunya maneno.
Unakijua unachochangia au mradi na wewe umechangia?
Cdm na jazba zetu tusipojisahihisha, itatughalimu. Tunapenda kulaumu sana. Zitto kwa upande wangu namuona kuwa ni mtu makini ambaye hupima jambo kabla hajachukua hatua. In short the guy is real wise. Tutamlaumu sana zitto lakini huyu jamaa ni bonge la kiongozi siyo vilaza wetu akina mbowe na slaa ambao wamejaa umimi, ukabila, roho mbaya na uuaji. Yanakuja ya ulimboka sasa ndipo mtakapojua kuwa cdm ni chama cha aina gani. Wanadhani watawin kwa kuchezea maisha ya watanzania na kuogea nuksi zao kwa serikali. Yetu masikio tusubiri watu kuumbuliwaaaaaaa!
Slaa naye kachemka kwa nni asememe hadharani, kuwa mawasiliano ya ZITTO hayapatikani, hizo ni siri la ndani hakupaswa kusema kwenye jukwaa, hapo ni kuendeleza majungu.
acheni ulimbwikeni nyinyi, agenda ya m4c inatakiwa ieleweke kwanza kuwa ni nini then ndio mlaumu watu, ninavyoelewa ni kwamba watu msiende mikutanoni kwa kiu ya kuwaona viongozi au kiongozi flani , kikubwa ni kwamba watu wawe na kiu ya kusikia wat the propelaz of M4C want to say. je kutokuwepo zito mkutananoni kumekwamisha mkutano usifanyike au je ujumbe na dhamira nzima ya M4C haijaeleweka kwa wanamorogoro, why rushing to blame kabwe, je umeona wap kuwa performance ya kabwe kupungua akiwa bungeni na katika kuisimamia serikali. zito bado ni babu kubwaLeo Zitto Kabwe aliahidi kuwepo kwenye mkutano wa M4C hapa mjini Morogoro,katika hali ya kushangaza Zitto hakuweza kutokea mkutanoni japo aliahidi kutokea hata kama angechelewa,cha ajabu zaidi hata mawasiliano yake yalikuja kupotea mwishoni kutokana na kauli ya Dr Slaa!tunamshukuru kipenzi cha watu J.J.Mnyika,pamoja na uchovu na majukumu aliyokua nayo mchana mjini Dsm,ila alihakikisha amefunga safari na kudhuria M4C hapa Morogoro!Zitto tunapenda kujua huko pamoja nasi au wewe ni kenge ndani ya msafara wa Mamba?wana Chadema wengi hawana imani tena na wewe!na mbinu uliyotumia kupotezea mawasiliano mwishoni wakati ulihaidi kuwepo mkutanoni ni utoto wa hali ya juu
Mnafiki anapokua na waerevu na akagundua kwamba wamemgundua kua ni mnafiki uwa anajitenga na waerevu mwenyewe,tena kwa aibu kubwa
Cdm na jazba zetu tusipojisahihisha, itatughalimu. Tunapenda kulaumu sana. Zitto kwa upande wangu namuona kuwa ni mtu makini ambaye hupima jambo kabla hajachukua hatua. In short the guy is real wise. Tutamlaumu sana zitto lakini huyu jamaa ni bonge la kiongozi siyo vilaza wetu akina mbowe na slaa ambao wamejaa umimi, ukabila, roho mbaya na uuaji. Yanakuja ya ulimboka sasa ndipo mtakapojua kuwa cdm ni chama cha aina gani. Wanadhani watawin kwa kuchezea maisha ya watanzania na kuogea nuksi zao kwa serikali. Yetu masikio tusubiri watu kuumbuliwaaaaaaa!
acheni ulimbwikeni nyinyi, agenda ya m4c inatakiwa ieleweke kwanza kuwa ni nini then ndio mlaumu watu, ninavyoelewa ni kwamba watu msiende mikutanoni kwa kiu ya kuwaona viongozi au kiongozi flani , kikubwa ni kwamba watu wawe na kiu ya kusikia wat the propelaz of M4C want to say. je kutokuwepo zito mkutananoni kumekwamisha mkutano usifanyike au je ujumbe na dhamira nzima ya M4C haijaeleweka kwa wanamorogoro, why rushing to blame kabwe, je umeona wap kuwa performance ya kabwe kupungua akiwa bungeni na katika kuisimamia serikali. zito bado ni babu kubwa
Leo Zitto Kabwe aliahidi kuwepo kwenye mkutano wa M4C hapa mjini Morogoro,katika hali ya kushangaza Zitto hakuweza kutokea mkutanoni japo aliahidi kutokea hata kama angechelewa,cha ajabu zaidi hata mawasiliano yake yalikuja kupotea mwishoni kutokana na kauli ya Dr Slaa!tunamshukuru kipenzi cha watu J.J.Mnyika,pamoja na uchovu na majukumu aliyokua nayo mchana mjini Dsm,ila alihakikisha amefunga safari na kudhuria M4C hapa Morogoro!Zitto tunapenda kujua huko pamoja nasi au wewe ni kenge ndani ya msafara wa Mamba?wana Chadema wengi hawana imani tena na wewe!na mbinu uliyotumia kupotezea mawasiliano mwishoni wakati ulihaidi kuwepo mkutanoni ni utoto wa hali ya juu
Kwani viongozi wote walikuwepo, au una ugomvi na Zitto?
Acha kuhumu pasipo kujua kinachomsibu, hatujengi namna hii...