Muendelezo wa Zitto Kabwe Kuasi chama?

Ha ha haa, sasa uliwahi kusikia wapi CCm inatumia silaha, na kwani hizo silaha mpaka iagize ni za nn wakati yenyewe ndo imeshika hatamu najua hupendi kusikia hivyo lkn pole. ndo hivyo subirini zamu yenu na ninyi mkitaka kuagiza za jeshi lenu muagize lkn sio za chama. na mnavopenda kuzusha bila kutumia bongo. mtazusha mengi sana, na hii itawashusha sana na kuambulia patupu. Poleni.
Mkuu to make a long story short,jaribu kupitia gazeti mwananchi la leo kwenye kurasa wa maoni na uchambuzi,labda tunaweza pata mwanga zaidi
 
sasa kwani hamna vikao vya chama vya ndani mpaka mje kutuelezea hapa jf.hiyo simu wanajf ndo walimpigia akawazimia au ni hao viongozi wa cdm.
Conclusion ni kuwa hii uzi iko na maneno ingine.SISI SIO KAMATI KUU YA CHADEMA,hii kesi peleka kunakohusika.

Kwani Zitto anawajibika na kuwakilisha Kamati ya Cdm pekee au na kwa wananchi wake pia?kwani kamati kuu ya cdm ndio iliyomchagua kua mbunge au wananchi kwa kumpigia kura?kama anaenda tofauti wananchi wana haki ya kuhoji muenendo wako na si lazima kamati kuu pekee!

kuhusu suala la kuzima simu jiulize mara mbili mbili then ubongo wako utakupa jibu stahiki, kama akili yako imeona huu uzi huko na maneno tofauti basi kaa pembeni waache wenye hoja wachangie
 
Kitendo cha kumuamini sana huyo Dr wako ndo itatufanya tuelewe kuwa ni mumewe. Pili ni kwamba Zitto anajua maana na umuhimu wa kutii sheria bila shuruti, na ametawaliwa na busara zaidi na sio kukurupuka. kiufupi zitto amesoma akaelimika, ila hao top lea wenu Dr na mzee wa mikasino, ni madarasa tu kichwani lkn elimu sefuri. Zitto wasikuburuze hao, tunajua kama ni kuijengea umaarufu chadema wewe ndo Jembe, sasa umewafikisha juu, wanataka kukuchafua. we kaza buti tu mwanangu popote unafiti, hata ukigombea kiti binafsi unakubalika, watu wanaona uadilifu wako baba. achana na hao wakurupukaji.[/QUOTE

Umbumbumbu wako ndio unaokufanya utoe sifa za kijinga......! Kila raheli na Mgombea Binafsi wako. Utamchagua wewe na mashemeji wa Zitto ambao ni dada zako.
 
Acha kuwa kama kuku anayekataa vifaranga vyake wakikua. CHADEMA ni chama KIMETULEA ,TUNAWALEA na pia WATATULEA!. kwanini CHADEMA wafishe habari wakati ni chama cha wananchi na si CHAMA CHA SLAA,WAZEE WA PALE CCM, ZITTO WALA MBOWE! we dogo hilo pepo lako la USALAMA WA CCM kwenye jamii forum sipakutolewa!!!

mimi sina vifaranga bana...na kama chadema imekulea ni wewe sio mimi.na UKOME KUNILAZIMISHIA UCHADEMA WAKO HAPA .Peleka hukoo kwenu.
 
Kwani Zitto anawajibika na kuwakilisha Kamati ya Cdm pekee au na kwa wananchi wake pia?kwani kamati kuu ya cdm ndio iliyomchagua kua mbunge au wananchi kwa kumpigia kura?kama anaenda tofauti wananchi wana haki ya kuhoji muenendo wako na si lazima kamati kuu pekee!kuhusu suala la kuzima simu jiulize mara mbili mbili then ubongo wako utakupa jibu stahiki,kama akili yako imeona huu uzi huko na maneno tofauti basi kaa pembeni waache wenye hoja wachangie

sasa si uende kigoma ukashitakie...sasa unatueleza sie mambo yenu ya ndani ya chama sie tufanyaje munene.?
 
Alikugawia za Rostamu nini?mbona unachachawa sana
,unajifanya umesahau uhusiano wake na usalama wa Taifa,au ndio wewe,Zitto ni mwanasiasa mzuri lakini utake usitake ni opportunist

oppotunist zitto au watu wa mkoa wake?Acha ubaguzi wa kipumbavu tumia kichwa kufikiri sio makalio na jarbu kufcha ujnga wako
 
Cha msingi ni kuendelea ma mvement kwani mengine yatajibainisha yenyewe baadaye, hebu tuache kunlumu.

Kama kweli anajitenga ipo siku atajifunua. Mimi binafsi nampenda zitto bado . Ila watu morogoro walikuwa na shuku ya kumwona ztto kwani waliahidiwa kwamba atakuewpo
 
Something wrong in ur head,cant argue with a fool any more

hahahaha,.you just get funnier and funnier.Nevermind.

Iam sure once you have received the mental health suppot you need,you will be much more stable member of whatever society you come from and stop throwing insult once you run out of point.
 
Kwani Zitto anawajibika na kuwakilisha Kamati ya Cdm pekee au na kwa wananchi wake pia?kwani kamati kuu ya cdm ndio iliyomchagua kua mbunge au wananchi kwa kumpigia kura?kama anaenda tofauti wananchi wana haki ya kuhoji muenendo wako na si lazima kamati kuu pekee!kuhusu suala la kuzima simu jiulize mara mbili mbili then ubongo wako utakupa jibu stahiki,kama akili yako imeona huu uzi huko na maneno tofauti basi kaa pembeni waache wenye hoja wachangie

why dont you just call a press conference then if you whant people to hear you, huh?

Eti nitoke kwenye threat..once you post a thread ,you are expecting people to post opinions.WHAT DID YOU EXPECT?
Did you want all of us to post what you like..?common boy growup.

IF YOU DONT LIKE THE HEAT JUST GET OFF THE KITCHEN.
 
I been sitting on the fence regarding this issue for too long my butt are sore.time to climb down.

Mebbe it is just me...but i dont see how this guy have reached a conclusion to label zito as a rebel just because he didnt attend that particular campagn in moro.

The way i see it ,this guy ako na maneno mengine and is just using this thread to discredit zito and drum up more anti zito within chadema,for what reason?FIGURE IT OUT FOR YOURSELF.
 
Kitendo cha kumuamini sana huyo Dr wako ndo itatufanya tuelewe kuwa ni mumewe. Pili ni kwamba Zitto anajua maana na umuhimu wa kutii sheria bila shuruti, na ametawaliwa na busara zaidi na sio kukurupuka. kiufupi zitto amesoma akaelimika, ila hao top lea wenu Dr na mzee wa mikasino, ni madarasa tu kichwani lkn elimu sefuri. Zitto wasikuburuze hao, tunajua kama ni kuijengea umaarufu chadema wewe ndo Jembe, sasa umewafikisha juu, wanataka kukuchafua. we kaza buti tu mwanangu popote unafiti, hata ukigombea kiti binafsi unakubalika, watu wanaona uadilifu wako baba. achana na hao wakurupukaji.[/QUOTE

Umbumbumbu wako ndio unaokufanya utoe sifa za kijinga......! Kila raheli na Mgombea Binafsi wako. Utamchagua wewe na mashemeji wa Zitto ambao ni dada zako.
Ha ha haa yaani umeishiwa kabisa na sera. Zitto ni jembe mtake msitake, na ni mtaji mkubwa sana kwa cdm, kama hamuamini subirini aondoke ndo mtajua kwamba yeye ni nani katka cdm yenu ya M4C meaning movement for Chaga and Catholic.
 
You just can not say so and so is a rebel and stop there without actually proving it.only feeble minded people with vested interest will take you seriously.

And whoever beliave in that allegation is Dumb as a rock.
 
Back
Top Bottom