1800
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 2,215
- 603
- Thread starter
- #101
Mkuu to make a long story short,jaribu kupitia gazeti mwananchi la leo kwenye kurasa wa maoni na uchambuzi,labda tunaweza pata mwanga zaidiHa ha haa, sasa uliwahi kusikia wapi CCm inatumia silaha, na kwani hizo silaha mpaka iagize ni za nn wakati yenyewe ndo imeshika hatamu najua hupendi kusikia hivyo lkn pole. ndo hivyo subirini zamu yenu na ninyi mkitaka kuagiza za jeshi lenu muagize lkn sio za chama. na mnavopenda kuzusha bila kutumia bongo. mtazusha mengi sana, na hii itawashusha sana na kuambulia patupu. Poleni.