Muda wa ulimwengu na matukio yake tangu mwanzo wake

Muda wa ulimwengu na matukio yake tangu mwanzo wake

Shukrani sana mkuu Monstgala/Mgalanjuka, naisubiri kwa hamu sana iyo kitu,
Kwakua hatuta rudi kwenye ule uzi wa ALIENS & UFO, basi nitakuomba turudi mkono kwa mkono kwenye uzi wetu wa UKWELI WA KUSTAAJABISHA KUHUSU NYOTA ZA ANGANI, nikuulize hata kaswali kamoja tu nipate kujiridhisha
Men am so interested
Natanguliza shukrani

.made in mby city.

Nicolax, Tuko pamoja uliza maswali tu ntajibu kadri navyoweza.
 
sasa bwana monsta, inawezekana pia muda tunaohisi tunautumia ukawa ni imaginary?yani hakuna existance yake?

Muda si imaginary kwa maana ya kwamba haupo, hapana muda upo kabisa. Tunauhisi na tunaweza kuamua kupanga matukio ili tuupime kwa nadharia fulani za matukio ya asili na yale ya kujiwekea wenyewe. Matukio ya asili ni kama mizunguko ya dunia, jua etc inayotupa matukio yanayooneka ili tuone saa, siku, miezi, mwaka kwa tofauti au mfanano wa matukio haya. Na vipimo vya saa (clock), kalenda na vinginevyo ni vya kutengeneza wenyewe ili pia tuupime muda kwa namna ya matukio ya vifaa hivyo (clock ticks, etc).
 
Nicolax, Tuko pamoja uliza maswali tu ntajibu kadri navyoweza.

Mkuu Monstgala/Mgalanjuka nimeona ili tusilete mkanganyiko mkubwa kutokana na maswali yangu yalikua siyo ya uzi bali ni uzi ule wa UKWELI WA KUSTAAJABISHA KUHUSU NYOTA ZA ANGANI basi maswali yangu nimeandika kule na siyo hapa
Twende basi kwenye ule uzi wa nyota tukaelewane vyema

.made in mby city.
 
HII KITU NI MUHIMU SANA MTU KUJIFUNZA ILA NI LAZIMA UIACHILIE AKILI YAKO YOTE IFIKIRI NA UKIACHIA AKILI IFIKIRI VIZURI BASI SI RAHISI SANA KUKWEPA KUHUSISHA NA IMANI ZETU...mimi naamini katika mungu na pia mungu mwenyewe vingine ndiye ajuaye(hivi tunavyosema bil years ago)kwa kuwa hii ni thiory poa

Ndio. Inapotajwa miaka bilioni kuna ufafanuzi wake kwamba kivipi na kwa nini. Ni sayansi hiyo na vigezo fulani vimetumika kukubaliana na measures hizo ila sio sheria kwamba asiyekubaliana navyo awekwe ndani (jela).
 
Mkuu Monstgala kwa utii na heshima kubwa nakuomba ugusie kidogo zile geologic eras zinazobeba historia ya ulimwengu ,yale mambo ya preambrian,mesozoic,cenozoic na periods zake zile za Triassic,etc.Unaweza kugusia kimoja kimoja kwa wiki ilimradi utamu huu usiishe haraka bhana.

Pia naomba ukimaliza hiyo ugusie na zile extinction events kuu tano za Silurian,Devonian,Permian,Triassic-Jurassic na Cretaceous-Paleogene.
Mwishoni i'm interested na hii Cretaceous Paleogene(K-Pg) mass extinction ambayo inasemekana kuua dinosaurs wote duniani.

Ukimaliza naomba tuizungumzie hii k-pg kidogo.

Pia nauliza,hivi life forms zilianza lini katika hizi era?Zilikuwa lifeforms za aina gani?

Mwisho,ukichunguza haya mambo,unakuta kila baada ya era moja,palitokea events zilizosababisha mass extinction na kujenga mazingira ya era iliyofuatia.
Kwa mfano hiyo K-pg(K-T)extinction ndiyo ilijenga favourable environment kwa modern earth na yaliyomo.Why is this?
What is so special with these mysterious extinction events?
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Monstgala kwa utii na heshima kubwa nakuomba ugusie kidogo zile geologic eras zinazobeba historia ya ulimwengu ,yale mambo ya preambrian,mesozoic,cenozoic na periods zake zile za Triassic,etc.Unaweza kugusia kimoja kimoja kwa wiki ilimradi utamu huu usiishe haraka bhana.

Pia naomba ukimaliza hiyo ugusie na zile extinction events kuu tano za Silurian,Devonian,Permian,Triassic-Jurassic na Cretaceous-Paleogene. Mwishoni i'm interested na hii Cretaceous Paleogene(K-Pg) mass extinction ambayo inasemekana kuua dinosaurs wote duniani.

Ukimaliza naomba tuizungumzie hii k-pg kidogo.

Pia nauliza,hivi life forms zilianza lini katika hizi era?Zilikuwa lifeforms za aina gani?

Mwisho,ukichunguza haya mambo,unakuta kila baada ya era moja,palitokea events zilizosababisha mass extinction na kujenga mazingira ya era iliyofuatia.
Kwa mfano hiyo K-pg(K-T)extinction ndiyo ilijenga favourable environment kwa modern earth na yaliyomo.Why is this?
What is so special with these mysterious extinction events?

Maisha

Kuanza kwa maisha kwa maisha kama tuyajuayo inakadirwa kuwa 3,600 Ma au 3.6 Ga. (Ga =Billion Years ago). Matukio ya mwanzo ni kama kutokea kwa simple cells za kwanza prokarotes na hivyo hii ina maana kila kilichohai leo hii ikiwemo mimea na vijidudu vina chanzo kimoja. Baada ya hapo tukio la pili kubwa ni kuanza kwa photosythesis ambayo ndio ilileta oyxgen kama matokeo ya process hii.Hii inakadiriwa kuanza katika miaka bilioni 3.4 iliyopita (3.4 Ga.)

Tukio jingine kubwa ni seli ya kwanza "yenye nucleous" inayoitwa na wataalam uekaryotes, hii inasemwa "kutokea" katika kipindi cha miaka bilioni mbili iliyopita (2 Ga.) . Baada ya kipindi kirefu cha miaka bilioni moja yani (1 Ga) ndipo kiumbe mwenye seli nyingi alipo-evolve. Na baada ya hapa miaka nusu bilioni ilyofuatia ndipo kiumbe wa kwanza alipo-evolve.

Unaweza kuona kutoka kwenye uhai wa seli moja moja kama walivyo baadhi ya bacteria kuja kwenye seli nyingi kama walivyo viumbe wengine wadogo wanaishio majini ilichukua kipindi kirefu zaidi hata ya kipindi cha binadamu ku-evolve kutoka kiumbe wa majini mwenye mapezi kama samaki, kuwa kiumbe mwenye ufahamu(cognitive abilities). Na kwa asilimia muda wa kutoka kiumbe wa kwanza (kama kijidudu au simple organism,) kuwa binadamu (very complex organism) ni asilimia ishirini tu (20%) ya muda wa maisha kuanza katika dunia au single-celled to multicellular animal.
 
Mkuu Monstgala kwa utii na heshima kubwa nakuomba ugusie kidogo zile geologic eras zinazobeba historia ya ulimwengu ,yale mambo ya preambrian,mesozoic,cenozoic na periods zake zile za Triassic,etc.Unaweza kugusia kimoja kimoja kwa wiki ilimradi utamu huu usiishe haraka bhana.

Pia naomba ukimaliza hiyo ugusie na zile extinction events kuu tano za Silurian,Devonian,Permian,Triassic-Jurassic na Cretaceous-Paleogene.
Mwishoni i'm interested na hii Cretaceous Paleogene(K-Pg) mass extinction ambayo inasemekana kuua dinosaurs wote duniani.

Ukimaliza naomba tuizungumzie hii k-pg kidogo.

Pia nauliza,hivi life forms zilianza lini katika hizi era?Zilikuwa lifeforms za aina gani?

Mwisho,ukichunguza haya mambo,unakuta kila baada ya era moja,palitokea events zilizosababisha mass extinction na kujenga mazingira ya era iliyofuatia.
Kwa mfano hiyo K-pg(K-T)extinction ndiyo ilijenga favourable environment kwa modern earth na yaliyomo.Why is this?
What is so special with these mysterious extinction events?


Mkuu Juve12 Naweza nikabase kwenye mamalia ambao sisi tupo kwenye group hilo lakini nitagusia kwa ufupi sana group lingine maana ni topic kubwa sana na kuna ulazima wa kufupisha. Natumaini utaongezea kuhusu mass extinction ya dinosaurs.

Mamalia

Mamalia nao tunaambiwa walitokea kwa katika kipindi fulani hawakuwepo. Katika miaka milioni mia mbili kabla ya sasa (200 Ma) anatokea mamalia wa kwanza jamii ya panya (rodent). Kipindi hiki matukio yake zaidi ya hilo la kuanza jamii ya mamalia ni lile la dunia kuangukiwa na kimwondo kikubwa kilichofuta viumbe wengi sana wakiwemo wale jamii ya reptilia wakubwa (Dinosaurs) hii ni katika kipindi cha miaka milioni 90-110 iliyopita. Na tukio lingine ni ku-evolve kwa wanyama jamii ya sokwe katika kipindi cha miaka milioni 80 iliyopita.

Muda huu mrefu mamalia hawa waliishi kama jamii ya panya wengine juu ya miti kuwakwepa wale reptilia wakubwa na wadogo waliokuwa hatari sana. Kwa hiyo wataalamu hawa wanasema baada ya kimwondo kile kikubwa kilichofuta karibu asilimia 75% ya viumbe vyote duniani ndipo mamalia hawa waliosalimika walipata nafasi ya kuhama mazingira kitu kilichopelekea kuongezeka na baadhi ku-evolve.

Wanyama kwa ujumla

Hawa tunaambiwa walitokea miaka milioni mia sita kabla ya sasa (600 Ma). Kuna kiumbe wa kwanza alafu baada ya muda wa miaka milioni mia yani katika (500 Ma) baadhi ya hawa viumbe wa kwanza wakaevolve kuwa samaki wa kwanza. Hapa kabla ya kuvunjilia mbali hii concept lazima kwanza tuuangalie muda huo unaotajwa kwa kweli ni mrefu sana. Hapa kuna mabadiliko kidogo kidogo yanayoweza kupelekea tofauti kubwa sana kama ikiangaliwa kwa ufupi. Mfano dinosaurs wameishi duniani kwa kipindi cha miaka 165 milioni kabla ya kutoweka na sisi binadamu hatuna hata miaka milioni moja (kutokana na vigezo hivi)
 
Mkuu Monstgala/Mgalanjuka naomba unipe maelezo kwa hii kitu
According to ALBERT EINSTEIN katika theory ya big-bang alisema, before big-bang muda haukuweza kwenda mbele wala kurudi nyuma nazani hapa alikua akimaanisha kuwa muda haukuwepo.
Sasa kuna dudu baya sana liitwalo black-hole katika hii galaxy yetu ya "MZUNGUKO WA MAZIWA" ambalo ndani yake hakuna kitu kinacho weza kupenya, hata muda kwenye hili dudu ni bule tu kwani hauendi mbele wala nyuma
Sasa kinachonipa mkanganyiko kichwani ni hii habari ya muda ulivyo wa ajabu kumbe katika huu ulimwengu kuna sehemu muda unaenda mbele kwa mfano hapa duniani, na kuna sehemu nyingine muda hauendi mbele wala nyuma kwa mfano centre of the galaxy, je kuna sehemu muda unarudi nyuma??????

.made in mby city.
 
Mkuu Monstgala/Mgalanjuka naomba unipe maelezo kwa hii kitu
According to ALBERT EINSTEIN katika theory ya big-bang alisema, before big-bang muda haukuweza kwenda mbele wala kurudi nyuma nazani hapa alikua akimaanisha kuwa muda haukuwepo.
Sasa kuna dudu baya sana liitwalo black-hole katika hii galaxy yetu ya "MZUNGUKO WA MAZIWA" ambalo ndani yake hakuna kitu kinacho weza kupenya, hata muda kwenye hili dudu ni bule tu kwani hauendi mbele wala nyuma
Sasa kinachonipa mkanganyiko kichwani ni hii habari ya muda ulivyo wa ajabu kumbe katika huu ulimwengu kuna sehemu muda unaenda mbele kwa mfano hapa duniani, na kuna sehemu nyingine muda hauendi mbele wala nyuma kwa mfano centre of the galaxy, je kuna sehemu muda unarudi nyuma??????

.made in mby city.

Universe kama closed au isolated system inakuwa bounded na kanuni za thermodynamics. Kuna kitu kinaitwa entropy ambacho ni kipimo cha disorder katika mfumo wowote. Katika second law of thermodynamics kuna kitu kinakuwa revealed kwamba entropy ya isolated system inaongezeka tu na haipungui. Mwisho kabisa katika isolated system kutakuwa na maximum entropy.

Ulimwengu unaonekana kama closed system nothing can escape it, Hivyo kuna entropy inayoongezeka. (from order to disorder). Unaweza ukaliona hilo kwa mifano ya kawaida kama 1. "kuni siku zote inaungua na kuwa mkaa ambao unaungua kuwa majivu na huwezi kuona majivu yanaanza kuwa mkaa alafu yawe kuni." 2. "Yai likivunjika na ute wake usambaa lakini hutaona ute wa yai unakusanyika na kuingia kwenye yai alafu lijifunge". 3. "Gari mpya ukiiacha nje kwa miaka kumi utakuta rangi imepauka, imepata kutu na imechakaa lakini ukiacha gari nzee nje kwa miaka kumi hutakuta imekuwa mpya". Hii ndio inasababisha muda "uonekane" kama unaenda mbele.

Katika black hole equations zinaonesha materials na kila kitu kinachodondoka ndani yake kinakandamizwa sana na gravitation isiyo ya kawaida na hivyo laws ambazo zinaoperate kuleta kawaida ya ulimwengu hapa zinakuwa twisted in some way. Nguzo tatu zinahitajika kuelezea black hole ambazo ni mass yake, electrical charges na angular momentum. Lakini ili tujue black hole ni closed au open system tunahitaji kujua entropy yake (kipimo cha disorder). Black hole ni open system na ina mwisho wake finite. Black hole inaloose entropy kwa kupungua size yake na mass na muda huo huo entropy inakuwa replaced na thermal radiation. Hapa ndipo muda unaonekana kusimama mpaka pale black hole itakapokuwa katika singularity na kulipuka.

Muda kurudi nyuma katika closed system kanuni za thermodynamics zitakuwa zimevunjwa, kitu ambacho explanation yake haipo katika physics.
 
Universe kama closed au isolated system inakuwa bounded na kanuni za thermodynamics. Kuna kitu kinaitwa entropy ambacho ni kipimo cha disorder katika mfumo wowote. Katika second law of thermodynamics kuna kitu kinakuwa revealed kwamba entropy ya isolated system inaongezeka tu na haipungui. Mwisho kabisa katika isolated system kutakuwa na maximum entropy.

Ulimwengu unaonekana kama closed system nothing can escape it, Hivyo kuna entropy inayoongezeka. (from order to disorder). Unaweza ukaliona hilo kwa mifano ya kawaida kama 1. "kuni siku zote inaungua na kuwa mkaa ambao unaungua kuwa majivu na huwezi kuona majivu yanaanza kuwa mkaa alafu yawe kuni." 2. "Yai likivunjika na ute wake usambaa lakini hutaona ute wa yai unakusanyika na kuingia kwenye yai alafu lijifunge". 3. "Gari mpya ukiiacha nje kwa miaka kumi utakuta rangi imepauka, imepata kutu na imechakaa lakini ukiacha gari nzee nje kwa miaka kumi hutakuta imekuwa mpya". Hii ndio inasababisha muda "uonekane" kama unaenda mbele.

Katika black hole equations zinaonesha materials na kila kitu kinachodondoka ndani yake kinakandamizwa sana na gravitation isiyo ya kawaida na hivyo laws ambazo zinaoperate kuleta kawaida ya ulimwengu hapa zinakuwa twisted in some way. Nguzo tatu zinahitajika kuelezea black hole ambazo ni mass yake, electrical charges na angular momentum. Lakini ili tujue black hole ni closed au open system tunahitaji kujua entropy yake (kipimo cha disorder). Black hole ni open system na ina mwisho wake finite. Black hole inaloose entropy kwa kupungua size yake na mass na muda huo huo entropy inakuwa replaced na thermal radiation. Hapa ndipo muda unaonekana kusimama mpaka pale black hole itakapokuwa katika singularity na kulipuka.

Muda kurudi nyuma katika closed system kanuni za thermodynamics zitakuwa zimevunjwa, kitu ambacho explanation yake haipo katika physics.

#Monstgala I salute you kaka. Una mdini ya hatari sana. You have made my day. Yaani ukitoka kule kwenye jukwaa la siasa na kero za Bunge la Katiba, ukifika hapa unajisikia raha. Unakuwa katika Ulimwengu mwingine kabisa.
 
#Monstgala I salute you kaka. Una mdini ya hatari sana. You have made my day. Yaani ukitoka kule kwenye jukwaa la siasa na kero za Bunge la Katiba, ukifika hapa unajisikia raha. Unakuwa katika Ulimwengu mwingine kabisa.

Mkuu Masaki Shukrani na karibu sana.
 
Last edited by a moderator:
Ni maada nzuri sana na inahitaji utulivu kuiingilia,

kabla ya hizo radiometrcic na relative dating, kwa uhalisia muda ulikuwa unahesabiwa kuanzia mapambazuko mpaka machweo ya Jua, na hata ukiisoma Biblia inasema ikawa usiku ikawa mchana siku ya kwanza nk, kwa maana halisi muda unaonekana kama ni cycle ileile inayojirudia kutoka usiku kwenda mchana na kisha kujirudia tena

hivyo hata sayansi ya mwanzo haikulenga sana kwenye ulimwengu ( Universe) bali ililenga kwenye Dunia (Earth), Jua, Mwezi na Nyota, na muda ndio ulikuwa unaonekana chanzo chake kiko katika vitu hivyo,

kabla ya Hiyo Absolute dating Especially radiomertic, relative dating (Correlation) pia ilibase kwenye Dunia tu kwa kuangalia fossils na some geological features and events

nadhani ukuaji wa sayansi hasa hiyo radiometric dating imejaribu kuuvuta muda kutoka mwanzo wa dunia(ikawa usiku ikawa mchana) mpaka mwanzo wa ulimwengu
May be am confusing myself with this comment ila kuuliza si ujinga. Mkuu ninavyojua ikawa usiku ikawa mchana is due to the rotation of the earh on its own axis. Sasa unaposema radio metric dating imejaribu kuuvuta muda kutoka mwanzo wa dunia hadi mwanzo wa ulimwengu sielewi cos mwanzo wa ulimwengu ndio mwanzo wa dunia as earth is among of the heavenly bodies na vyote viliumbwa pamoja kwa mujibu wa vitabu vitakatifu. Naomba nifafanuliwe hapa
 
Hivi kaka unaishi Tanzania hii hii nayoijua mimi, you are more than genius, kaka unatisha. Bt unaweza kuta unfanya kazi serikalini tena ya kipuuzi kweli, dah Tanzania hamuoni hiki kipaji mkitumie?
 
May be am confusing myself with this comment ila kuuliza si ujinga. Mkuu ninavyojua ikawa usiku ikawa mchana is due to the rotation of the earh on its own axis. Sasa unaposema radio metric dating imejaribu kuuvuta muda kutoka mwanzo wa dunia hadi mwanzo wa ulimwengu sielewi cos mwanzo wa ulimwengu ndio mwanzo wa dunia as earth is among of the heavenly bodies na vyote viliumbwa pamoja kwa mujibu wa vitabu vitakatifu. Naomba nifafanuliwe hapa

Sorry fyddell, nilikuwa mbali na majukumu mengine

nimeiona concern yako labda nianze hivi, Kweli mwanzo wa Dunia ni Mwanzo wa Ulimwengu, lakini nilichokuwa namaanisha hapo ni hiki

Kwa mujibu wa Vitabu vitakatifu kama ulivyomention hapo juu na kwa uelewa wa wana sayansi wa kale na watu wa dini ni kuwa muda halisi wa Dunia ulikuwa unabase zaidi kuanzia uumbaji wa Dunia (Earth), vitabu hivyo havikuzungumzia sana uumbaji wa Ulimwengu (Universe), vitu kama Nyota, Mwezi na Jua vilikuwa vinaonekana kama ni part ya Dunia na wala sio Ulimwengu yaani ni vitu ambayo vilikuwa duniani kama tunavyoona Bahari Milima nk.

Ni kweli Vitabu vinaposema ikawa usiku-ikawa mchana siku ya kwanza hapo ilikuwa ina refer jua na mzunguko wa Dunia kwa ujumla wake. Hivyo Kidini na hata sayansi ya Zamani/Kale inaonyesha umri wa Dunia including Nyota, Mwezi, Jua, Milima na Bahari, unaanzia na uumbaji wa siku ya kwanza kisha siku ya Sita ndio Adam akaumbwa,

So Kidini na Sayansi ya Zamani inaonesha kuwa Duniani (Nyota, Jua, Mwezi, Milima, Bahari) ni changa mno, ambayo haizidi miaka 10,000, na hili lilitokana na Hesabu zilizofanywa na wasomi wa kidini na wanasayansi wa kale kwamba walichukua siku sita za uumbaji, kisha wakaenda na umri wa Adamu mpaka Jesus, na kutoka Yesu mpaka sasa.

Maendeleo ya kisayansi ndio yamekuja kuwafamahisha watu kuwa Jua, Nyota sio "Mali" ya Dunia pekeyake bali kuna sayari nyingi ziko kwenye Mzunguko wa Jua, na kuna Sayari nyingine nyingi zaidi ya Dunia, na kuna Galaxy nyingi tu, na hizo zinazoonekana kama nyota zingine si Nyota bali ni Sayari zingine.

Radiometric Dating imekuja kuprove kuwa Dunia haina miaka chini ya 10000, bali ina 4.5Billion years, so Radiometric imekuja kutoa ile mentality ya sayansi ya kale kuwa dunia ni changa kwa kuionyesha Dunia ni Nzee.

ndio hapo niliposema kuwa radiomentric imeuvuta ule muda wa dunia uliokuwa unajulika wa chini ya 10000 na kuwa 4.5bil years sawa na Baadhi Sayari, Vimondo, Nyota, Miezi nk.
Labda kama kusingekuwepo na Radiomertic basi tungeendelea kuwa na imani ileile ya kuwa umri wa Dunia uko chini ya 10,000yrs

Hope nimejaribu kukuelezea nilichokuwa namaanisha
 
Last edited by a moderator:
Sorry fyddell, nilikuwa mbali na majukumu mengine

nimeiona concern yako labda nianze hivi, Kweli mwanzo wa Dunia ni Mwanzo wa Ulimwengu, lakini nilichokuwa namaanisha hapo ni hiki

Kwa mujibu wa Vitabu vitakatifu kama ulivyomention hapo juu na kwa uelewa wa wana sayansi wa kale na watu wa dini ni kuwa muda halisi wa Dunia ulikuwa unabase zaidi kuanzia uumbaji wa Dunia (Earth), vitabu hivyo havikuzungumzia sana uumbaji wa Ulimwengu (Universe), vitu kama Nyota, Mwezi na Jua vilikuwa vinaonekana kama ni part ya Dunia na wala sio Ulimwengu yaani ni vitu ambayo vilikuwa duniani kama tunavyoona Bahari Milima nk.

Ni kweli Vitabu vinaposema ikawa usiku-ikawa mchana siku ya kwanza hapo ilikuwa ina refer jua na mzunguko wa Dunia kwa ujumla wake. Hivyo Kidini na hata sayansi ya Zamani/Kale inaonyesha umri wa Dunia including Nyota, Mwezi, Jua, Milima na Bahari, unaanzia na uumbaji wa siku ya kwanza kisha siku ya Sita ndio Adam akaumbwa,

So Kidini na Sayansi ya Zamani inaonesha kuwa Duniani (Nyota, Jua, Mwezi, Milima, Bahari) ni changa mno, ambayo haizidi miaka 10,000, na hili lilitokana na Hesabu zilizofanywa na wasomi wa kidini na wanasayansi wa kale kwamba walichukua siku sita za uumbaji, kisha wakaenda na umri wa Adamu mpaka Jesus, na kutoka Yesu mpaka sasa.

Maendeleo ya kisayansi ndio yamekuja kuwafamahisha watu kuwa Jua, Nyota sio "Mali" ya Dunia pekeyake bali kuna sayari nyingi ziko kwenye Mzunguko wa Jua, na kuna Sayari nyingine nyingi zaidi ya Dunia, na kuna Galaxy nyingi tu, na hizo zinazoonekana kama nyota zingine si Nyota bali ni Sayari zingine.

Radiometric Dating imekuja kuprove kuwa Dunia haina miaka chini ya 10000, bali ina 4.5Billion years, so Radiometric imekuja kutoa ile mentality ya sayansi ya kale kuwa dunia ni changa kwa kuionyesha Dunia ni Nzee.

ndio hapo niliposema kuwa radiomentric imeuvuta ule muda wa dunia uliokuwa unajulika wa chini ya 10000 na kuwa 4.5bil years sawa na Baadhi Sayari, Vimondo, Nyota, Miezi nk.
Labda kama kusingekuwepo na Radiomertic basi tungeendelea kuwa na imani ileile ya kuwa umri wa Dunia uko chini ya 10,000yrs

Hope nimejaribu kukuelezea nilichokuwa namaanisha
I was fascinated by your comment because the bible in Genesis 1 says "At the beginning God created heavens and earth and the earth was formless and void". Nimekuelewa mkuu and appreciated.
 
its a shame how post like this doesn't get as many like as it deserve!!! au ndo kama kawaida zetu watanzania na zile data za IQ?????? hawakawii wanadini wakaja kuchafua hewa hapa na uzushi wao usio na mbele wala nyuma much less any proof!!!

Mtoa mada yuko huru na katoa nini wanasayansi wanasema. Kaweka wazi juu ya elimu husika Kama alivyoiwakilisha kuwa sio lazima uwe ndiyo msimamo wake kakaribisha mjadala, umekurupuka na kutaka imani ya dini yako ya hakuna Mungu ili iwe ndiyo kiini cha mjadala... Kwako nadharia za kisayansi ni final authority, hilo ni jema kwako binafsi. Kwa ajili ya ubora wa mjadala ficha upu.mbavu wako.
Simaanishi kukutukana nia ni kukuzindua usifanye fikra zako kuwa ndiyo mwongozo kwa wengine.
 
Sorry fyddell, nilikuwa mbali na majukumu mengine

nimeiona concern yako labda nianze hivi, Kweli mwanzo wa Dunia ni Mwanzo wa Ulimwengu, lakini nilichokuwa namaanisha hapo ni hiki

Kwa mujibu wa Vitabu vitakatifu kama ulivyomention hapo juu na kwa uelewa wa wana sayansi wa kale na watu wa dini ni kuwa muda halisi wa Dunia ulikuwa unabase zaidi kuanzia uumbaji wa Dunia (Earth), vitabu hivyo havikuzungumzia sana uumbaji wa Ulimwengu (Universe), vitu kama Nyota, Mwezi na Jua vilikuwa vinaonekana kama ni part ya Dunia na wala sio Ulimwengu yaani ni vitu ambayo vilikuwa duniani kama tunavyoona Bahari Milima nk.

Ni kweli Vitabu vinaposema ikawa usiku-ikawa mchana siku ya kwanza hapo ilikuwa ina refer jua na mzunguko wa Dunia kwa ujumla wake. Hivyo Kidini na hata sayansi ya Zamani/Kale inaonyesha umri wa Dunia including Nyota, Mwezi, Jua, Milima na Bahari, unaanzia na uumbaji wa siku ya kwanza kisha siku ya Sita ndio Adam akaumbwa,

So Kidini na Sayansi ya Zamani inaonesha kuwa Duniani (Nyota, Jua, Mwezi, Milima, Bahari) ni changa mno, ambayo haizidi miaka 10,000, na hili lilitokana na Hesabu zilizofanywa na wasomi wa kidini na wanasayansi wa kale kwamba walichukua siku sita za uumbaji, kisha wakaenda na umri wa Adamu mpaka Jesus, na kutoka Yesu mpaka sasa.

Maendeleo ya kisayansi ndio yamekuja kuwafamahisha watu kuwa Jua, Nyota sio "Mali" ya Dunia pekeyake bali kuna sayari nyingi ziko kwenye Mzunguko wa Jua, na kuna Sayari nyingine nyingi zaidi ya Dunia, na kuna Galaxy nyingi tu, na hizo zinazoonekana kama nyota zingine si Nyota bali ni Sayari zingine.

Radiometric Dating imekuja kuprove kuwa Dunia haina miaka chini ya 10000, bali ina 4.5Billion years, so Radiometric imekuja kutoa ile mentality ya sayansi ya kale kuwa dunia ni changa kwa kuionyesha Dunia ni Nzee.

ndio hapo niliposema kuwa radiomentric imeuvuta ule muda wa dunia uliokuwa unajulika wa chini ya 10000 na kuwa 4.5bil years sawa na Baadhi Sayari, Vimondo, Nyota, Miezi nk.
Labda kama kusingekuwepo na Radiomertic basi tungeendelea kuwa na imani ileile ya kuwa umri wa Dunia uko chini ya 10,000yrs

Hope nimejaribu kukuelezea nilichokuwa namaanisha

Mkuu, mwanzo wa Dunia sio mwanzo wa Ulimwengu bali mwanzo wa Ulimwengu ndio mwanzo wa Dunia.

Mwanzo wa Baba na mama watafuatia watoto, watoto hawawezi anza akafatia wazazi
 
Mkuu Juve12 Naweza nikabase kwenye mamalia ambao sisi tupo kwenye group hilo lakini nitagusia kwa ufupi sana group lingine maana ni topic kubwa sana na kuna ulazima wa kufupisha. Natumaini utaongezea kuhusu mass extinction ya dinosaurs.

Mamalia

Mamalia nao tunaambiwa walitokea kwa katika kipindi fulani hawakuwepo. Katika miaka milioni mia mbili kabla ya sasa (200 Ma) anatokea mamalia wa kwanza jamii ya panya (rodent). Kipindi hiki matukio yake zaidi ya hilo la kuanza jamii ya mamalia ni lile la dunia kuangukiwa na kimwondo kikubwa kilichofuta viumbe wengi sana wakiwemo wale jamii ya reptilia wakubwa (Dinosaurs) hii ni katika kipindi cha miaka milioni 90-110 iliyopita. Na tukio lingine ni ku-evolve kwa wanyama jamii ya sokwe katika kipindi cha miaka milioni 80 iliyopita.

Muda huu mrefu mamalia hawa waliishi kama jamii ya panya wengine juu ya miti kuwakwepa wale reptilia wakubwa na wadogo waliokuwa hatari sana. Kwa hiyo wataalamu hawa wanasema baada ya kimwondo kile kikubwa kilichofuta karibu asilimia 75% ya viumbe vyote duniani ndipo mamalia hawa waliosalimika walipata nafasi ya kuhama mazingira kitu kilichopelekea kuongezeka na baadhi ku-evolve.

Wanyama kwa ujumla

Hawa tunaambiwa walitokea miaka milioni mia sita kabla ya sasa (600 Ma). Kuna kiumbe wa kwanza alafu baada ya muda wa miaka milioni mia yani katika (500 Ma) baadhi ya hawa viumbe wa kwanza wakaevolve kuwa samaki wa kwanza. Hapa kabla ya kuvunjilia mbali hii concept lazima kwanza tuuangalie muda huo unaotajwa kwa kweli ni mrefu sana. Hapa kuna mabadiliko kidogo kidogo yanayoweza kupelekea tofauti kubwa sana kama ikiangaliwa kwa ufupi. Mfano dinosaurs wameishi duniani kwa kipindi cha miaka 165 milioni kabla ya kutoweka na sisi binadamu hatuna hata miaka milioni moja (kutokana na vigezo hivi)

Mkuu dhana ya mamalia kuanza kama panya unakubaliana nayo?
 
Back
Top Bottom