Muda wa ulimwengu na matukio yake tangu mwanzo wake

Muda wa ulimwengu na matukio yake tangu mwanzo wake

Nadhani ukiangali huo mfano wako utaona kabisa the perfection view ya hiyo 3D ya electric post haijakuwa determined na time bali na action/motion kwa sababu hapo ulipokuwa mwanzo na kuiona hiyo nguzo ni kama mstari ingebaki hivyo hivyo asubuhi mpaka asubuhi kama kungekuwa hakuna action/movement, muda ungekuwa unazunguka tu, lakini kilichokupa view nzuri ni kile kitendo chako cha kuisogelea ile nguzo, sasa hicho kitendo chako cha kutembea kimekupa Past-Nguzo kama Mstari, Present-Nguzo Duara na ungeweza kupredict future

mimi bado naamini muda ni cycle ambayo ikikosa action inakuwa haina history yaani inakosa Past, Present na Future so muda hupo tu, lakini kitendo ndio kinacho jaribu kuonyesha muda kuwa ni linear

Mkuu Kituko, lakini actions katika universe zipo tu kwa sababu universe ina-expand. Hata mtu huyo angesimama bila kwenda popote muda unaenda mbele regardless of his motion kwa sababu other actions are still going on somewhere else even his heart continue to beat and lungs are inhaling and exhaling the air. These actions continue to give the perception of linear events which their gap of occurrence make us perceive the time.

I am still trying to grasp your cycle concept.
 
Mkuu Kituko, lakini actions katika universe zipo tu kwa sababu universe ina-expand. Hata mtu huyo angesimama bila kwenda popote muda unaenda mbele regardless of his motion kwa sababu other actions are still going on somewhere else even his heart continue to beat and lungs are inhaling and exhaling the air. These actions continue to give the perception of linear events which their gap of occurrence make us perceive the time.

I am still trying to grasp your cycle concept.


kweli kaka Action zipo nyingi na hazisimami same as time, lakini hapo nilikuwa nazungumzia specific mfano wa hiyo nguzo, na ndio mfano wa kila kitu, kama kutakosekana event basi time itakosa value yake,
kwa huo mfano wa nguzo kwa umbali aliokuwa mwanzo hata angekaa miaka kumi kusingekuwa na mabadiriko ya muonekano wa nguzo, mabadiriko yameonekana kwa sababu ya event/Movement, so time aliyotumia KUTEMBEA kuikaribia nguzo (SAY 1HR), ndio imebadirisha muonekano wa nguzo, lakini muda huo huo (1Hr) angetumia kukaa alipokuwa nguzo isingebadirika kamwe ingekuwa vilevile, kumbe 1Hr ni ile ile tu, ya kukaa au ya kutembea, lakini Action/movement ndio imeipa ile 1Hr value na inaonekana kama ni Linear
 
Kama vile nimewaelewa kituko na Monstgala,yaani kituko anapozungumzia kuwa muda ni kama duara anamanisha kama jana ilikuwepo saa saba,leo itakuwepo saa saba,na hata kesho saa saba itakuwepo yaani itakuwa vivyo hivyo kwa maana ya kuwa itakuwepo saa 1,2,3,4,5,6,7,8,...... na siku zote itakuwa hivyo lakini hapo bila kutangamanishwa na matukio na mimi navyoona kweli kabisa ukiuhesabu muda pekee yake bila kutangamanisa na matukio inakuwa ni kama duara lakini Monstgala kwa Mujibu wa reply yake hapo juu anautafsiri muda kwa kuutangamanisha na matukio na unakuwa kama mstari mnyoofu,ametolea mfano nyumba yake aliacha kwa muda mrefu na
akakuta imejaa uchafu kila mahala hapo ukilinganisha jinsi alivyoiacha inakuwa tofauti kwa maana kuwa matukio ya mwaka jana ni tofauti na ya mwaka huu na kwa msingi huo muda unaonekana kama upo mstari myoofu na unapimwa kwa mpito wa matukio.

Mi nadhani wote wawili yaani kituko na Monstgala wana idea moja ila tofauti yao ni kuwa mmoja anachukua muda pekee yake lakini mwingine anachukua muda na matukio kwa pamoja.
 
kweli kaka Action zipo nyingi na hazisimami same as time, lakini hapo nilikuwa nazungumzia specific mfano wa hiyo nguzo, na ndio mfano wa kila kitu, kama kutakosekana event basi time itakosa value yake,
kwa huo mfano wa nguzo kwa umbali aliokuwa mwanzo hata angekaa miaka kumi kusingekuwa na mabadiriko ya muonekano wa nguzo, mabadiriko yameonekana kwa sababu ya event/Movement, so time aliyotumia KUTEMBEA kuikaribia nguzo (SAY 1HR), ndio imebadirisha muonekano wa nguzo, lakini muda huo huo (1Hr) angetumia kukaa alipokuwa nguzo isingebadirika kamwe ingekuwa vilevile, kumbe 1Hr ni ile ile tu, ya kukaa au ya kutembea, lakini Action/movement ndio imeipa ile 1Hr value na inaonekana kama ni Linear

Ok,kwa maana yako ni kuwa huwezi tafsiri muda pekee yake bila ya kuhusisha matukio. Na kama nimekupata vizuri ni kuwa muda hauna maana bila tukio/matukio?
 
kweli kaka Action zipo nyingi na hazisimami same as time, lakini hapo nilikuwa nazungumzia specific mfano wa hiyo nguzo, na ndio mfano wa kila kitu, kama kutakosekana event basi time itakosa value yake,
kwa huo mfano wa nguzo kwa umbali aliokuwa mwanzo hata angekaa miaka kumi kusingekuwa na mabadiriko ya muonekano wa nguzo, mabadiriko yameonekana kwa sababu ya event/Movement, so time aliyotumia KUTEMBEA kuikaribia nguzo (SAY 1HR), ndio imebadirisha muonekano wa nguzo, lakini muda huo huo (1Hr) angetumia kukaa alipokuwa nguzo isingebadirika kamwe ingekuwa vilevile, kumbe 1Hr ni ile ile tu, ya kukaa au ya kutembea, lakini Action/movement ndio imeipa ile 1Hr value na inaonekana kama ni Linear

Hii iko sawa kabisa (in line with) na jinsi nilivyosema kuhusu jinsi sisi binadamu tunavyouona muda. Katika quantum level and other circumstances, muda unakuwa au unaonekana tofauti kabisa na jinsi tunavyoufikiria (kama mstari wenye matukio yasiyojirudia). I based on how we perceive time na nilitaka kujua kama wewe unasuggest this perception is rather cycle.
 
Kama vile nimewaelewa kituko na Monstgala,yaani kituko anapozungumzia kuwa muda ni kama duara anamanisha kama jana ilikuwepo saa saba,leo itakuwepo saa saba,na hata kesho saa saba itakuwepo yaani itakuwa vivyo hivyo kwa maana ya kuwa itakuwepo saa 1,2,3,4,5,6,7,8,...... na siku zote itakuwa hivyo lakini hapo bila kutangamanishwa na matukio na mimi navyoona kweli kabisa ukiuhesabu muda pekee yake bila kutangamanisa na matukio inakuwa ni kama duara lakini Monstgala kwa Mujibu wa reply yake hapo juu anautafsiri muda kwa kuutangamanisha na matukio na unakuwa kama mstari mnyoofu,ametolea mfano nyumba yake aliacha kwa muda mrefu na
akakuta imejaa uchafu kila mahala hapo ukilinganisha jinsi alivyoiacha inakuwa tofauti kwa maana kuwa matukio ya mwaka jana ni tofauti na ya mwaka huu na kwa msingi huo muda unaonekana kama upo mstari myoofu na unapimwa kwa mpito wa matukio.

Mi nadhani wote wawili yaani kituko na Monstgala wana idea moja ila tofauti yao ni kuwa mmoja anachukua muda pekee yake lakini mwingine anachukua muda na matukio kwa pamoja.

Nadhani uko sawa, mimi katika kufafanua kwangu nilifocus katika dhana ya ni jinsi gani sisi (binadamu) tunauona muda. Na arrow of time ndio haswa iliobeba maana zaidi katika human perception of time. Ni katika akili zetu tu kwa jinsi tunavyoyaona matukio na ukweli kwamba the universe is naturally going from low to high entropy kama mfano niliotoa wa "nyumba inayochafuka na kuchakaa inapoachwa lakini kamwe haiwezi kuwa kinyume chake".

Kituko anaeleza approach yake ya muda kwa kujaribu katafuta maana. Nia yangu ilikuwa kutaka kujua kama yeye anaona human perception of time is mostly something like a cycle. Katika hilo nikataka kujua vigezo vyake ni nini ili tuitoe arrow of time tuiweke cycle of time as a replacement. It was different context that we were trying to figure out.
 
Ok,kwa maana yako ni kuwa huwezi tafsiri muda pekee yake bila ya kuhusisha matukio. Na kama nimekupata vizuri ni kuwa muda hauna maana bila tukio/matukio?

Kaka hii maada imekuwa ndefu na labda nikiri kuwa pia najifunza vitu vingi sana humu ndani,
kabla sijaenda mbali ningependa nikujibu hapo juu kwenye nyekundu,
kwa mtazamo wangu Matukio ndio yanatupa muda wa kusema PAst, Present na Future, na kama nilivyosema hapo hawali hiyo past, present na future actually sio time bali ni refference ya tukio na Kama hakuna tukio unalorefer basi huwezi kuwa na Past, present na future

Kama nilivyosema hapo hawali Mimi naamini muda ni Cycle, na labda nisema ni cycle na ndio maana inakuwa ni rahisi kupredict kuwa siku fulani na mwaka fulani Jua litapatwa na mwezi, ni kwa sababu ni mzunguko unaojirudiarudia

Lakini pia nakubali Muda ni linear kutokana na tafsiri ya matukio, nikiwa na maana muda unaoneka kuwa uko linear kwa sababu ya jinsi tunavyoyatafrisi matukio, labda nitoe mfano hapa

tuseme mwaka 2010 SAA SITA MCHANA, eruption imetokea kwenye Mlima Kilimanjaro, na mwaka 2014 SAA SITA MCHANA eruption imetokea Mlima Meru, sasa hapa ukiangalia utaona time inajirudia rudia tu kote ni saa sita mchana lakini sio mwaka mmoja, kuna tofauti ya miaka minne kutoka tukio moja kwenda lingine
maana yake nini?
kwa kuangalia mfuatano wa matukio utaona time ni linear, yaani tukio la pili limetokea miaka minne mbele ya la kwanza, lakini ukiangalia kiundani mwaka 2014 ni mjumuisho wa sekunde, dakika, saa, siku, wiki na miezi iliyokuwa inajirudiarudia (Cycle). siku, wiki na miezi iliyopo kwenye 2014 ndio hiyo hiyo iliyopo kwenye 2010 lakini 2014 ni jumla ya siku wiki na miezi ya 2010,2011,2012 na 2013

so time ni cycle ila tafsiri yetu ya matukio ndio inatuonyea kuwa time ni linear
 
Kaka hii maada imekuwa ndefu na labda nikiri kuwa pia najifunza vitu vingi sana humu ndani,
kabla sijaenda mbali ningependa nikujibu hapo juu kwenye nyekundu,
kwa mtazamo wangu Matukio ndio yanatupa muda wa kusema PAst, Present na Future, na kama nilivyosema hapo hawali hiyo past, present na future actually sio time bali ni refference ya tukio na Kama hakuna tukio unalorefer basi huwezi kuwa na Past, present na future

Kama nilivyosema hapo hawali Mimi naamini muda ni Cycle, na labda nisema ni cycle na ndio maana inakuwa ni rahisi kupredict kuwa siku fulani na mwaka fulani Jua litapatwa na mwezi, ni kwa sababu ni mzunguko unaojirudiarudia

Lakini pia nakubali Muda ni linear kutokana na tafsiri ya matukio, nikiwa na maana muda unaoneka kuwa uko linear kwa sababu ya jinsi tunavyoyatafrisi matukio, labda nitoe mfano hapa

tuseme mwaka 2010 SAA SITA MCHANA, eruption imetokea kwenye Mlima Kilimanjaro, na mwaka 2014 SAA SITA MCHANA eruption imetokea Mlima Meru, sasa hapa ukiangalia utaona time inajirudia rudia tu kote ni saa sita mchana lakini sio mwaka mmoja, kuna tofauti ya miaka minne kutoka tukio moja kwenda lingine
maana yake nini?
kwa kuangalia mfuatano wa matukio utaona time ni linear, yaani tukio la pili limetokea miaka minne mbele ya la kwanza, lakini ukiangalia kiundani mwaka 2014 ni mjumuisho wa sekunde, dakika, saa, siku, wiki na miezi iliyokuwa inajirudiarudia (Cycle). siku, wiki na miezi iliyopo kwenye 2014 ndio hiyo hiyo iliyopo kwenye 2010 lakini 2014 ni jumla ya siku wiki na miezi ya 2010,2011,2012 na 2013

so time ni cycle ila tafsiri yetu ya matukio ndio inatuonyea kuwa time ni linear

Cycle unayoizungumzia ni katika kipimo cha muda tu (clock) ambacho binadamu kakiunda ili apate kuupima muda. Ni kama label tu lakini si time yenyewe. Unaposema kila saa sita mchana ina maana point fulani ambayo kutokana na kipimo tunachotumia tumeiita saa sita na kwa kuwa kipimo hiki kinahesabu kwa mzunguko wake wa saa 24. Kipimo hiki ndicho kina cycle ikiwa na maana saa 24 zinajirudia lakini sio muda. Jaribu kuufikiria muda nje ya kipimo ambacho ili kiuhesabu muda kina matukio yake ni zile intervals za sekunde zilizopangwa automatically. Nje ya kipimo ambacho ni human inventions hamna cycle ya muda.
 
Kaka hii maada imekuwa ndefu na labda nikiri kuwa pia najifunza vitu vingi sana humu ndani,
kabla sijaenda mbali ningependa nikujibu hapo juu kwenye nyekundu,
kwa mtazamo wangu Matukio ndio yanatupa muda wa kusema PAst, Present na Future, na kama nilivyosema hapo hawali hiyo past, present na future actually sio time bali ni refference ya tukio na Kama hakuna tukio unalorefer basi huwezi kuwa na Past, present na future

Kama nilivyosema hapo hawali Mimi naamini muda ni Cycle, na labda nisema ni cycle na ndio maana inakuwa ni rahisi kupredict kuwa siku fulani na mwaka fulani Jua litapatwa na mwezi, ni kwa sababu ni mzunguko unaojirudiarudia

Lakini pia nakubali Muda ni linear kutokana na tafsiri ya matukio, nikiwa na maana muda unaoneka kuwa uko linear kwa sababu ya jinsi tunavyoyatafrisi matukio, labda nitoe mfano hapa

tuseme mwaka 2010 SAA SITA MCHANA, eruption imetokea kwenye Mlima Kilimanjaro, na mwaka 2014 SAA SITA MCHANA eruption imetokea Mlima Meru, sasa hapa ukiangalia utaona time inajirudia rudia tu kote ni saa sita mchana lakini sio mwaka mmoja, kuna tofauti ya miaka minne kutoka tukio moja kwenda lingine
maana yake nini?
kwa kuangalia mfuatano wa matukio utaona time ni linear, yaani tukio la pili limetokea miaka minne mbele ya la kwanza, lakini ukiangalia kiundani mwaka 2014 ni mjumuisho wa sekunde, dakika, saa, siku, wiki na miezi iliyokuwa inajirudiarudia (Cycle). siku, wiki na miezi iliyopo kwenye 2014 ndio hiyo hiyo iliyopo kwenye 2010 lakini 2014 ni jumla ya siku wiki na miezi ya 2010,2011,2012 na 2013

so time ni cycle ila tafsiri yetu ya matukio ndio inatuonyea kuwa time ni linear

Mi nadhani Mr.kituko unatakiwa pia ukubali/tukubaliane kuwa muda ukiupima kwa kutumia matukio unakuwa linear na ndo ukweli lakini pia inabaki kuwa duara pale ambapo utachukua muda kama muda tu bila kuhusisha tukio kama alivyosema Monstgala hapo juu,na inabidi kituko umuelewe kwa ufafanuzi wake aloutoa hapo juu labda kama utaendelea kuwa na dhana mbili tofauti na zote uzitumie kwa pamoja hapo sawa!
 
Nadhani uko sawa, mimi katika kufafanua kwangu nilifocus katika dhana ya ni jinsi gani sisi (binadamu) tunauona muda. Na arrow of time ndio haswa iliobeba maana zaidi katika human perception of time. Ni katika akili zetu tu kwa jinsi tunavyoyaona matukio na ukweli kwamba the universe is naturally going from low to high entropy kama mfano niliotoa wa "nyumba inayochafuka na kuchakaa inapoachwa lakini kamwe haiwezi kuwa kinyume chake".

Kituko anaeleza approach yake ya muda kwa kujaribu katafuta maana. Nia yangu ilikuwa kutaka kujua kama yeye anaona human perception of time is mostly something like a cycle. Katika hilo nikataka kujua vigezo vyake ni nini ili tuitoe arrow of time tuiweke cycle of time as a replacement. It was different context that we were trying to figure out.

Ni nadhani ukijaribu kumsoma vizuri yeye(kituko) ana dhana mbili hiyo yako muda kama linear na hiyo yake ya muda kama cycle na hapo nadhani anamanisha arrow of time na ndo maana ina circle kwa maana kama jana kulikuwa na saa nne hata leo itatokea tu,mi nadhani ndivyo anvyomaanisha.

Na hapo mwanzo nilikuwa sijawapata ila kwa sasa nimeshawaelewa vyema kabisa,na ngoja tumsubili bwana kituko aje atoe ufafanuzi wake kuhusu hilo ulomuuliza. Na hapo kama sijakosea kituko alitaka kueleza tu kuhusu arrow of time na si maana kwa sababu ukisema maana lazima uweke tukio na ukishaweka tukio tayari inakuwa sio circle ni linear kwa sababu tukio la jana si kama la leo.
 
Mi nadhani Mr.kituko unatakiwa pia ukubali/tukubaliane kuwa muda ukiupima kwa kutumia matukio unakuwa linear na ndo ukweli lakini pia inabaki kuwa duara pale ambapo utachukua muda kama muda tu bila kuhusisha tukio kama alivyosema Monstgala hapo juu,na inabidi kituko umuelewe kwa ufafanuzi wake aloutoa hapo juu labda kama utaendelea kuwa na dhana mbili tofauti na zote uzitumie kwa pamoja hapo sawa!

Muda haubaki kuwa duara. Impression ya muda kama duara inatokana na vipimo ambavyo ni human inventions (clocks,calenders etc) na ambavyo vyote vinategemea either artificial or natural events ili kuupima muda.
 
Muda haubaki kuwa duara. Impression ya muda kama duara inatokana na vipimo ambavyo ni human inventions (clocks,calenders etc) na ambavyo vyote vinategemea either artificial or natural events ili kuupima muda.

Hakika mkuu,uko sawa kabisa!
 
Huenda hii ikawa mara yangu ya kwanza kukutana na kiswahili halisi kilichonyooka
 
Muda haubaki kuwa duara. Impression ya muda kama duara inatokana na vipimo ambavyo ni human inventions (clocks,calenders etc) na ambavyo vyote vinategemea either artificial or natural events ili kuupima muda.

labda mimi nikubali kuwa ninachokizungumza mimi kiko kwenye upeo wetu wa kawaida ambao ni kweli umetokana na artificial au matukio halisi
na ni kweli vitu kama Jua, nyota, Mwezi na baadhi ya Sayari zilitumika sana kuuelezea muda pia vipindi mbalimbali vya hali ya hewa Kiangazi, Kipupwe Masika nk vilitumika na bado vinatumika mpaka leo kuuelezea muda, Mpaka leo masaa yetu yanaendana na mzunguko wa Jua,

Lakini pia mpaka sasa hatujapata substute ya kuhesabu muda nje ya cycle, tunaposema Universe ina +13Bil yrs bado tunarefer mzunguko wa jua na repeatation ya muda, kwa sababu Bilion year imetokana na 1yr ambayo imetokana na masaa, siku, wiki na miezi iliyokuwa inahesabiwa kwa kujirudiarudia (Cycle)

pia siwezi kusimamia tu msimamo wangu kuwa muda ni cycle na unakuwa tu linear kutokana na tukio, nitakuwa najinyima elimu
na mimi ngoja niupe nafasi ubongo wangu ya kuweza kupata uelewa wa kuwa, muda unaweza pia kuwa defined kwa njia nyingine kama Linear, Spiral, Pyramid, Cone, Curve, Polygon nk, nje ya hii tuliyojiwekea ambayo kwa asilimia kubwa inafata mzunguko wa vitu nilivyoviorodhesha hapo juu

asanteni sana Monstgala, Kafman, Chan, Danpol na wengineo kwa kweli nimepata na nazidi kupata Elimu sana, hizi ni miongoni mwa maada ambazo zinajaribu angalau kuufanya ubongo ufikirie zaidi
 
Last edited by a moderator:
labda mimi nikubali kuwa ninachokizungumza mimi kiko kwenye upeo wetu wa kawaida ambao ni kweli umetokana na artificial au matukio halisi
na ni kweli vitu kama Jua, nyota, Mwezi na baadhi ya Sayari zilitumika sana kuuelezea muda pia vipindi mbalimbali vya hali ya hewa Kiangazi, Kipupwe Masika nk vilitumika na bado vinatumika mpaka leo kuuelezea muda, Mpaka leo masaa yetu yanaendana na mzunguko wa Jua,

Lakini pia mpaka sasa hatujapata substute ya kuhesabu muda nje ya cycle, tunaposema Universe ina +13Bil yrs bado tunarefer mzunguko wa jua na repeatation ya muda, kwa sababu Bilion year imetokana na 1yr ambayo imetokana na masaa, siku, wiki na miezi iliyokuwa inahesabiwa kwa kujirudiarudia (Cycle)

pia siwezi kusimamia tu msimamo wangu kuwa muda ni cycle na unakuwa tu linear kutokana na tukio, nitakuwa najinyima elimu
na mimi ngoja niupe nafasi ubongo wangu ya kuweza kupata uelewa wa kuwa, muda unaweza pia kuwa defined kwa njia nyingine kama Linear, Spiral, Pyramid, Cone, Curve, Polygon nk, nje ya hii tuliyojiwekea ambayo kwa asilimia kubwa inafata mzunguko wa vitu nilivyoviorodhesha hapo juu

asanteni sana Monstgala, Kafman, Chan, Danpol na wengineo kwa kweli nimepata na nazidi kupata Elimu sana, hizi ni miongoni mwa maada ambazo zinajaribu angalau kuufanya ubongo ufikirie zaidi

Asante mkuu mchango wako ni mzito na ni perception mojawapo ya kitu hiki ambacho si rahisi asilani. Katika kuulizana kuna vitu nimejifunza pia. Pale mwanzo nilisema " Muda ni swali zito na la zamani sana kabla sisi wote hatujazaliwa tayari wataalam wa fani mbali mbali wamejaribu kulijibu kwa upeo wa juu sana. Bado swali hili lipo tu kwa kuwa bado tunaendelea kujifunza jinsi ulimwegu ulivyo na unavyofanya kazi.

Na hasa ukitaka kufafanua muda ni nini ugumu unakuja lakini kila mtu hata mtoto mdogo anauona muda kwa namna yake mwenyewe. Hivyo kila mtu kwa nafasi yake anaweza kuu-define muda kwa maana kila mtu anau-experience na analo jambo fulani linalomfanya auone muda kwa namna yake
. "

Kila definition ya muda inategemea vigezo halali vinavyotumika ku-justify definition hiyo basi hapo utapata maana nyingi na katika kuendelea kuujua ulimwengu muda pia unapata ufafanuzi zaidi. Pale mwanzo ulisema wazee wa zamani waliuhesabu kutokana na matukio ya machweo na mawio ya jua. Leo tunatengeneza matukio yetu wenyewe katika saa za aina mbalimbali(clock ticks) yanayotupa uwakilishi wa intervals za muda ambazo tunaziita sekunde. Hizi zinazaa dakika na dakika inazaa saa katika mpangilio tuliojiwekea unaofit siku moja ambayo ni tendo lile la machweo na mawio kwa maana ya muda wa dunia kujizungusha yenyewe katika mhimili wake. Na pale matukio haya (occuring pulses) katika saa yanaposimama kwa kuingiliwa na ubovu wa mashine hizi basi tunakimbilia kwenye electromagnetic spectrum maana matukio ya frequency zinazotokana na radiation zina uhakika zaidi na hapa tunaweza kurekebisha saa. Hii ni jinsi tu tunavyoupima muda na inatukumbusha labda baada ya kipindi fulani tutakapoweza kwenda mabili sana na dunia yetu na kuayaacha mbali yale matukio tuliyoyazoea tunaweza kufahamu zaidi sana au tofauti fulani ya perception yetu ya muda.
 
Vipimo vya ages za vitu mfano fossils kwa wanyama na rocks ili kujua age of the Earth etc., kilicho na uhakika au kinachokubalika ni Radiometric dating. Hii kwa lugha nyepesi ni kupima the time of the decaying unstable atoms on the elements which make these stuffs. Vipimo vingine vya kizamani vilishaachwa ingawa kwa wakati huo viliaminika mpaka pale ilipokuja kugundulika knowledge kubwa zaidi na kuonesha haviko sahihi. Mfano Rock erosion iliyopendekezwa na Charles Darwin katika kupima age of the Earth ilikuja kuonekana si kipimo sahihi.

Na hapo ndio tatizo la sayansi, ugunduzi/kitu kinaaminika kuwa sahihi hadi ugunduzi mwingine utakapotokea. Haina mamlaka ya kuaminika kutoa maamuzi ya mwisho.
 
Na hapo ndio tatizo la sayansi, ugunduzi/kitu kinaaminika kuwa sahihi hadi ugunduzi mwingine utakapotokea. Haina mamlaka ya kuaminika kutoa maamuzi ya mwisho.

Kwa upande mmoja inaweza kuonekana kama tatizo na upande mwingine ni kama advantage maana kuna mwanya wa kujisahihisha. Sayansi inakua na ni kwa kasi sana. Pia kuna theories na facts hapa mara nyingi zinachanganywa na sayansi inatoa nafasi ya kuendelezwa i.e pale walipoishia wengine panaweza kuendelezwa, kusahihishwa na kupingwa. Ndio njia bora ya kujifunza.
 
Kwa upande mmoja inaweza kuonekana kama tatizo na upande mwingine ni kama advantage maana kuna mwanya wa kujisahihisha. Sayansi inakua na ni kwa kasi sana. Pia kuna theories na facts hapa mara nyingi zinachanganywa na sayansi inatoa nafasi ya kuendelezwa i.e pale walipoishia wengine panaweza kuendelezwa, kusahihishwa na kupingwa. Ndio njia bora ya kujifunza.

Nashukuru sana mkuu, nimefurahishwa na uchambuaji na jinsi unavyoyatazama mambo kwa pande tofautitofauti na kuja na hoja zenye mantiki.
 
labda mimi nikubali kuwa ninachokizungumza mimi kiko kwenye upeo wetu wa kawaida ambao ni kweli umetokana na artificial au matukio halisi
na ni kweli vitu kama Jua, nyota, Mwezi na baadhi ya Sayari zilitumika sana kuuelezea muda pia vipindi mbalimbali vya hali ya hewa Kiangazi, Kipupwe Masika nk vilitumika na bado vinatumika mpaka leo kuuelezea muda, Mpaka leo masaa yetu yanaendana na mzunguko wa Jua,

Lakini pia mpaka sasa hatujapata substute ya kuhesabu muda nje ya cycle, tunaposema Universe ina +13Bil yrs bado tunarefer mzunguko wa jua na repeatation ya muda, kwa sababu Bilion year imetokana na 1yr ambayo imetokana na masaa, siku, wiki na miezi iliyokuwa inahesabiwa kwa kujirudiarudia (Cycle)

pia siwezi kusimamia tu msimamo wangu kuwa muda ni cycle na unakuwa tu linear kutokana na tukio, nitakuwa najinyima elimu
na mimi ngoja niupe nafasi ubongo wangu ya kuweza kupata uelewa wa kuwa, muda unaweza pia kuwa defined kwa njia nyingine kama Linear, Spiral, Pyramid, Cone, Curve, Polygon nk, nje ya hii tuliyojiwekea ambayo kwa asilimia kubwa inafata mzunguko wa vitu nilivyoviorodhesha hapo juu

asanteni sana Monstgala, Kafman, Chan, Danpol na wengineo kwa kweli nimepata na nazidi kupata Elimu sana, hizi ni miongoni mwa maada ambazo zinajaribu angalau kuufanya ubongo ufikirie zaidi

Hakika Mkuu hata mimi mada hii imenijenga sana,mwanzo nliisoma na nikairudia kama mara 2 ila sikuielewa ila nilivyoendelea kusoma comments za wadau hasa kutofautiana kwenu wewe na Monstgala kulinifanya ning'amue na niweze hata kukomenti. Asante sana mkuu!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom