Muda wa ulimwengu na matukio yake tangu mwanzo wake

Muda wa ulimwengu na matukio yake tangu mwanzo wake

Kwahiyo mkuu,muda ni kitu halisi au sio halisi?

Au ni kitu halisi lakini sisi tunakiona tofauti?

Au ni kitu halisi lakini ni kwa hapa kwetu duniani tu lakini pia kipo mahali pengine na huko pengine kipo tofauti na hapa kwetu?

Muda ni impression kutokana na tabia za vitu in forward direction ambayo kwa hakika ni tofauti na tabia za vitu hivi katika backward direction. Hii sio maana au approach pekee lakini ni jinsi mojawapo ya kuuangalia muda na ime-base katika second law of thermodynamics. Kwamba tunaona causality situation kutoka kwenye organized state kwenda kwenye more disorganized state. Mfano: Glass inapasuka maji yanamwagika lakini ni ngumu kuona vipande vya glass vinakusanyika alafu yale maji yaliyomwagika yanakusanyika na kuingia kwenye glass. Hii inaitwa entropy na ni kigezo cha kuuona muda ukiwa katika flow ambayo kwa hali ya kawaida tunaona hairudi nyuma. Lakini katika quantum level muda unaonekana unaweza kurudi nyuma au kwenda mbele kunakuwa hakuna ile flow ambayo sisi tunaona ni irreversible.

Mahali pengine ni tofauti na mazingira haya muda ni kitu cha aina nyingine kama physicists wanavyoeleza. Mathematical equations ndio zinaongoza theories nyingi na so far predictions kutokana nazo ndio njia ya mwanzo katika utambuzi. Hivyo kwa equations hizi predictions zake za behaviour ya energy, matter, space and time ndani ya black hole ni nje kabisa ya kawaida. Hapa muda unaminywa pamoja na space matter and energy mpaka kwenye quantum level na una-slow down na kuwa kitu tofauti kabisa. Hivyo our physical world allow time to be seen like we do now na mahali pengine ambapo general relativity haiapply, muda uko tofauti ya tunavyouona.
 
Monstgala hii mada ni nzuri sana lakini naona km hawapo interested nayo sana, bila shaka ni kwa vile inatufikirisha sana na ukichanganya na imani za dini ndio kabisaa inatia uoga. Kwakweli nakiheshimu sn kichwa chako mkuu kina uelewa mpana sana
 
Monstgala hii mada ni nzuri sana lakini naona km hawapo interested nayo sana, bila shaka ni kwa vile inatufikirisha sana na ukichanganya na imani za dini ndio kabisaa inatia uoga. Kwakweli nakiheshimu sn kichwa chako mkuu kina uelewa mpana sana

Nadhani pia ilikuwa ni ndefu sana nimeipunguza maana kusoma mada ndefu kuna uwezekano ikawa inaboa.
 
Very interesting,bado sijaelewa maana ya muda ila ngoja niendelee kusoma labda ntang'amua.

Thanks mleta mada,ila samahani nilitaka kujua we mtaalamu wa mambo gani(proffsional gani)? samahani lakini.
 
Ni maada nzuri sana na inahitaji utulivu kuiingilia,

kabla ya hizo radiometrcic na relative dating, kwa uhalisia muda ulikuwa unahesabiwa kuanzia mapambazuko mpaka machweo ya Jua, na hata ukiisoma Biblia inasema ikawa usiku ikawa mchana siku ya kwanza nk, kwa maana halisi muda unaonekana kama ni cycle ileile inayojirudia kutoka usiku kwenda mchana na kisha kujirudia tena

hivyo hata sayansi ya mwanzo haikulenga sana kwenye ulimwengu ( Universe) bali ililenga kwenye Dunia (Earth), Jua, Mwezi na Nyota, na muda ndio ulikuwa unaonekana chanzo chake kiko katika vitu hivyo,

kabla ya Hiyo Absolute dating Especially radiomertic, relative dating (Correlation) pia ilibase kwenye Dunia tu kwa kuangalia fossils na some geological features and events

nadhani ukuaji wa sayansi hasa hiyo radiometric dating imejaribu kuuvuta muda kutoka mwanzo wa dunia(ikawa usiku ikawa mchana) mpaka mwanzo wa ulimwengu
 
Very interesting,bado sijaelewa maana ya muda ila ngoja niendelee kusoma labda ntang'amua.

Thanks mleta mada,ila samahani nilitaka kujua we mtaalamu wa mambo gani(proffsional gani)? samahani lakini.

Poa. Mimi ni mshabiki tu wa mambo mbalimbali ya sayansi. Professional yangu ni mshauri wa mambo ya uvumbuzi katika teknolojia.
 
Ni maada nzuri sana na inahitaji utulivu kuiingilia,

kabla ya hizo radiometrcic na relative dating, kwa uhalisia muda ulikuwa unahesabiwa kuanzia mapambazuko mpaka machweo ya Jua, na hata ukiisoma Biblia inasema ikawa usiku ikawa mchana siku ya kwanza nk, kwa maana halisi muda unaonekana kama ni cycle ileile inayojirudia kutoka usiku kwenda mchana na kisha kujirudia tena

hivyo hata sayansi ya mwanzo haikulenga sana kwenye ulimwengu ( Universe) bali ililenga kwenye Dunia (Earth), Jua, Mwezi na Nyota, na muda ndio ulikuwa unaonekana chanzo chake kiko katika vitu hivyo,

kabla ya Hiyo Absolute dating Especially radiomertic, relative dating (Correlation) pia ilibase kwenye Dunia tu kwa kuangalia fossils na some geological features and events

nadhani ukuaji wa sayansi hasa hiyo radiometric dating imejaribu kuuvuta muda kutoka mwanzo wa dunia(ikawa usiku ikawa mchana) mpaka mwanzo wa ulimwengu

Sure, ukuaji wa sayansi umeleta mabadiliko makubwa katika suala zima la maana ya muda na jinsi tunavyouona hadi kuyumbisha theories kubwa katika ambazo tayari ni maarufu. Licha ya kukua au kugundulika kwa vipimo vyenye uhakika zaidi pia muda umechunguzwa katika namna ambayo haikufikirika zamani. Ukiangalia bilionth of a second au nanoseconds ni muda mfupi ambao bila mashine ingekuwa vigumu kuutambua. Muda huu mfupi unatumika na ni wa kawaida kwa wale wataalam wa computer na mashines nyingine lakini ni nje ya macho au sense zetu kwa maana ya kwamba si rahisi kuhisi au kuona kinachofanyika ndani ya muda huu. Mfano computer ya kawaida inatenda agizo la software moja ndani ya nano seconds tano au chini ya hapo. Kulinganisha nanosecond na sekunde ni sawa na kulinganisha sekunde moja na miaka 31.7.

Kwa kawaida ya mazingira yetu ya siku yenye masaa 24 ambayo wazee wetu wao waliiona kama usiku na mchana kama kipimo cha muda na ambayo ni kama tunahisi ndivyo itakavyokuwa miaka yote, bado adjustments zitafanyika kwa vizazi vyetu huko mbeleni kama vitakuwepo. Baada ya miaka milioni 200 siku moja itakuwa na masaa 25. Muda na kalenda tulizojiwekea hazitafaa. Ila huko ni mbali sana na wala hatujui katika miaka elfu moja tu kama tutakuwa salama.
 
Nimesoma Vitu vingi hapo na nilikua sivifahamu kabisa,lakini kwa akili yetu sisi binadamu wa kawaida kabisa sehemu pekee unaweza kupata habari yenye angalau kueleweka na kupata maana ya jinsi ya ulimwengu huu ni kwenye biblia,matukio mengi ya kwenye biblia yamethibitishwa na wanasayansi na wanahistoria wa kale kabisa kuwa ni kweli,lakini kufomulate kitu kuwa seli yetu kati yangu mimi na mboga aina ya mchicha ni moja siwezi kukubali lazima kuwe na facts za kutosha kuiback up hiyo hoja ........

Mkuu, seli yako si sawa na ya mchicha na seli bado ni kitu kikubwa kama unachunguza zaidi kile kitu kidogo kabisa kama msingi wa mwili wako. Katika seli kuna kiini na katika kiini kuna DNA au vinasaba. Hivi ndio viini vinavyobeba copy yako ambayo pia umeirithi kutoka kwa wazazi wako wawili na ambayo pia mwanao na wanae watairithi kutoka kwa kila wazazi wao wawili.

Kwa umbo DNA yako na ile ya mchicha havina tofauti na vyote vinaundwa na chemical zilezile. Kinachofanya tofauti ni mpangilio tu wa zile nucleotides zake. Hii ina maana mpangilio huu ndio unaobeba code za information tofauti yani kuwe na ngozi au magamba, mfupa au matawi. Hii ni kwa lugha nyepesi tu lakini ndivyo ilivyo.

Lakini ukiacha DNA ambazo ni ndani ya viini katika seli, ukataka kujua nini kinaunda kila kitu unachokiona basi unakutana na atoms. Hizi ndio zile chembe ndogo kabisa ambazo kila maada imeumbwa nazo. Sasa hapa unakuta asilimia 99 ya mwili wa binadamu umeumbwa kwa oxgen, hydrogen na carbon. Sasa hapa hata ni zaidi ya mchicha sana tunafanana na maji kwa asilimia kubwa. Lakini atoms zote zinaundwa na protons electrons na neutrons. Electron na protons ni electric charges (negative na positive) na neutrons ndio kiini na ni ndogo sana ukilinganisha na umbo au eneo zima (hizo charges zinapozungukia) la atom yenyewe. Kwa hiyo asilimia kubwa ya atom ni nafasi tupu ingawa kuna charge zinazozunguka kwa kasi. Electrons, protons na neutrons ni asilimia moja tu ya ujazo wa atom nzima inayobaki ni nafasi tupu ambayo electrons charges zinazunguka. Mwisho unakuta asilimia kubwa takribani 99% ya maada (mwili, mawe, gesi, maji, miti na vitu vyote tunavyoviona) ni nafasi tupu. Kumbe asilimia kubwa ya mwili ni empty space.
 
Sure, ukuaji wa sayansi umeleta mabadiliko makubwa katika suala zima la maana ya muda na jinsi tunavyouona hadi kuyumbisha theories kubwa katika ambazo tayari ni maarufu. Licha ya kukua au kugundulika kwa vipimo vyenye uhakika zaidi pia muda umechunguzwa katika namna ambayo haikufikirika zamani. Ukiangalia bilionth of a second au nanoseconds ni muda mfupi ambao bila mashine ingekuwa vigumu kuutambua. Muda huu mfupi unatumika na ni wa kawaida kwa wale wataalam wa computer na mashines nyingine lakini ni nje ya macho au sense zetu kwa maana ya kwamba si rahisi kuhisi au kuona kinachofanyika ndani ya muda huu. Mfano computer ya kawaida inatenda agizo la software moja ndani ya nano seconds tano au chini ya hapo. Kulinganisha nanosecond na sekunde ni sawa na kulinganisha sekunde moja na miaka 31.7.

Kwa kawaida ya mazingira yetu ya siku yenye masaa 24 ambayo wazee wetu wao waliiona kama usiku na mchana kama kipimo cha muda na ambayo ni kama tunahisi ndivyo itakavyokuwa miaka yote, bado adjustments zitafanyika kwa vizazi vyetu huko mbeleni kama vitakuwepo. Baada ya miaka milioni 200 siku moja itakuwa na masaa 25. Muda na kalenda tulizojiwekea hazitafaa. Ila huko ni mbali sana na wala hatujui katika miaka elfu moja tu kama tutakuwa salama.

Mkuu hebu tena tuangalie vizuri, nadhani kunakuwa na mchanganyiko kidogo kati ya Muda na events,, ukikangalia kwa undani sana muda ni ule ule tu haubadiriki yaani ni cycle inayoyojirudiarudia tu, yaani 24hrs ni siku moja kisha inaanza mzunguko uleule kwa maana hiyo mwaka unakuwa na siku 365.25, na unaposema dunia ina 3.5Bil yrs ni mjumuisho wa dakika, saa, siku, miezi na miaka iliyokuwa inajirudiarudia tu

kinachoonyesha muda umekwenda ama bado ni matukio tu, kama tusingekuwa na uelewa wa carbon 14 na radiomertic dating methods basi tungesema Dunia ni ya juzi tu, na wale wanaosoma Biblia wangepiga hesabu ya miaka ya kuanzia Adamu mpka leo labda wangepata dunia ina miaka 5000 tu,

kwa mtazamo wangu muda ni ule ule ila events ndio zinadetemine urefu wa muda
 
Mkuu hebu tena tuangalie vizuri, nadhani kunakuwa na mchanganyiko kidogo kati ya Muda na events,, ukikangalia kwa undani sana muda ni ule ule tu haubadiriki yaani ni cycle inayoyojirudiarudia tu, yaani 24hrs ni siku moja kisha inaanza mzunguko uleule kwa maana hiyo mwaka unakuwa na siku 365.25, na unaposema dunia ina 3.5Bil yrs ni mjumuisho wa dakika, saa, siku, miezi na miaka iliyokuwa inajirudiarudia tu

kinachoonyesha muda umekwenda ama bado ni matukio tu, kama tusingekuwa na uelewa wa carbon 14 na radiomertic dating methods basi tungesema Dunia ni ya juzi tu, na wale wanaosoma Biblia wangepiga hesabu ya miaka ya kuanzia Adamu mpka leo labda wangepata dunia ina miaka 5000 tu,

kwa mtazamo wangu muda ni ule ule ila events ndio zinadetemine urefu wa muda

Mkuu asante. Ndio nakubaliana nawe kwamba matukio ndio yanatufanya tuutambue muda na nimesema hivyo mara nyingi kabla. Ni vigumu kutenganisha matukio na muda na pia jinsi tunavyouona muda inategemea na jinsi tuanavyoangalia mambo yanayotukia.

Ila ukisema muda kwa ujumla ni kama cycle si sawa, maana inawezekana ukawa umeegemea katika kuchambua na kuchagua matukio fulani ya ndani ya dunia na solar system ili kufikia jibu hilo kuwa muda unajirudia rudia. Umesema siku saa dakika na mwaka kama mfano wa muda kujirudia lakini hivyo ni viwango vya vipimo vya muda. Na ukisema matukio ya mzunguko wa dunia unaoleta siku na ule wa dunia kuzunguka jua unaotupa mwaka nje ya solar system hatuna matukio haya ingawa vile viwango kipimo vipimo cha muda huu vinaweza kuwa constant. Point yangu hapa ni kuwa kiwango cha kipimo (dakika, saa, siku, mwaka etc.) hakiujengi muda wala kuupa structure (cycle) bali matukio yanaweza kutusaidia katika ubongo kujenga hypothetical structure ya muda.

Maono ya wengi katika muda (hypothetical stucture) ni kama mstari wenye uelekeo mmoja rather than a cycle. Na matukio haya hayajirudii ili kutengeneza cycle bali "yanapita" na kwa kuwa matukio ndio yanatupa impression ya muda basi tunaona muda kama unapita pia (past, present and future). Hii ni jinsi sisi kama binadamu tunavyouona muda in a psychological way, from one point to another in same direction no return.
 
Mkuu asante. Ndio nakubaliana nawe kwamba matukio ndio yanatufanya tuutambue muda na nimesema hivyo mara nyingi kabla. Ni vigumu kutenganisha matukio na muda na pia jinsi tunavyouona muda inategemea na jinsi tuanavyoangalia mambo yanayotukia.

Ila ukisema muda kwa ujumla ni kama cycle si sawa, maana inawezekana ukawa umeegemea katika kuchambua na kuchagua matukio fulani ya ndani ya dunia na solar system ili kufikia jibu hilo kuwa muda unajirudia rudia. Umesema siku saa dakika na mwaka kama mfano wa muda kujirudia lakini hivyo ni viwango vya vipimo vya muda. Na ukisema matukio ya mzunguko wa dunia unaoleta siku na ule wa dunia kuzunguka jua unaotupa mwaka nje ya solar system hatuna matukio haya ingawa vile viwango kipimo vipimo cha muda huu vinaweza kuwa constant. Point yangu hapa ni kuwa kiwango cha kipimo (dakika, saa, siku, mwaka etc.) hakiujengi muda wala kuupa structure (cycle) bali matukio yanaweza kutusaidia katika ubongo kujenga hypothetical structure ya muda.

Maono ya wengi katika muda (hypothetical stucture) ni kama mstari wenye uelekeo mmoja rather than a cycle. Na matukio haya hayajirudii ili kutengeneza cycle bali "yanapita" na kwa kuwa matukio ndio yanatupa impression ya muda basi tunaona muda kama unapita pia (past, present and future). Hii ni jinsi sisi kama binadamu tunavyouona muda in a psychological way, from one point to another in same direction no return.

Kaka nadhani hapo kwenye Nyekundu pana walakini kidogo,
Muda hauwezi kuwa Mstari, bali matukio/events ndio ziko kwenye mstari kwa maana ni kitu ambacho kiko continous na wala sio cycle, maana baada ya tukio moja linakuja lingine na baada ya moja linakuja lingine, na hapo hakuna ujumla wa matukio ila kila tukio linajitegemea lenyewe na muda wake,
lakini muda ni cycle inayojirudiarudia, maana saa moja asubuhi ya jumatatu inajirudia tena jumanne jumatano mpaka jumatatu ya wiki ijayo, hivyo miaka ni ujumla wa sekunde, dakika masaa,siku, wiki, miezi inayojirudiarudia (cycles)nk.

Kiuhalisia tunaposema Past, Present na Future huwa hatuzungumzii muda bali ni matukio, kama hakuna tukio huwezi kuzungumza Past, Present wala Future, hivyo kitendo ndio kinaingia kwenye cycle ya muda, kwa mfano ukichukua neno kula, ali-kula, ana-kula ata-kula, sasa hapo inawezekana alikula saa saba mchana, au anakula saa saba mchana au atakula saa saba mchana, kwa hiyo tukio ndio litasema ni past present ama future

hypothetical stucture ya Muda iko too imaginary, sio kitu physical chenye proof ya moja kwa moja na hata hivyo bado haionyeshi kuwa muda ni mstari zaidi ya kuonyesha tukio/event kuwa ndio mstari

Mfano unaweza kuwaza mwenyewe kuwa unahitaji kula Pilau na ukawaza unaiandaa pilau na ndani ya dakika kumi pilau ikawa tayari, hiyo inaweza kuwa Hypothetical structure ya muda+event ambayo ni imagination tu, hapo katika kuwaza huko, muda umeonekana mfupi kuliko kitendo halisi cha kupika pilau ambacho kinaweza kuchukua masaa kadhaa,

katika mfano huo sio muda ndio umeonekana kuwa mstari bali ni tukio ndio linaonyesha kuwa liko mstari na muda unabaki kuwa ni cycle tu
 
Labda tunahitaji kujua maana ya muda(saa) kabla ya kujua kama saa (muda) ni linear, Rumyana Georgieva katika kitabu chake cha Concept of Time anasema

"Does time exist?The flow of time.The concept of time is related with the motion and the change in the objects around us. All objects begin, develop and end in time and that holds true not only for us , the human beings, but also for the stars and the universe.In the Newtonian physics time is used as a parameter to describe the motion of objects.But this does not necessarily mean that time exists in reality.

we can't perceive time itself but only the flow of time. Every instant the present turns into past and thefuture - into present.We feel this passage of time because the past is quite different compared with thefuture: we have memories of the past, but we don,t know anything about the future. And we cannot stop thepresent: even when we are talking about the present instant, it ,s already gone into past.Since the flow oftime makes a given moment come on the present stage only for an instant and the past and future existonly in our consciousness, one may think that time doesn,t exist in reality but is only a psychologicalphenomenon.

Although sikubaliana na huyu lakini this can be a strating point, ukiangalia 11 dimensions za universe time inakuwa ni important sana ili kudifferentiate hizi dimensions, kama hamna time hizi dimensions zinakuwa hazina maana, kwa mfano ukiwa mbali na mlingoti wa taa barabarani tunauona kama msitari tu lakini as the time passes na wewe unatembea na kuukaribia the perception changes unapata 3 D ya mlingoti huo na kuona kuwa ni wa duara, so time it real exist na tukiitumia vizuri tunaweza kugundua mambo mengi sana
 
Kaka nadhani hapo kwenye Nyekundu pana walakini kidogo,
Muda hauwezi kuwa Mstari, bali matukio/events ndio ziko kwenye mstari kwa maana ni kitu ambacho kiko continous na wala sio cycle, maana baada ya tukio moja linakuja lingine na baada ya moja linakuja lingine, na hapo hakuna ujumla wa matukio ila kila tukio linajitegemea lenyewe na muda wake,
lakini muda ni cycle inayojirudiarudia, maana saa moja asubuhi ya jumatatu inajirudia tena jumanne jumatano mpaka jumatatu ya wiki ijayo, hivyo miaka ni ujumla wa sekunde, dakika masaa,siku, wiki, miezi inayojirudiarudia (cycles)nk.

Kiuhalisia tunaposema Past, Present na Future huwa hatuzungumzii muda bali ni matukio, kama hakuna tukio huwezi kuzungumza Past, Present wala Future, hivyo kitendo ndio kinaingia kwenye cycle ya muda, kwa mfano ukichukua neno kula, ali-kula, ana-kula ata-kula, sasa hapo inawezekana alikula saa saba mchana, au anakula saa saba mchana au atakula saa saba mchana, kwa hiyo tukio ndio litasema ni past present ama future

hypothetical stucture ya Muda iko too imaginary, sio kitu physical chenye proof ya moja kwa moja na hata hivyo bado haionyeshi kuwa muda ni mstari zaidi ya kuonyesha tukio/event kuwa ndio mstari

Mfano unaweza kuwaza mwenyewe kuwa unahitaji kula Pilau na ukawaza unaiandaa pilau na ndani ya dakika kumi pilau ikawa tayari, hiyo inaweza kuwa Hypothetical structure ya muda+event ambayo ni imagination tu, hapo katika kuwaza huko, muda umeonekana mfupi kuliko kitendo halisi cha kupika pilau ambacho kinaweza kuchukua masaa kadhaa,

katika mfano huo sio muda ndio umeonekana kuwa mstari bali ni tukio ndio linaonyesha kuwa liko mstari na muda unabaki kuwa ni cycle tu

Mkuu, ni kweli wala hatujapishana sana katika kile ninachosema maana nimesema hii structure ya muda ni ya kufikirika kutokana na how our brain was fashioned. Ni vizuri ulivyoainisha maana tutasaidiana na kueleweshana hii kitu ambayo ni kweli ni area ngumu.

Katika kipengele kimoja cha mada nimesema hivi:

"Kumbuka muda tumeamua wenyewe (binadamu) kuuweka katika vipimo (sekunde, dakika, mwaka etc) hivyo kuujengea kitu kama mstari ulionyooka katika fikra zetu. Kwamba mstari huu una uelekeo mmoja na sasa tuko katikati yake (tulipo) na yale yaliyopita yanajipanga upande mmoja wa tulikotoka na yajayo ambayo hatujayafikia yanajipanga katika upande mwingine wa mstari wa tunakoelekea.Matukio yanayo/yatakayo na yaliyotokea yanatupa uelewa wa muda uliopita, wa sasa na ujao. Kitu cha kukumbuka na cha ajabu ni kwamba mstari huu wa muda (arrow of time) wala haupo katika zile sheria za msingi za physics na wala hauna muunganiko wowote na sheria hizi. Hivyo mstari huu wa muda ni katika ufahamu wetu na uwezo wa kuuona au kuufikiri kwa kuangalia matukio hivyo ni wa kufikirika au psychological arrow."

Utaona wazi hatupishani kwa hilo lakini lile tu la cycle na inategemeana kama tutakuwa tunazungumzia the same context. Mimi hii structure ya mstari ninaijenga kutoka katika psychological thinking of time kwamba matukio yanapotokea basi yanatupa impession hii ya mstari wenye uelekeo kutokana na nafasi yanayotokea. Nitakupa mfano mmoja.

Umesafisha nyumba yako ukafunga milango na geti alafu ukasafiri kwenda ng'ambo masomoni. Umekaa ng'ambo kwa muda wa miaka kumi sasa unarudi nyumbani na unaenda kufungua geti na kuingia katika nyumba yako. Hapa utaona kuwa nyumba imechafuka na kuna buibui la vumbi na labda upande wa jikoni bomba linavuja kwa kuwa lilipata kutu na kutoboka. Pia majani yameota uwanjani na aina nyingine ya uchakavu. Hii ni obvious situation. Na wala ukimueleza mtu yoyote hatoshangaa.

Sasa scenario tofauti ni pale unapoamua kurudi ngambo kwa miaka kumi ukiiacha nyumba katika hali hiyo ya uchafu na magugu. Baada ya miaka mingine kumi urudipo kwa mara ya pili katika nyumba yako ufungue geti na milango ukute nyumba ile uliyoiacha na uchafu, vumbi majani sasa imekuwa safi hamna vumbi wala majani uwanjani na lile bomba la jikoni lililopasuka kwa kutu sasa liko sawa. Hapa lazima utashangaa na kila utakayemwambia atashangaa.

Kwa nini? Kwa sababu kwa asili matter ina kawaida ya kutoka katika organised state kwenda katika unorganized state. Hili linafanyika kwa kadri muda unavyopita kwa kwenda katika direction moja (organised to unorganized). Kama muda ungekuwa perceived kama cycle basi tungeona hali ya kujirudia mfano nyumba kuwa safi yenyewe at one point kadri muda unavyoenda. Kwa kuwa hili halijawahi kushuhudiwa kwa namna yoyote basi "hypothetical line with direction" inajenga maana kubwa kuliko cycle.

Muda unaenda/unaonekana kutokana na events na kila event inayofanyika ni mpya na haikuwahi kujirudia katika same circumstances. Cycle ingekuwa na maana iwapo kama tendo fulani linaweza kurudiwa katika mazingira yaleyale (eg. event fulani katika siku ile ile, jua na nyota zote zikiwa palepale sauti zote zikiwa zilezile wewe na seli zako mwilini zikiwa hazijaongezeka na watu wote duniani wakiwa katika hali ile ile). Simply impossible. In reality same event in the similar circumstances haijirudii wala halirudiwi na kwakuwa events na muda ni sambamba basi hamna cycle ya muda hapo iwe ni hypothetical au real one.

Kutokana na perception hii ambayo ni natural and the fact that the universe is in motion, sisi kama binadamu muda unakuwa na sense zaidi pale tunapouona kama mstari wenye uelekeo na events zinasaidia kuujengea mental picture.(past present and future)
 
Huyu Jamaa kaenda mbali zaidi na kusema matukio yote yanatokea kwa wakati mmoja, hakuna past, present wala future, ila kwa kuwa hatuwezi kutoka kwenye universe na kukaa pembeni tunaweza kuona matukio yote kwa wakati mmoja kwenye slice za time tofauti

"time actually doens't flow and this is an indication for the real existence of time. Lets regard a model of the space-time suggested by Brian Greene(ref.1). He considers the universe as a sliced loaf of bread Each slice is a time cross section of the universe, i.e. it contains all the events that take place in the entire universe at a certain instant according to a given
observer. If he could look at this picture from above, he could see all the events from the past, the present and the future in the different slices, like the Big Bang, the origin of the Sun, the birth of his future children or the collision of the Milky way with the Andromeda galaxy. But he is in the space-time and cannot go out of it to see all these time cross sections
altogether. He sees only one by a time as though there is a mechanism like the light of a torch that illuminates the slices of time one after another only for an instant , after which they disappear in the darkness.

But such a physical mechanism that can separate one moment from another is not yet found What then justifies this model?It is the theory of relativity. It reveals that if two observers move with respect to each other, they don,t agree on the
simultaneousness of events and consequently their present time cross sections are not the same. \

Hapa utaona kuwa concept ya time inainvolve vitu vingi sana, kuna Relativity, Dimensions na Gravity
 
Poa. Mimi ni mshabiki tu wa mambo mbalimbali ya sayansi. Professional yangu ni mshauri wa mambo ya uvumbuzi katika teknolojia.

Duh,poa ila mi nilihisi kama we ni mtalaam wa mambo ya Physics na Atronomy na pengine unafanya tafiti katika Sayari nyingine mwezi pia ila kaka upo vizuri endelea hivyo hivyo na utoaji wa elimu ambayo ni adimu sana kupatikana mashuleni. Hongera!
 
Huyu Jamaa kaenda mbali zaidi na kusema matukio yote yanatokea kwa wakati mmoja, hakuna past, present wala future, ila kwa kuwa hatuwezi kutoka kwenye universe na kukaa pembeni tunaweza kuona matukio yote kwa wakati mmoja kwenye slice za time tofauti

"time actually doens't flow and this is an indication for the real existence of time. Lets regard a model of the space-time suggested by Brian Greene(ref.1). He considers the universe as a sliced loaf of bread Each slice is a time cross section of the universe, i.e. it contains all the events that take place in the entire universe at a certain instant according to a given
observer. If he could look at this picture from above, he could see all the events from the past, the present and the future in the different slices, like the Big Bang, the origin of the Sun, the birth of his future children or the collision of the Milky way with the Andromeda galaxy. But he is in the space-time and cannot go out of it to see all these time cross sections
altogether. He sees only one by a time as though there is a mechanism like the light of a torch that illuminates the slices of time one after another only for an instant , after which they disappear in the darkness.

But such a physical mechanism that can separate one moment from another is not yet found What then justifies this model?It is the theory of relativity. It reveals that if two observers move with respect to each other, they don,t agree on the
simultaneousness of events and consequently their present time cross sections are not the same. \

Hapa utaona kuwa concept ya time inainvolve vitu vingi sana, kuna Relativity, Dimensions na Gravity

I am aware of Brian Greene's concept of time/space and his efforts on trying to build the theory that will unify all others by focusing on the quantum physics. Not only that his model and other quantum physics discoveries has challenged the fundamental thinking of how space and time are but it has also bring huge challenge of the standard model of how the universe came to existence. (Big Bang). The issue is Brian Green's inflationary model is just too difficult to prove same goes to the String theory.

Do you think inflationary model supports the classical conceptions of space and time?
 
Inflationary model of multiuniverse does not not suppose the classical concept of space and time and the main reason is the introduction of Mult Verses and possibility of availability of parallel universes with the same property and nature like ours, the introduction of Carabi Yau complicate the issue of classical concept of time and introduces the possibility of having a double in different verse

Thats why now time has been removed as one of the dimensions of Universe by some schooler like Zoltan Penzel, early cosmologist considered time as one of the dimension, infact the 3rd dimension but inflationary cosmologist are considering time as an item used to determine the dimensions instead of being the dimension in itself, so as the time goes on time will be left out of cosmologic studies and focuses will be more on Carabi Yau
 
Labda tunahitaji kujua maana ya muda(saa) kabla ya kujua kama saa (muda) ni linear, Rumyana Georgieva katika kitabu chake cha Concept of Time anasema

"Does time exist?The flow of time.The concept of time is related with the motion and the change in the objects around us. All objects begin, develop and end in time and that holds true not only for us , the human beings, but also for the stars and the universe.In the Newtonian physics time is used as a parameter to describe the motion of objects.But this does not necessarily mean that time exists in reality.

we can't perceive time itself but only the flow of time. Every instant the present turns into past and thefuture - into present.We feel this passage of time because the past is quite different compared with thefuture: we have memories of the past, but we don,t know anything about the future. And we cannot stop thepresent: even when we are talking about the present instant, it ,s already gone into past.Since the flow oftime makes a given moment come on the present stage only for an instant and the past and future existonly in our consciousness, one may think that time doesn,t exist in reality but is only a psychologicalphenomenon.

Although sikubaliana na huyu lakini this can be a strating point, ukiangalia 11 dimensions za universe time inakuwa ni important sana ili kudifferentiate hizi dimensions, kama hamna time hizi dimensions zinakuwa hazina maana, kwa mfano ukiwa mbali na mlingoti wa taa barabarani tunauona kama msitari tu lakini as the time passes na wewe unatembea na kuukaribia the perception changes unapata 3 D ya mlingoti huo na kuona kuwa ni wa duara, so time it real exist na tukiitumia vizuri tunaweza kugundua mambo mengi sana

Nadhani ukiangali huo mfano wako utaona kabisa the perfection view ya hiyo 3D ya electric post haijakuwa determined na time bali na action/motion kwa sababu hapo ulipokuwa mwanzo na kuiona hiyo nguzo ni kama mstari ingebaki hivyo hivyo asubuhi mpaka asubuhi kama kungekuwa hakuna action/movement, muda ungekuwa unazunguka tu, lakini kilichokupa view nzuri ni kile kitendo chako cha kuisogelea ile nguzo, sasa hicho kitendo chako cha kutembea kimekupa Past-Nguzo kama Mstari, Present-Nguzo Duara na ungeweza kupredict future

mimi bado naamini muda ni cycle ambayo ikikosa action inakuwa haina history yaani inakosa Past, Present na Future so muda hupo tu, lakini kitendo ndio kinacho jaribu kuonyesha muda kuwa ni linear
 
Back
Top Bottom