Muda wa 'Shujaa Feki' wa Uokoaji Majaliwa Jackson na aliyemsifia 'Samjo Samjo' WM Kassim Majaliwa 'Kuumbuka' Unakaribia

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,689
109,122
Baadhi ya Wajumbe wanaoiandaa hiyo Ripoti huku wakiendelea na Uchunguzi wa mwisho mwisho wanasema Ushahidi wa Vifaa Maalum vilivyomo katika Ndege vinaonyesha Milango ilifunguliwa na Wahudumu wa Ndege kwa kusaidiana na baadhi ya Abiria waliokuwepo Ndani na hata pale ulipofunguka waliokuja Kuwaokoa Wote hakuwa Tapeli ( Samjo ) Majaliwa Jackson kama Waziri Mkuu wa Tanzania Majaliwa Kassim Majaliwa alivyoendelea na Utamaduni wake 'Maalum' aliojiwekea wa Kutudanganya Kunakotukuka Watanzania kama ule wa Tukio Kubwa la tarehe 17 Machi, 2021.

Taarifa za Awali na zenye uhakika kutoka kwa Wajumbe ambao pia ni Wabobezi wa Uchunguzi hasa wa Masuala ya Aviation zinasema kwamba Wavuvi wote kwa Ujumla wao ndiyo walisaidia katika Kuokoa na Kuwavusha Abiria hadi Ufukweni na Samjo ( Tapeli ) Majaliwa Jackson ( Muokoaji wa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ) hakuokoa pekee na wala hakupiga hizo Mbizi hadi kule chini iliko Cockpit ya Ndege na Kuonana na Marubani ambao walimpungia Mikono.

Muda wa Muongo Mkuu wa Taifa la Tanzania Premier Majaliwa na Msaidizi wake RC wa Kagera Chalamila Kuumbuka kuhusu kututeulia huyo Muokoaji Muongo Muongo ( Samjo Samjo ) Majaliwa Jackson unakaribia na msisahau kuwa Wanadamu tutadanganya ila Teknolojia na Uhalisia kamwe huwa havidanganyi.

Wale mnaoniuliza kwanini GENTAMYCINE namuandama mno Waziri Mkuu ( Premier ) Kassim Majaliwa Kassim na simkubali Muokoaji Majaliwa Jackson majibu yenu ni haya yafuatayo.....

Niulizieni Kwake alifikiria nini na alituonaje Watanzania mpaka Kutudanganya vile kuwa Mtu ni mzima na anachapa zake Kazi Magogoni Ofisini wakati kumbe tayari alikuwa katika Friji ya Awali ya Mzena kabla ya kuhamishiwa katika ile iliyojengwa kwa Msaada wa Marafiki zetu Wajerumani ( Maalum na ya Kisasa ) iliyoko Lugalo ndani ya Chuo chao cha Tiba?

Kwa huyu Samjo Samjo ( Muongo Muongo ) Muokoaji Majaliwa Jackson naomba niulizieni Kwake je, alipozama chini ya Maji hadi kwenda Kuwasabahi ( Kuwasalimia ) Marubani waliompungia mkono aliwakuwa Hai au tayari Wameshatuaga Kidunia?

Kubwa zaidi niulizieni Kwake Tapeli Tapeli ( Samjo Samjo ) Muokoaji Majaliwa Jackson kuwa ni kwanini 99% ya Wavuvi Wenzake kila Wakihojiwa kuhusu Yeye kufanya Uokoaji huo ambao Watanzania tumedanganywa na Mdanganyaji Mkuu wa Taifa ( Premier Wetu ) wote Wanamkana na sasa wameenda mbali zaidi Kuhoji iweje awe Yeye pekee wakati kama ni Zoezi zima la Uokoaji limefanyika kwa pamoja na tena wako wengine waliojitoa Mhanga zaidi yake pale katika Maji yale ( ilipoangukia Ndege ) lakini wala hawana Makuu na Shobo kama Yeye?
 
What happen was a coincidence, wakati waliomo ndani ya ndege wakijitahidi kuufungua mlango, the way waliokuwa nje pia walikuwa wanajitahidi kuufungua, ulipofunguka, ikiwa wote wameufungua #wivu wa nini?
Kitendo chake cha kujitoa muhanga na kwenda kwenye tukio kwa dhamira ya kuokoa maisha ya binadamu ni ushujaa tosha.
 
Baadhi ya Wajumbe wanaoiandaa hiyo Ripoti huku wakiendelea na Uchunguzi wa mwisho mwisho wanasema Ushahidi wa Vifaa Maalum vilivyomo katika Ndege vinaonyesha Milango ilifunguliwa na Wahudumu wa Ndege kwa kusaidiana na baadhi ya Abiria waliokuwepo Ndani na hata pale ulipofunguka waliokuja Kuwaokoa Wote hakuwa Tapeli ( Samjo ) Majaliwa Jackson kama Waziri Mkuu wa Tanzania Majaliwa Kassim Majaliwa alivyoendelea na Utamaduni wake 'Maalum' aliojiwekea wa Kutudanganya Kunakotukuka Watanzania kama ule wa Tukio Kubwa la tarehe 17 Machi, 2021.

Taarifa za Awali na zenye uhakika kutoka kwa Wajumbe ambao pia ni Wabobezi wa Uchunguzi hasa wa Masuala ya Aviation zinasema kwamba Wavuvi wote kwa Ujumla wao ndiyo walisaidia katika Kuokoa na Kuwavusha Abiria hadi Ufukweni na Samjo ( Tapeli ) Majaliwa Jackson ( Muokoaji wa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ) hakuokoa pekee na wala hakupiga hizo Mbizi hadi kule chini iliko Cockpit ya Ndege na Kuonana na Marubani ambao walimpungia Mikono.

Muda wa Muongo Mkuu wa Taifa la Tanzania Premier Majaliwa na Msaidizi wake RC wa Kagera Chalamila Kuumbuka kuhusu kututeulia huyo Muokoaji Muongo Muongo ( Samjo Samjo ) Majaliwa Jackson unakaribia na msisahau kuwa Wanadamu tutadanganya ila Teknolojia na Uhalisia kamwe huwa havidanganyi.

Wale mnaoniuliza kwanini GENTAMYCINE namuandama mno Waziri Mkuu ( Premier ) Kassim Majaliwa Kassim na simkubali Muokoaji Majaliwa Jackson majibu yenu ni haya yafuatayo.....

Niulizieni Kwake alifikiria nini na alituonaje Watanzania mpaka Kutudanganya vile kuwa Mtu ni mzima na anachapa zake Kazi Magogoni Ofisini wakati kumbe tayari alikuwa katika Friji ya Awali ya Mzena kabla ya kuhamishiwa katika ile iliyojengwa kwa Msaada wa Marafiki zetu Wajerumani ( Maalum na ya Kisasa ) iliyoko Lugalo ndani ya Chuo chao cha Tiba?

Kwa huyu Samjo Samjo ( Muongo Muongo ) Muokoaji Majaliwa Jackson naomba niulizieni Kwake je, alipozama chini ya Maji hadi kwenda Kuwasabahi ( Kuwasalimia ) Marubani waliompungia mkono aliwakuwa Hai au tayari Wameshatuaga Kidunia?

Kubwa zaidi niulizieni Kwake Tapeli Tapeli ( Samjo Samjo ) Muokoaji Majaliwa Jackson kuwa ni kwanini 99% ya Wavuvi Wenzake kila Wakihojiwa kuhusu Yeye kufanya Uokoaji huo ambao Watanzania tumedanganywa na Mdanganyaji Mkuu wa Taifa ( Premier Wetu ) wote Wanamkana na sasa wameenda mbali zaidi Kuhoji iweje awe Yeye pekee wakati kama ni Zoezi zima la Uokoaji limefanyika kwa pamoja na tena wako wengine waliojitoa Mhanga zaidi yake pale katika Maji yale ( ilipoangukia Ndege ) lakini wala hawana Makuu na Shobo kama Yeye?
Ndo ameshatoka hivyo hata ufanyeje acheni roho mbaya inaua.

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
What happen was a coincidence, wakati waliomo ndani ya ndege wakijitahidi kuufungua mlango, the way waliokuwa nje pia walikuwa wanajitahidi kuufungua, ulipofunguka, ikiwa wote wameufungua #wivu wa nini?
Huna akili, mlango walifungua wahudumu, na hata wahanga walipotoka kwenye ile ndege walisubiri kwa dk nyingi kabla ya kuona mtumbwi wa kwanza.
 
Muache mtoto wa watu naye akalambe asali.
Ninaye ( Nitamuandama ) mpaka Akiri kuwa Yeye siyo Shujaa wa Uokoaji na kwamba alipangwa tu Kimkakati na Wazee wa Kitengo kwa Uratibu wa Premier Wetu 'Samjo Samjo' ili Kufunika Uzembe kutoka katika Mamlaka ya Mkoa na Serikali husika ( Wizara ) juu ya huo Uwanja wa Ndege wa Bukoba.
 
Baadhi ya Wajumbe wanaoiandaa hiyo Ripoti huku wakiendelea na Uchunguzi wa mwisho mwisho wanasema Ushahidi wa Vifaa Maalum vilivyomo katika Ndege vinaonyesha Milango ilifunguliwa na Wahudumu wa Ndege kwa kusaidiana na baadhi ya Abiria waliokuwepo Ndani na hata pale ulipofunguka waliokuja Kuwaokoa Wote hakuwa Tapeli ( Samjo ) Majaliwa Jackson kama Waziri Mkuu wa Tanzania Majaliwa Kassim Majaliwa alivyoendelea na Utamaduni wake 'Maalum' aliojiwekea wa Kutudanganya Kunakotukuka Watanzania kama ule wa Tukio Kubwa la tarehe 17 Machi, 2021.

Taarifa za Awali na zenye uhakika kutoka kwa Wajumbe ambao pia ni Wabobezi wa Uchunguzi hasa wa Masuala ya Aviation zinasema kwamba Wavuvi wote kwa Ujumla wao ndiyo walisaidia katika Kuokoa na Kuwavusha Abiria hadi Ufukweni na Samjo ( Tapeli ) Majaliwa Jackson ( Muokoaji wa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ) hakuokoa pekee na wala hakupiga hizo Mbizi hadi kule chini iliko Cockpit ya Ndege na Kuonana na Marubani ambao walimpungia Mikono.

Muda wa Muongo Mkuu wa Taifa la Tanzania Premier Majaliwa na Msaidizi wake RC wa Kagera Chalamila Kuumbuka kuhusu kututeulia huyo Muokoaji Muongo Muongo ( Samjo Samjo ) Majaliwa Jackson unakaribia na msisahau kuwa Wanadamu tutadanganya ila Teknolojia na Uhalisia kamwe huwa havidanganyi.

Wale mnaoniuliza kwanini GENTAMYCINE namuandama mno Waziri Mkuu ( Premier ) Kassim Majaliwa Kassim na simkubali Muokoaji Majaliwa Jackson majibu yenu ni haya yafuatayo.....

Niulizieni Kwake alifikiria nini na alituonaje Watanzania mpaka Kutudanganya vile kuwa Mtu ni mzima na anachapa zake Kazi Magogoni Ofisini wakati kumbe tayari alikuwa katika Friji ya Awali ya Mzena kabla ya kuhamishiwa katika ile iliyojengwa kwa Msaada wa Marafiki zetu Wajerumani ( Maalum na ya Kisasa ) iliyoko Lugalo ndani ya Chuo chao cha Tiba?

Kwa huyu Samjo Samjo ( Muongo Muongo ) Muokoaji Majaliwa Jackson naomba niulizieni Kwake je, alipozama chini ya Maji hadi kwenda Kuwasabahi ( Kuwasalimia ) Marubani waliompungia mkono aliwakuwa Hai au tayari Wameshatuaga Kidunia?

Kubwa zaidi niulizieni Kwake Tapeli Tapeli ( Samjo Samjo ) Muokoaji Majaliwa Jackson kuwa ni kwanini 99% ya Wavuvi Wenzake kila Wakihojiwa kuhusu Yeye kufanya Uokoaji huo ambao Watanzania tumedanganywa na Mdanganyaji Mkuu wa Taifa ( Premier Wetu ) wote Wanamkana na sasa wameenda mbali zaidi Kuhoji iweje awe Yeye pekee wakati kama ni Zoezi zima la Uokoaji limefanyika kwa pamoja na tena wako wengine waliojitoa Mhanga zaidi yake pale katika Maji yale ( ilipoangukia Ndege ) lakini wala hawana Makuu na Shobo kama Yeye?
Kuwa wewe Majaliwa basi kama unaona anafaidi...

Lala mlango wazi uone kama hujakutana na popobawa akifinyie kwa ndani...

Husda tu zimekujaa
 
What happen was a coincidence, wakati waliomo ndani ya ndege wakijitahidi kuufungua mlango, the way waliokuwa nje pia walikuwa wanajitahidi kuufungua, ulipofunguka, ikiwa wote wameufungua #wivu wa nini?
Kitendo chake cha kujitoa muhanga na kwenda kwenye tukio kwa dhamira ya kuokoa maisha ya binadamu ni ushujaa tosha.
Hujawahi Kumiliki Akili tokea Uzaliwe hivyo acha kunipotezea muda wangu hapa sawa? Na ukituona Critical and Rational Thinkers tunajadili Suala ( Jambo ) Wewe 'blessed Moron' kaa Kimya ili ujifunze kutoka Kwetu sawa?
 
Back
Top Bottom