GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,638
- 108,998
NDEGE ya Jeshi imeanguka Ziwa Victoria mapema leo Julai 20,2023 karibu na Uwanja wa Ndege wa Bukoba.
Akizungumzia tukio hilo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Blasia Chatanda amesema ndege hiyo ya jeshi yenye namba JW 9127, imeanguka wakati marubani wake wawili walipokuwa kwenye mazoezi ya kawaida.
Chanzo Taarifa: habarileo_tz
Kuna Kitu nataka Kuandika ( kutoa yangu ya Moyoni juu ya Jeshi letu kwa sasa ) ila ngoja ninyamaze na niende zangu DAR SERVICE PARK Kawe ( Ukumbi ulio eneo la Jeshi ) nikatizame Live Band huku nikizitizama Frames nyingi zilizojengwa hovyo hovyo upande wa Pili ( tena zikiwa ndani kabisa ) ya Kambi Kongwe, Kubwa na yenye Historia ya Kipekee ya Lugalo.
OMBI:
Tafadhali JWTZ ikiwapendeza msisahau kutupa Updates za Wanajeshi ( Marubani ) hao Wawili mliowakimbiza Hospitali Kuu ya Mkoa wa Kagera kwa Matibabu zaidi au kama Kesho mtawapakia katika Choppers zenu Kuwaleta Lugalo Military Hospital mtuambie ili GENTAMYCINE niwe wa Kwanza kwenda Kuwatembelea Jioni kuwapa Pole zangu.
Mwisho GENTAMYCINE nitoe tu pongezi Kwenu JWTZ kwa Kitendo chenu cha Kuitoa haraka hiyo Ndege yenu ya Jeshi Majini Ziwa Victoria tofauti na ilivyokuwa ile Ndege ya Precision Air ambayo hamkuwa Fasta kuitoa na badala yake Tapeli ( Samjo Samjo ) Majaliwa Jackson ndiyo akawa Mtawala wa Tukio zima na nyie Wanajeshi mkawa na Jukumu la Kuivuta tu Ndege kwa Kamba huku ( Yeye Muokoaji Samjo Samjo Majaliwa Jackson ) akisema alikuwa chini ya Maji ilikokuwa Cockpit ya Ndege akipungiana mkono na Marubani ambao walikuwa Wameshafariki Kitambo kwa mujibu wa Kifaa cha Kusoma Matukio ya Ndege Kiitwacho Black Box ( kwa Wenzetu Mliosoma) baada ya Uchunguzi kufanyika na wenye Akili Kubwa wa Kwanza duniani waitwao Wazungu.
Akizungumzia tukio hilo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Blasia Chatanda amesema ndege hiyo ya jeshi yenye namba JW 9127, imeanguka wakati marubani wake wawili walipokuwa kwenye mazoezi ya kawaida.
Chanzo Taarifa: habarileo_tz
Kuna Kitu nataka Kuandika ( kutoa yangu ya Moyoni juu ya Jeshi letu kwa sasa ) ila ngoja ninyamaze na niende zangu DAR SERVICE PARK Kawe ( Ukumbi ulio eneo la Jeshi ) nikatizame Live Band huku nikizitizama Frames nyingi zilizojengwa hovyo hovyo upande wa Pili ( tena zikiwa ndani kabisa ) ya Kambi Kongwe, Kubwa na yenye Historia ya Kipekee ya Lugalo.
OMBI:
Tafadhali JWTZ ikiwapendeza msisahau kutupa Updates za Wanajeshi ( Marubani ) hao Wawili mliowakimbiza Hospitali Kuu ya Mkoa wa Kagera kwa Matibabu zaidi au kama Kesho mtawapakia katika Choppers zenu Kuwaleta Lugalo Military Hospital mtuambie ili GENTAMYCINE niwe wa Kwanza kwenda Kuwatembelea Jioni kuwapa Pole zangu.
Mwisho GENTAMYCINE nitoe tu pongezi Kwenu JWTZ kwa Kitendo chenu cha Kuitoa haraka hiyo Ndege yenu ya Jeshi Majini Ziwa Victoria tofauti na ilivyokuwa ile Ndege ya Precision Air ambayo hamkuwa Fasta kuitoa na badala yake Tapeli ( Samjo Samjo ) Majaliwa Jackson ndiyo akawa Mtawala wa Tukio zima na nyie Wanajeshi mkawa na Jukumu la Kuivuta tu Ndege kwa Kamba huku ( Yeye Muokoaji Samjo Samjo Majaliwa Jackson ) akisema alikuwa chini ya Maji ilikokuwa Cockpit ya Ndege akipungiana mkono na Marubani ambao walikuwa Wameshafariki Kitambo kwa mujibu wa Kifaa cha Kusoma Matukio ya Ndege Kiitwacho Black Box ( kwa Wenzetu Mliosoma) baada ya Uchunguzi kufanyika na wenye Akili Kubwa wa Kwanza duniani waitwao Wazungu.