Muda mwingine weka Simu pembeni ufanye mambo mengine

Muda mwingine weka Simu pembeni ufanye mambo mengine

Hapo umezungumzia self control

Ikiwa unaweza kugongwa kisa kuchezea simu , maana hata ungekuwa hauna simu ungegongwa kwa kushangaa magari.

Simu ni kifaa tu unaweza hata kuizima mwaka mzima .

Issue ni kuwa unabidi kumiliki vitu ila vitu sikumiliki.

Simu kuiweka pembeni hakiwezi ikawa inasaidia .

Kikawaida hata darasani sio Kila mwanafunzi anaweza akawa na concentration na masomo .

Hata ungefundisha vipi

Mambo kama HAYO HAYO ni issue ya akili , na ubongo zaidi and not device n.k.
 
Hapo umezungumzia self control

Ikiwa unaweza kugongwa kisa kuchezea simu , maana hata ungekuwa hauna simu ungegongwa kwa kushangaa magari.

Simu ni kifaa tu unaweza hata kuizima mwaka mzima .

Issue ni kuwa unabidi kumiliki vitu ila vitu sikumiliki.

Simu kuiweka pembeni hakiwezi ikawa inasaidia .

Kikawaida hata darasani sio Kila mwanafunzi anaweza akawa na concentration na masomo .

Hata ungefundisha vipi

Mambo kama HAYO HAYO ni issue ya akili , na ubongo zaidi and not device n.k.
Hebu
Mbona umefuta hiyo ya kwanza?
Ile ya kwanza😊
 
Umeeleweka sister abby.
Lakini sidhani kama kuna mtu ambaye atashika simu wakati wamaongezi muhimu.
Mfano mtu anakuja kwangu anaanza kunipa story eti "nilienda kwa kina ashura. Nikamkuta kavaa kanga tupu. Nikamsalimia, mambo mrembo... Kakaniangalia, kakaanza kurembua. Me nika...."

Sasa hapo kwanini nisishike simu?
 
Umeeleweka sister abby.
Lakini sidhani kama kuna mtu ambaye atashika simu wakati wamaongezi muhimu.
Mfano mtu anakuja kwangu anaanza kunipa story eti "nilienda kwa kina ashura. Nikamkuta kavaa kanga tupu. Nikamsalimia, mambo mrembo... Kakaniangalia, kakaanza kurembua. Me nika...."

Sasa hapo kwanini nisishike simu?
Kwa sababu samaki ana mbio kumzidi farasi
 
Kuna kasichana nilisoma nacho so tumetafutana na tunawasiliana sana kuchat na kupigiana sim

Sasa namwambiaga kuwa naacha simu kama wiki hivi.. situmii kwa kupumzika tu kutumia kuweka akili sawa

Anashangaaga na kunambia labda namkataa namna moja au nyingine, mi nachekaga tu

Namwambiaga sitegemei sim kuingiza pesa wala sina biashara mtandaoni sasa ya nn? Niwe bize na sim 24/7

Ananiona naringa ah ah ah ah
 
I am unequivocally and irrefutably in total concordance with your exceptionally perspicacious and intellectually superlative explications, as your cogitations resonate profoundly with my own epistemological ratiocinations and heuristic contemplations
 
Mi Kuna jamaa alikuwa anatega njiaani..najua nkipita tu kule ataniona nabadili njia.
Alikua Anajua kunibana ukutani,sijui nijibu Nini😊

Mbaya zaidi anaeweka mkono kiunonišŸ™†
Niishie hapa
Umenikumbusha demu flani hivi Niko secondary, alikua akitumwa tu namtime wakati wa kurudi ninaye, nilikua nakabana ukutani
 
Back
Top Bottom