Muda mwingine weka Simu pembeni ufanye mambo mengine

Muda mwingine weka Simu pembeni ufanye mambo mengine

Mi Kuna jamaa alikuwa anatega njiaani..najua nkipita tu kule ataniona nabadili njia.
Alikua Anajua kunibana ukutani,sijui nijibu Nini😊

Mbaya zaidi anaeweka mkono kiunoni🙆
Niishie hapa
Tupe muendelezo,maana ni kama vile umeniongelea mimi,
Isije ikawa wewe ndio ulikua unautesa moyo wangu enzi hizo.

😀😀
 
Enzi hizo kutongoza ilikua ni kipaji kama kucheza mpira tu,
Picha lina anza mpaka umsubiri demu atumwe dukani ndio umsubiri njiani na anaweza kukukimbia au kwenda kukusemea kwa Mama yake.

😀😀
Aisee! Nimeumwa sana na mbu kisa kukaa nje mida ya usiku nikimsubiri demu aje kwenye sehemu tuliyopanga tukutane. Kila dakika inayoende unaamini demu atatia timu lakini wapi, unaweza kukaa nje hadi saa sita usiku bila mafanikio yaani 😅.

Vijana wa sasa simu zimewasaidia sana, sisi zamani mawasuliani yetu ilikuwa ni kuweka majani njiani, kurusha jiwe juu ya bati lao, kujipitisha pitisha mbele ya nyumba yao huku ukijifanya unakohoa kohoa (unapunguza spidi ya kutembea ukifika karibu na kwao ili akuone),nk.
 
Kwenye mambo ya msingi watu hawatumii simu ukiona mtu anatumia simu ujue hicho unachotaka akipe attention sio priority yake.
Labda ni kweli
Lakini tukija kwenye utimamu.unashiriki vipi kitu amabcho hauko interested nacho?
Na ukute wewe ndio ulipanga.ili iweje?
Tunaaita kikao na watu muda ukifika inageuka kule nyuma watu waliokuja wanakuangalia wewe
Utakuwa sawa kichwani?
 
Labda ni kweli
Lakini tukija kwenye utimamu.unashiriki vipi kitu amabcho hauko interested nacho?
Na ukute wewe ndio ulipanga.ili iweje?
Tunaaita kikao na watu muda ukifika inageuka kule nyuma watu waliokuja wanakuangalia wewe
Utakuwa sawa kichwani?
Hamna kikao cha hivo labda kama mliamua kukusanyika tu.
 
Ni kweli mkuu,
Ni ngumu sana kwa akili ya binadamu kufanya mambo mawili kwa wakati mmoja,
Ataipeleka zaidi akili yake kwa atakacho ona ni cha maana zaidi kwake.
Na jamii zetu hazina utaratibu wa kuheshimu option ya mtu wanaona kama hujastaarabika, ushamba au hujalelewa vizuri kumbe bas tu mi nimeona Instagram ni bora kuliko nikuskilize unaenipa story za eka moja dodoma vijijini unaweza pata kwa 1.7M.
 
Back
Top Bottom