Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,499
- 10,540
Kuna miaka kama mitatu hivi nilipitia changamoto na fursa zikawa haziji. Nilikuwa natamani hata kupata kazi ya kulipwa chini ya milioni na haikupatikana. Sasa hivi hata siamini namna miaka mitano tu inavyoweza kubadilisha maisha ya mtu.
Nikaendelea kuomba fursa karibu kila sehemu. Kumbuka nina uzoefu mkubwa kwenye telecom, IT kwa ujumla na usimamizi wa miradi. Lakini ni kama milango ilikuwa imefungwa. Nimetuma zaidi ya applications 500. Nimeitwa interview nne tu kwenye maombi yote hayo.
Nilomba consultancy kwenye NGO moja na walioomba walikuwa zaidi ya watu 200 Afrika nzima na walitaka mtu mmoja tu. Niliipata hii na monthly consultancy fee ni 5.5m (bado naifanya maana ni remote work).
Baada ya pale haikupita miezi 6 nikapata mkataba wa miaka miwili kwenye benki moja uliokuwa na thamani ya 160m. Yaani nilibakia kumshukuru sana Mungu. Ikafika mahali nikawa naweza ku-save mpaka 70m kwa mwaka.
Muhimu usiache kujiongezea thamani, fanya certification mbalimbali zinazotambulika kimataifa. Ukiweza fanya masters pia. Endelea kupambana na usikate tamaa, milango itafunguka muda sio mrefu. Na ukipata fursa, deliver without excuses.
Be encouraged by these few words.
Nikaendelea kuomba fursa karibu kila sehemu. Kumbuka nina uzoefu mkubwa kwenye telecom, IT kwa ujumla na usimamizi wa miradi. Lakini ni kama milango ilikuwa imefungwa. Nimetuma zaidi ya applications 500. Nimeitwa interview nne tu kwenye maombi yote hayo.
Nilomba consultancy kwenye NGO moja na walioomba walikuwa zaidi ya watu 200 Afrika nzima na walitaka mtu mmoja tu. Niliipata hii na monthly consultancy fee ni 5.5m (bado naifanya maana ni remote work).
Baada ya pale haikupita miezi 6 nikapata mkataba wa miaka miwili kwenye benki moja uliokuwa na thamani ya 160m. Yaani nilibakia kumshukuru sana Mungu. Ikafika mahali nikawa naweza ku-save mpaka 70m kwa mwaka.
Muhimu usiache kujiongezea thamani, fanya certification mbalimbali zinazotambulika kimataifa. Ukiweza fanya masters pia. Endelea kupambana na usikate tamaa, milango itafunguka muda sio mrefu. Na ukipata fursa, deliver without excuses.
Be encouraged by these few words.