ndio maana haisiki haya 94.1 hila , 91.0passion na 90.1 city FM naz hazpatikanKuna vituo vidogo vya Redio vilikuwa vimefungiwa pia.
1.Jembe Fm
2.Lake Fm
3.140.1 (Kilikuwa kipya)
Jembe nimeisikia leo ipo hewani.
Mlitakaje wajuvi Nyie msio na HayaWakuu naona Sahara media baada kifungo cha takribani wiki mbili kwa Malimbikizo ya Kodi hatimaye wamarudi hewani. Sasa cjui ndo ni maelekezo toka juu au ni kweli wamalipa...star TV, radio free Africa na Kiss FM wapo hewani sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa wamelipa kodi au ? Ndo huruma za mwenyekiti .
Nadhani watakaa mezani kuyamaliza..hao wafanyakazi walioipeleka mahakamani watafute pa kwenda
Mlengwa hapa ni clouds mediaMagu anacheza na akili za watanzania. Hapo alikuwa anachukulia point kwamba tumuone ana washughulikia na masisiem wenzake kumbe bosheni tu.
Magu ni dikteta, mkabila na mkanda.. T. Lisu.
Nitakuwa wa mwisho kuamini kama wamelipa tena walau million mia mojaWakuu naona Sahara media baada kifungo cha takribani wiki mbili kwa Malimbikizo ya Kodi hatimaye wamarudi hewani. Sasa cjui ndo ni maelekezo toka juu au ni kweli wamalipa...star TV, radio free Africa na Kiss FM wapo hewani sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app