SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,760
ITV sasa imekuwa kama TBC tu.
tumbili huko hakuna ndizi mbivu achia ngaziDavid Kafulila anahojiwa mda huu ITV katika kipindi cha Kipima joto.
==============
Wasalaam wana jamvi
Mbobezi na mchambuzi wa mambo ya kiuchumi na kisiasa David Kafulila yuko live ITV anatoa shule kuhusu report ya CAG.
Kafulila ameanza kusema kuwa yeye toka mwanzo alijua kuwa wanao dai kuwa 1.5 trillion zimeibiwa walikuwa waongo kwani si kweli kabisa....
Typical BAVICHA as usualUmenichekesha ulivyo jitutumua, unajua hujui hata unachoongea? Mim hata lumumba fc ningekupiga chini ukafanye kazi na bashite
Hii ccm mpya ni ya majizi yaliyobobea na makubwa makubwa. Hii sio ile sisem ya akina Kinana iliyokuwa na wizi ila wakichanganya na huruma kidogo kwa wanyonge.Pole pole na Kafulila(tumbili) naona wamepewa kitengo cha kuzima tr1.51
Ccm ya zamani ilikua inahoji,lakini ccm ya skuizi ipo kimyaaaaaa
Wananchi wanataka kujua zimepelekwa wapi?
Huu si mda wa blaaa blaa
Tatizo la kuishi kwa kufikirishwa, anachohoji Zitto ndicho kilichomo kwenye ripoti na ripoti si ya Zitto.Kafulila yuko vizuri kuliko huyo zwazwa zito